Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mpenzi wa Mick Jagger ajitoa uhai

L'Wren Scott, amepatikana akiwa amefariki nyumbani kwake mjini New York, Marekani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Jasusi wa Korea Kusini ajitoa uhai?

Mfanyikazi wa shirika la ujasusi la Korea Kusini amepatikana akiwa amekufa katika kile kinachotajwa kuwa alijitoa uhai.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI: UHAI WA BINADAMU UNA THAMANI KUBWA KULIKO UHAI WA WANYAMAPORI

SERIKALI imetolea ufafanuzi wa kauli iliyotolewa na  baadhi ya Wananchi  wanaodai kuwa Wizara ya Maliasili na Utalii imekuwa ikithamini uhai wa wanyamapori kuliko uhai wa binadamu.
 Akizungumza na viongozi wa vijiji vitano vinavyopakana na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti katika wilaya ya Serengeti mkoani Mara, Constantine Kanyasu amesema  uhai wa binadamu una thamani kubwa na kamwe hauwezi kufananishwa na uhai  wa wanyamapori 
Amesema licha ya  kuwa  binadamu anaaminika kuwa akili kuliko...

 

5 years ago

CNBC

Tesla could help make lithium ion batteries for ventilators to help fight COVID-19, says ResMed CEO Mick Farrell

Tesla could help make lithium ion batteries for ventilators to help fight COVID-19, says ResMed CEO Mick Farrell  CNBC

 

10 years ago

GPL

MPENZI WA ZAMANI WA MPENZI WAKO ANAPOKUWA KIRUSI HATARI!

Niwazi kila mmoja wetu ana historia katika maisha yake ya kimapenzi. Huenda mpaka sasa wewe msomaji ulishawahi kuwa na uhusiano na watu zaidi ya mmoja. Wala siyo ajabu! Yawezekana pia kati ya wale uliowahi kuwa nao wapo uliomwagana nao kwa shari lakini wapo pia ulioachana nao kiroho safi. Jambo ambalo leo nataka kulizungumzia ni hili la mtu kuendelea kuwa na mawasiliano na mpenzi wake wa zamani eti kwa sababu waliachana kwa...

 

11 years ago

GPL

Manji ajitoa Yanga SC

Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji. Na Hans Mloli
MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji, ametangaza rasmi kutowania tena nafasi ya uenyekiti kwenye uchaguzi mkuu wa klabu hiyo utakaotangazwa baadaye mwakani. Manji alichukua wadhifa huo mwaka jana baada ya kuondolewa kwa aliyekuwa Mwenyekiti, Lloyd Nchunga, aliyekuwa amebakiza miaka miwili ya uongozi wake klabuni hapo. Manji ambaye pia ni mfadhili wa klabu hiyo...

 

10 years ago

GPL

KAJALA AJITOA UFAHAMU

Musa mateja
CHIZIKA! Katika hali ambayo haikutarajiwa, staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja amewaacha watu midomo wazi kwa kukatika mauno hadharani. Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja akikata mauno. Tukio hilo la aina yake lilitokea hivi karibuni maeneo ya Twende Polepole, Mkoa wa Pwani kwenye sherehe ya kumkaribisha mtoto wa mwigizaji Aunt Ezekiel (Baby Shower) iliyohudhuriwa na watu wengi akiwemo Kajala. Awali,...

 

11 years ago

Habarileo

Jaji ajitoa kesi ya mfanyabiashara

JAJI Bethuel Mmila amejitoa katika jopo la majaji watano, wanaosikiliza rufaa ya mfanyabiashara Kibute Otienyeri, anayepinga adhabu ya kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kunajisi.

 

11 years ago

Habarileo

Shibuda ajitoa Chadema kiaina

MBUNGE wa Maswa Magharibi, John Shibuda (Chadema), amesema hatagombea ubunge kupitia Chadema katika Uchaguzi Mkuu ujao, kwa kuwa amechoshwa na kauli za vitisho na kejeli dhidi yake, zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa juu wa chama hicho.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ajitoa mhanga na kuwaua 12 Somalia

Mlipuaji wa kujitoa mhanga amejilipua na kuwaua watu 12 katika msafara wa majeshi ya Muungano wa Afrika mjini Mogadishu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani