JAUNT EVENT PLANNERS Brings you Chicken Wings Bonanza, one of its own kind.
Come and eat different tastes of Chicken Wings, Chicken Sausages, Grilled Chicken etc.We will have:-Dj Music | Professional Dancers | Beach Soccer | Kids Zones| Swimming Venue: Azura Beach Club Kawe Mwai Kibaki Rd, Dar es salaamDate: 28th February 2015 Time: 12pm to MidnightFor Sponsorship or advertising your productsCall: +255 755 048 362 or +255 658 289 737
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FFXTxleefhY/VBs2OK6XWrI/AAAAAAAGkVY/r5vyC54v7D8/s72-c/New%2BPicture%2B(3).bmp)
10 years ago
VijimamboKUMEKUCHA 'CHICKEN WINGS BONANZA & FAMILY DAY OUT
![](http://3.bp.blogspot.com/-CPS6g1FkiAY/VPJg-ehnYaI/AAAAAAADbAE/EsxbZjj44oQ/s1600/10672302_10152568168752373_1338991242388284961_n.jpg)
Kumekucha ‘Chicken Wings Bonanza & Family Day Out’ leo Februari 28
Na Andrew ChaleBonanza kubwa la Nyama ya kuku ‘’Chicken Wings’ linaendelea muda huu huku watu mbalimbali wameanza kumiminika marafiki na familia mbalimbali leo Februari 28, ndani ya Azura Beach Club, Kawe, Jijini Dar es Salaam.Akieleza hilo muda huu haapa katika viwanja ghivi linapoendelea Bonanza hili la Chicken Wing, Bonanza & Family oUT', Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Jaunt Africa Ltd, Acquiline Mlulla waandaji wa...
10 years ago
Dewji Blog25 Feb
Kumekucha ‘Chicken Wings Bonanza & Family Day Out’ Kufanyika Feb 28
Na Andrew Chale wa modewji blog
Bonanza kubwa la Nyama ya kuku ‘’Chicken Wings’ litakalokutanisha watu mbalimbali wakiwemo marafiki na familia mbalimbali linatarajia kufanyika Februari 28, ndani ya Azura Beach Club, Kawe, Jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na mtandao huu, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Jaunt Africa Ltd, Acquiline Mlulla waandaji wa Bonanza hilo la ‘Chicken Wings Bonanza & Family Out’ linalotarajiwa kufanyika kwa mara ya kwanza, Alisema tayari maandalizi yamekamilika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UvyRoE0jCtU/VPHHt1j9P_I/AAAAAAAHGi0/viYtnew5ipY/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
Kumekucha ‘Chicken Wings Bonanza & Family Day Out’ leo Februari 28
![](http://3.bp.blogspot.com/-UvyRoE0jCtU/VPHHt1j9P_I/AAAAAAAHGi0/viYtnew5ipY/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
9 years ago
Dewji Blog08 Sep
Bonanza la Tigo Corporate Event lafana mjini Morogoro
Kikundi cha burudani cha Da Hustler Dancers cha mkoani Morogoro kikifanya onyesho katika Bonanza la Tigo Corporate Event lililofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Solomon Mahlangu Morogoro.
Mchezaji wa timu ya netball ya St. Joseph, Salome John akifunga doli katika mchezo wao dhidi ya timu ya tigo. Kwnye mchezo huo Tigo walilala kwa vikapu 5-0.
Meneja wa Tigo mkoa wa Morogoro na Tanga, Abasi Abel akisalimiana na wachezaji wa timu ya Polisi Chipolopolo katika ufunguzi wa bonanza la...
10 years ago
TheCitizen03 Oct
Planners trained on gas economy
5 years ago
The Guardian22 Mar
UK military planners drafted in to help feed vulnerable in Covid-19 outbreak
11 years ago
TheCitizen19 Mar
Will Sitta regain his wings, shine again?
10 years ago
Daily News17 Jun
Parties' military wings banned
Daily News
THE Office of the Registrar of Political Parties has banned with immediate effect paramilitary wings run by political parties, stressing that training and keeping such groups for any reason was against the law. The Registrar, Judge Francis Mutungi, also ordered ...