Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je waogopa kufanya manunuzi kimitandao?

Kampuni ya huduma za manunuzi ya kimtandao Afrika Duniani JOVAGO iiliyopo nchi 40 Afrika,hatimaye imeanzisha mfumo wa manunuzi kupitia mitandao Tanzania na kupata Hoteli kupitia mfumo huo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Apple wavamiwa kimitandao

Kampuni ya Apple ya Marekani imesema kuwa ipo katika hatua za kukabiliana na shambulio la kimitandao kwa bidhaa zake nchini China.

 

9 years ago

BBCSwahili

'Wateja bado waogopa kuingia Westgate'

Miaka miwili tangu kutokea kwa shambulio lililoua watu 67 katika jumba la kibiashara la Westgate, Nairobi wateja bado wanaogopa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Je Waingereza waogopa vilabu vya nje?

'Waingereza waogopa kuchezea vilabu vya nje'- Ashley Cole

 

10 years ago

BBCSwahili

Marufuku manunuzi Jumapili,Hungary

Bunge nchini Hungary limepiga kura ya kupendekeza kusitisha kufanya manunuzi ya vitu katika maduka.

 

10 years ago

Habarileo

Wataka Sheria ya Manunuzi kurejewa

SERIKALI imeombwa kuifanyia marekebisho Sheria ya Manunuzi ya Umma ili kuondoa baadhi ya vipengele ambavyo hutumiwa na watumishi wasio waaminifu kama mwanya wa kujinufaisha wao binafsi.

 

10 years ago

Dewji Blog

JK ataka mabadiliko sheria ya manunuzi

Jakaya-Kikwete1

Rais wa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete.

 Na Mwandishi wetu

Rais wa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete amesema lazima mabadiliko ya kina yafanyike katika idara ya ununuzi wa umma ili kudhibiti kiwango cha rushwa kinachoigharimu serikali

Rais Kikwete amebainisha hayo wiki iliyopita jijini Mwanza katika ufunguzi wa mkutano mkuu wa 12 wa shirikisho la taasisi za kuzuia na kupambana na rushwa katika  nchi za Umoja Wa Kusini Mwa Afrika ,SADC ambapo...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli afumua Sheria Manunuzi

TUME ya Kurekebisha Sheria imeanza mchakato wa kuifanyia marekebisho Sheria ya Manunuzi ya Umma ya Mwaka 2011 kama njia ya kuitikia mwito wa Rais John Magufuli ambaye aliahidi kuifanyia marekebisho sheria hiyo wakati analizindua Bunge la 11.

 

9 years ago

Habarileo

Nchi za EAC kuhuisha mifumo ya manunuzi

NCHI wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kupitia Mamlaka zake za Usimamizi na Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA), zimeahidi kuhuisha mifumo yao ya manunuzi ili kuweza kupata sera, itakayowezesha kupatikana kwa sheria moja ya manunuzi ya umma, itakayotumika katika ukanda huo.

 

9 years ago

StarTV

Serikali yatakiwa kurekebisha sheria ya manunuzi

Serikali imetakiwa kurekebisha sheria  ya manunuzi pamoja na kuweka kipaumbele utoaji wa zabuni kwa  viwanda vya ndani kwa nia ya kuvilinda na kuongeza ustawi wa sekta ya viwanda Ili kuendeleza viwanda vilivyopo hapa nchini.

Sambamba na hilo serikali imetakiwa kuzuia  uingizaji holela wa bidhaa kutoka nje ya nchi ili kutoa nafasi kwa bidhaa zinazozalishwa hapa nchini.

Wakizungumza katika kiwanda cha utengenezaji  wa transforma  cha TANELEC  kilichopo katika eneo la viwanda, njiro jijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani