Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbinu za kusoma na kusikiliza kwa ufahamu

Ufahamu ni dhana inayorejelea kujua na kulielewa jambo kwa usahihi ili kuweza kulielezea upya kwa pasipo kupoteza maana ya msingi. Hivyo, ufahamu wa mtu unaweza kupimwa katika kusikiliza jambo au kusoma.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Ah! ufahamu umewatoka wanadamu unawenda kwa wanyama!

RAIS wangu, wakati Taifa likiwa limegubikwa na ufisadi wa matumizi makubwa ya fedha za walipa kodi kwakutengeneza kitu kilichomsukuma mwanamwema Nanyanje kusema, “Katiba mpya imetengenezwa kama kumsukuma mlevi” hospitali kubwa kuliko zote...

 

10 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : je, Unajua kurekebisha mtindo wako wa kusoma kufuatana na malengo yako ya kusoma?

Je wakati mwingine unaposoma habari fulani huwa unashindwa kuelewa kilichokusudiwa? Je, hali hii huwa inatokea mara kwa mara au mara chache tu? Je, inapotokea hali hii huwa unafanya nini? Je unafikiri ni wewe tu unayekabiliwa na tatizo hili? Hata hivyo, usiwe na wasiwasi kwa kuwa wako watu wengi wanaokabiliwa na tatizo kama hili.

 

10 years ago

Michuzi

HOSPITALI YA AGA KHAN YAADHIMISHA MWEZI WA UFAHAMU WA UGONJWA WA SARATANI YA MATITI DUNIANI KWA KUTOA BURE HUDUMA YA UPIMAJI



Mtaalamu wa Saratani katika hospitali hiyo, Dk.Amyn Alidina akizungumza na wanahabari kuhusu ugonjwa huo. Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali hiyo, Dk.Mustafa Bapumia akihojiwa na waandishi wa habari kuhusu ugonjwa huo na maadhimisho hayo. Maofisa wa makambi ya saratani ya matiti wa Saratani  wakisubiri kuzungumza na akina mama waliofika  kuchunguzwa matiti yao. Ofisa wa kambi ya saratani ya matiti, Emmy Shayo (katikati), akichukua maelezo kutoka kwa Furahini Ngwirizi aliyefika katika zoezi la...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Kila jaji anapaswa kusikiliza mashauri 220 kwa mwezi’

Jaji Kiongozi, Fakihi Jundu amesema kila Jaji wa Mahakama Kuu anapaswa kusikiliza mashauri 220 kwa mwezi.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Ifahamu Chizika, App ya kusikiliza muziki kwa simu iliyotengenezwa na watanzania

11356960_388937114632648_737681832_n

Ulimwengu wa sasa wa muziki umehamia kwenye smartphones. Kwa Ulaya na Marekani wapenzi wa muziki kwa sasa wanasikiliza zaidi nyimbo wazipendazo kwenye platform maarufu kama vile Spotify, Apple Music, Tidal na zingine.

11356960_388937114632648_737681832_n

Mtumiaji wa app hizo hufanya malipo kwa mwezi au mwaka na kuwa na uwezo wa kusikiliza mamilioni ya nyimbo. Tanzania nayo haiku nyuma.

Vijana wawili, Ali Makongo aka Young Siza na mtangazaji wa kipindi cha Daladala Beat cha Magic FM, Jimmy Jamal aka Jimmy Jay wameanzisha app...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi watakiwa kusoma kwa malengo

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade), Jacqueline Mneney, amewataka wanafunzi nchini kusoma kwa malengo ya kutimiza ndoto zao za baadaye. Amesema ikiwa kila anayesoma ataondokana na...

 

9 years ago

Global Publishers

11 years ago

Mwananchi

Tuwasaidie watoto wetu kusoma kwa malengo

Kwa kawaida elimu hasa inayotolewa kwa ubora unaostahiki huwafanya wanaonufaika nao kuwa wachapakazi, wastaarabu, watetezi wa demokrasia na wapinga maovu kama vile kutoa na kupokea rushwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani