Je, mtandao wa video wa TikTok unaongeza umaarufu wa nyimbo?
Wimbo wa Old Town Road wa Lil Nas X na Monkey Dance wa Toni and I zote zimeingia katika safu kuu 10 za chati rasmi nchini Uingereza.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Densi ya Drake yatamba kwenye mtandao wa TikTok
5 years ago
Engadget02 Apr
YouTube may counter TikTok with a feed of video 'Shorts'
5 years ago
BBCSwahili20 May
Video inayomuonesha mwanahabari akimpatia viatu vyake mhamiaji yapata umaarufu mtandaoni
9 years ago
Bongo506 Jan
Amini kuachia nyimbo 24 na video 24 mwaka huu
![amini](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/amini-300x194.jpg)
Msanii wa muziki, Amini ameweka wazi mipango yake mipya ya mwaka huu kwenye muziki wake.
Miongoni mwa mambo ambayo amepanga kuyabadilisha kwenye utaratibu wake wa kufanya muziki ni kuongeza idadi ya nyimbo ambazo huachia kwa mwaka mzima.
“Plan zangu za kwa 2016 ziko tofauti kidogo na 2015, kwasababu 2015 nilikuwa natoa nyimbo kwa kusikilizia labda wimbo mmoja unaweza ukakaa mwaka mzima.” Alisema Amini kwenye mahojiano na Bongo5.
“Lakini kwa 2016 kila mwezi nitakuwa natoa nyimbo mbili kila...
9 years ago
Bongo519 Nov
Nina nyimbo nyingi sana so msishtuke kuona natoa nyimbo 2 au 3 kwa mpigo – Wakazi
![wakazi2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/wakazi2-300x194.jpg)
Rapper Wakazi amesema kuwa mashabiki wake wasishtuke wakiona anaachia nyimbo 2 au 3 kwa mpigo kwasababu ana nyimbo nyingi sana alizorekodi na anazoendelea kurekodi kwaajili ya album zake mbili.
Kupitia Instagram Wakazi amesema kuanzia kesho anaanza kuachia nyimbo hizo kwaajili ya mashabiki wake.
“Nimekuwa studio kwa Muda mrefu nikiandaa Albums zangu mbili, na wakati bado zoezi hilo linaendelea I think it’s only right I start releasing some of the songs for my fans. Nina nyimbo nyingi sana...
9 years ago
Bongo517 Oct
Nyimbo 4,000 zawasilishwa kwa Celine Dion baada ya kutangaza anahitaji kuandikiwa nyimbo mpya
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QWWk2IVI-6I/XsdsjunB6II/AAAAAAALrPY/73FmIhg5qNkWgCSqV50yLNyT2BK_zbekQCLcBGAsYHQ/s72-c/hqdefault%25281%2529.jpg)
ZHANG YIMING, MGUNDUZI WA TikTok ILIYOLEGEZA LOCKDOWN
![](https://1.bp.blogspot.com/-QWWk2IVI-6I/XsdsjunB6II/AAAAAAALrPY/73FmIhg5qNkWgCSqV50yLNyT2BK_zbekQCLcBGAsYHQ/s640/hqdefault%25281%2529.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
WAKATI dunia ikiendelea kupambana na mlipuko wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19,) huku baadhi ya nchi zikiweka vizuizi hasa vya wananchi kutotoka nje, baadhi ya shughuli zimeendelea kufanyika ikiwemo burudani, wengi wameonekana kufurahia maisha kwa kushiriki na wenzao kupitia mtandao wa TikTok kwa kushiriki video mbalimbali hasa za vichekesho.
Zhang Yiming (37) kutoka nchini China ndiye aliyeanzisha mtandao huo kupitia kampuni yake...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/q5lYMnjCkUE/default.jpg)