Je unazijua sababu zinazokufanya ufanye mambo mbalimbali unayoyafanya katika maisha?
Hapana shaka katika maisha yako kuna mambo mbalimbali ambayo huwa unayafanya kila siku. Vile vile kuna mambo ambayo rafiki na jamaa zako huwa wakifanya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi20 Jul
MABONDIA WAKUTANA NA KUUNDA UMOJA WA KUSAIDIANA KATIKA MAMBO MBALIMBALI
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Unajua mambo ya kuzingatia wakati unapoweka malengo katika maisha?
Je una malengo uliyoweka katika maisha yako? Kama unayo uliyaweka lini na una hakika kama uliyaandaa inavyostahili? Kama huna malengo ama unayo lakini huna hakika kama yameandaliwa inavyopasa usisikitike kwa sababu hii ni changamoto inayowakabili watu wengi katika maisha.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0HT3cQq0OPE/Vmii-XK9VOI/AAAAAAABqMg/EJr7fN6wOPA/s72-c/20151209133224.jpg)
UTT-PID YAINGIA MAKUBALIANO NA WIZARA YA MAMBO YA NJE KWA DHUMUNI LA KUENDELEZA VIWANJA VINAVYOMILIKIWA NA WIZARA KATIKA BALOZI MBALIMBALI UGHAIBUNI
![](http://3.bp.blogspot.com/-0HT3cQq0OPE/Vmii-XK9VOI/AAAAAAABqMg/EJr7fN6wOPA/s640/20151209133224.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qk-3-CMENEo/Vmj1MLuJS0I/AAAAAAABqNo/ieUfhsZPth8/s640/20151209134734.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-THc9jzDBbO0/Vmj1LtLZr3I/AAAAAAABqNk/m8P3R_9Y5UU/s640/20151209134738.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-p01x6L89i7k/VNx2DS9fmCI/AAAAAAAHDR8/WP4zQul50Gs/s72-c/images.jpeg)
MAKALA YA SHERIA: NINI UFANYE KISHERIA UNAPOHISI MWENZAKO KATIKA NDOA ANATAKA KUUZA NYUMBA/KIWANJA BILA RIDHAA YAKO
![](http://1.bp.blogspot.com/-p01x6L89i7k/VNx2DS9fmCI/AAAAAAAHDR8/WP4zQul50Gs/s1600/images.jpeg)
Upo wakati kwenye ndoa ambapo mmoja wanandoa anaweza akawa anataka kuuza au kubadili jina la nyumba/kiwanja bila ridhaa ya mwenzake ilihali nyumba hiyo ni ya familia. Lakini pia nje ya hilo kuna mazingira ambayo mtu anaweza kuwa si mwanandoa lakini ana maslahi katika nyumba au kiwanja cha mtu fulani na anataka kuzuia nyumba/ kiwanja hicho kisibadilishwe jina au kisiuzwe. Kisheria jambo hilo linaruhusiwa na huitwa zuio( Caveat).
Hili sio zuio la...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LHPZ7-a_r_8/VV2ZGspLtFI/AAAAAAAAbAM/WYTzcvCs1QQ/s72-c/PIC3%2Bc.jpg)
FLAVIANA MATATA ATOA ELIMU YA FURSA MBALIMBALI ZINAZOPATIKANA KATIKA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF KWA WANAFUNZI WA VYUO MBALIMBALI JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-LHPZ7-a_r_8/VV2ZGspLtFI/AAAAAAAAbAM/WYTzcvCs1QQ/s640/PIC3%2Bc.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-D8xi4V6BqwI/VV2ZCzkua0I/AAAAAAAAbAE/ahNmZXQRKI4/s640/PIC1%2Ba.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4pmGQ8A0Frc/VV2ZLaOmAEI/AAAAAAAAbAU/6BW2u-i8bUU/s640/PIC4%2Bd.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akRsClMUlkc1stKwPN2sal25ZOBfh5jjn*U4YRzJCU2DhLqQLQ4xg5rREMDdl8PWhvtPW6w-*N*T-exZfqSoT-jz/mahaba.jpg)
MPE SABABU ZA KUKUFANYA WAKE WA MAISHA!
Nawatakia heri ndugu zangu Waislam popote duniani ambao mpo katika funga ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Mwenyezi Mungu awajalie, maana mnatimiza moja ya nguzo muhimu katika imani na Inshallah Mola awafanyie wepesi muweze kutekeleza vyema. Sasa turejee katika mada yetu ambayo naamini itawafumbua wengi. Watu wote wana umuhimu wa kuingia kwenye ndoa lakini kuna tofauti kidogo, kwamba mwanamke anasubiri kufuatwa na mwanaume, wakati...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania