KAJALA AJITOA UFAHAMU
![](http://api.ning.com:80/files/XnAxcylq3ijdPtWUoHLXgui7xSK91goo7sEcUDIXqtENOfi4XQIFxUreDean1LVRja2KeK*pacG8q1HmH6CSGbDdOdVa4IJ7/yu4yw45yuu.jpg?width=650)
Musa mateja CHIZIKA! Katika hali ambayo haikutarajiwa, staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja amewaacha watu midomo wazi kwa kukatika mauno hadharani. Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja akikata mauno. Tukio hilo la aina yake lilitokea hivi karibuni maeneo ya Twende Polepole, Mkoa wa Pwani kwenye sherehe ya kumkaribisha mtoto wa mwigizaji Aunt Ezekiel (Baby Shower) iliyohudhuriwa na watu wengi akiwemo Kajala. Awali,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Cmufrv6JsXU/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Mbinu za kusoma na kusikiliza kwa ufahamu
10 years ago
Dewji Blog13 Mar
Ufahamu juu ya ugonjwa sugu wa Figo
Apollo Kidney article for Mwananchi Swahil 2 12 Mar 15 Final.doc by moblog
11 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Kajala kudai Wema ni mnafiki,Wema aamua kujibu mapigo. 'Amlipua' vibaya Kajala
Ikiwa ni siku chache zimepita baada ya mwigizaji Kajala kudai kuwa mrembo Wema Sepeteu ni Mnafiki, hatimaye Mwanadada Wema Sepetu , amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari ambayo ilisambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-R9s9wyDqRnM/VfXUO5qxp_I/AAAAAAAAH10/wuw6UfK6-rQ/s72-c/cardiac.jpg)
UFAHAMU VYEMA MOYO WAKO "CARDIAC ARRHYTHMIA"
![](http://3.bp.blogspot.com/-R9s9wyDqRnM/VfXUO5qxp_I/AAAAAAAAH10/wuw6UfK6-rQ/s320/cardiac.jpg)
Mwili una mfumo asili wa umeme unaosaidia moyo kufanya kazi. Mfumo huu husababisha moyo kutanuka na kusinyaa ambapo husababisha damu kuingia na kutoka kwenye moyo; umeme kwa kawaida hufuata mkondo na mapigo ya moyo kwa kasi ya kawaida.
Ingawa, kama mkondo wa kawaida wa umeme huu ukivurugwa moyo hushindwa kufanya kazi na kusababisha mapigo ya moyo ama kwenda taratibu sana, haraka sana au...
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Ah! ufahamu umewatoka wanadamu unawenda kwa wanyama!
RAIS wangu, wakati Taifa likiwa limegubikwa na ufisadi wa matumizi makubwa ya fedha za walipa kodi kwakutengeneza kitu kilichomsukuma mwanamwema Nanyanje kusema, “Katiba mpya imetengenezwa kama kumsukuma mlevi” hospitali kubwa kuliko zote...
9 years ago
Vijimambo02 Oct
NesiWangu: OCTOBER ni Mwezi wa Kuongeza Ufahamu na Mapambano ...
![](https://www.freemanhealth.com/Content/Uploads/Freeman%20Health/images/breast%20cancer.jpg)
NesiWangu: OCTOBER ni Mwezi wa Kuongeza Ufahamu na Mapambano ...: Kwa wale wasio na bima ya afya na wanahitaji Mammogram au huduma ya juu ya utafiti wa saratani ya matiti tuma text kupitia 240 672-1788...
BOFYA HAPO JUU KWA MAFUNZO ZAIDI YA UCHUNGUZI BINAFSI WA MATITI.
10 years ago
Ykileo![](http://1.bp.blogspot.com/-gsxy15ydQJc/VJsoGgMkCmI/AAAAAAAABGc/aZ37j5ZcEpY/s72-c/1.jpg)
DIT YAFANYA SEMINA ELEKEZI YA UFAHAMU WA MASWALA YA USALAMA MTANDAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-gsxy15ydQJc/VJsoGgMkCmI/AAAAAAAABGc/aZ37j5ZcEpY/s1600/1.jpg)
Swala hili limekua liki imizwa sana na mataifa mbali mbali ili kuhakiki matumizi salama ya mitandao yanakuwepo na hatimae kupunguza wimbi kubwa la uhalifu mtandao unao endelea kukua hivi sasa. Katika kuonyesha umuhimu wa swala hili...