Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je, mtandao wa video wa TikTok unaongeza umaarufu wa nyimbo?

Wimbo wa Old Town Road wa Lil Nas X na Monkey Dance wa Toni and I zote zimeingia katika safu kuu 10 za chati rasmi nchini Uingereza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Densi ya Drake yatamba kwenye mtandao wa TikTok

Mwanamuziki wa Rap Drake ametoa video ya wimbo wake mpya wa Tossie Slide akisakata densi ambayo imehamasisha densi mpya kwenye mtandao wa Tik Tok.

 

5 years ago

Engadget

YouTube may counter TikTok with a feed of video 'Shorts'

YouTube may counter TikTok with a feed of video 'Shorts'  EngadgetYouTube plans to launch in-app TikTok rival before end of 2020 - Business Insider  Business InsiderGoogle plans TikTok rival in the form of YouTube Shorts, report says  CNETYouTube is developing a rival to TikTok  CNBCYouTube 'Shorts' is Google's answer to TikTok, says report  The Next WebView Full coverage on Google News

 

5 years ago

BBCSwahili

Video inayomuonesha mwanahabari akimpatia viatu vyake mhamiaji yapata umaarufu mtandaoni

Maelfu ya wahamiaji nchini India wamekuwa wakitembea mwendo mrefu kwa miguu kutoka mijini kurejea vijijini kwao. Mwandisi wa BBC Salman Ravi mmoja kumpatia viatu.

 

9 years ago

Bongo5

Amini kuachia nyimbo 24 na video 24 mwaka huu

amini

Msanii wa muziki, Amini ameweka wazi mipango yake mipya ya mwaka huu kwenye muziki wake.

amini

Miongoni mwa mambo ambayo amepanga kuyabadilisha kwenye utaratibu wake wa kufanya muziki ni kuongeza idadi ya nyimbo ambazo huachia kwa mwaka mzima.

“Plan zangu za kwa 2016 ziko tofauti kidogo na 2015, kwasababu 2015 nilikuwa natoa nyimbo kwa kusikilizia labda wimbo mmoja unaweza ukakaa mwaka mzima.” Alisema Amini kwenye mahojiano na Bongo5.

“Lakini kwa 2016 kila mwezi nitakuwa natoa nyimbo mbili kila...

 

9 years ago

Bongo5

Nina nyimbo nyingi sana so msishtuke kuona natoa nyimbo 2 au 3 kwa mpigo – Wakazi

wakazi2

Rapper Wakazi amesema kuwa mashabiki wake wasishtuke wakiona anaachia nyimbo 2 au 3 kwa mpigo kwasababu ana nyimbo nyingi sana alizorekodi na anazoendelea kurekodi kwaajili ya album zake mbili.

wakazi2

Kupitia Instagram Wakazi amesema kuanzia kesho anaanza kuachia nyimbo hizo kwaajili ya mashabiki wake.

“Nimekuwa studio kwa Muda mrefu nikiandaa Albums zangu mbili, na wakati bado zoezi hilo linaendelea I think it’s only right I start releasing some of the songs for my fans. Nina nyimbo nyingi sana...

 

9 years ago

Bongo5

Nyimbo 4,000 zawasilishwa kwa Celine Dion baada ya kutangaza anahitaji kuandikiwa nyimbo mpya

Ombi la Celine Dion kuhusu kuandikiwa nyimbo kwaajili ya album yake mpya ya Kifaransa, limepokelewa kwa mafuriko ya nyimbo zilizowasilishwa. Takriban nyimbo 4,000 zilitumwa kwenye website ya Dion na kampuni inayomsimamia hadi kufikia October 5. Mume wa Dion, ambaye pia ni meneja wake, Rene Angeli na CEO wa kampuni ya Les Feeling Productions, Aldo Giampaolo […]

 

5 years ago

Michuzi

ZHANG YIMING, MGUNDUZI WA TikTok ILIYOLEGEZA LOCKDOWN


 Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

WAKATI dunia ikiendelea kupambana na mlipuko wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19,) huku baadhi ya nchi zikiweka vizuizi hasa vya wananchi kutotoka nje, baadhi ya shughuli zimeendelea kufanyika ikiwemo burudani, wengi wameonekana kufurahia maisha kwa kushiriki na wenzao kupitia mtandao wa TikTok kwa kushiriki video mbalimbali hasa za vichekesho.

Zhang Yiming (37) kutoka nchini China ndiye aliyeanzisha mtandao huo kupitia kampuni yake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani