Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JAUNT EVENT PLANNERS Brings you Chicken Wings Bonanza, one of its own kind.


Come and eat different tastes of Chicken Wings, Chicken Sausages, Grilled Chicken etc.We will have:-Dj Music | Professional Dancers | Beach Soccer | Kids Zones| Swimming Venue: Azura Beach Club Kawe Mwai Kibaki Rd, Dar es salaamDate: 28th February 2015 Time: 12pm to MidnightFor Sponsorship or advertising your productsCall: +255 755 048 362 or +255 658 289 737  chicken wings.jpg

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

KUMEKUCHA 'CHICKEN WINGS BONANZA & FAMILY DAY OUT


Kumekucha ‘Chicken Wings Bonanza & Family Day Out’ leo Februari 28
Na Andrew ChaleBonanza kubwa la Nyama ya kuku ‘’Chicken Wings’ linaendelea muda huu huku watu mbalimbali wameanza kumiminika marafiki na familia mbalimbali leo  Februari 28, ndani ya Azura Beach Club, Kawe, Jijini Dar es Salaam.Akieleza hilo muda huu haapa katika viwanja ghivi linapoendelea Bonanza hili la Chicken Wing, Bonanza & Family oUT', Mkurugenzi Mtendaji  wa kampuni ya Jaunt Africa Ltd, Acquiline  Mlulla waandaji wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kumekucha ‘Chicken Wings Bonanza & Family Day Out’ Kufanyika Feb 28

 

whatsapp and facebook post

Na Andrew Chale wa modewji blog

Bonanza kubwa la Nyama ya kuku ‘’Chicken Wings’ litakalokutanisha watu mbalimbali wakiwemo marafiki na familia mbalimbali linatarajia kufanyika  Februari 28, ndani ya Azura Beach Club, Kawe, Jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na mtandao huu, Mkurugenzi Mtendaji  wa kampuni ya Jaunt Africa Ltd, Acquiline  Mlulla waandaji wa Bonanza hilo la ‘Chicken Wings Bonanza & Family Out’ linalotarajiwa kufanyika kwa mara ya kwanza, Alisema  tayari maandalizi yamekamilika...

 

10 years ago

Michuzi

Kumekucha ‘Chicken Wings Bonanza & Family Day Out’ leo Februari 28

Na Andrew ChaleBonanza kubwa la Nyama ya kuku ‘’Chicken Wings’ linaendelea muda huu huku watu mbalimbali wameanza kumiminika marafiki na familia mbalimbali leo  Februari 28, ndani ya Azura Beach Club, Kawe, Jijini Dar es Salaam.Akieleza hilo muda huu haapa katika viwanja ghivi linapoendelea Bonanza hili la Chicken Wing, Bonanza & Family oUT', Mkurugenzi Mtendaji  wa kampuni ya Jaunt Africa Ltd, Acquiline  Mlulla waandaji wa Bonanza hilo  Amesema watu mbalimbali wameanza kujitokeza tokea...

 

9 years ago

Dewji Blog

Bonanza la Tigo Corporate Event lafana mjini Morogoro

PICHA NO.6

Kikundi cha burudani cha Da Hustler Dancers cha mkoani Morogoro kikifanya onyesho katika Bonanza la Tigo Corporate Event lililofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Solomon Mahlangu Morogoro.

PICHA NO7

Mchezaji wa timu ya netball ya St. Joseph, Salome John akifunga doli katika mchezo wao dhidi ya timu ya tigo. Kwnye mchezo huo Tigo walilala kwa vikapu 5-0.

PICHA NO.4

Meneja wa Tigo mkoa wa Morogoro na Tanga, Abasi Abel akisalimiana na wachezaji wa timu ya Polisi Chipolopolo katika ufunguzi wa bonanza la...

 

10 years ago

TheCitizen

Planners trained on gas economy

>Former Chief Secretary, Dr Matern Lumbanga, has asked planners to put measures in place that will help Tanzanians to harness the benefits of natural gas.

 

5 years ago

The Guardian

UK military planners drafted in to help feed vulnerable in Covid-19 outbreak

UK military planners drafted in to help feed vulnerable in Covid-19 outbreak  The Guardian'Stay at home' to avoid coronavirus, UK government tells vulnerable  Reuters UKMajor new measures to protect people at highest risk from Coronavirus  GOV.UKPM issues Mother's Day warning as experts urge those at high risk from coronavirus to stay home for three months  Manchester Evening NewsMajor new measures to protect people at highest risk from COVID-19  Birmingham UpdatesView Full coverage on...

 

11 years ago

TheCitizen

Will Sitta regain his wings, shine again?

>Many Tanzanians, including himself, bank on the experience he gained as Speaker of the 9th Parliament to manage the Constituent Assembly (CA) well.

 

10 years ago

Daily News

Parties' military wings banned


Parties' military wings banned
Daily News
THE Office of the Registrar of Political Parties has banned with immediate effect paramilitary wings run by political parties, stressing that training and keeping such groups for any reason was against the law. The Registrar, Judge Francis Mutungi, also ordered ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani