Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je Yanga watatawazwa kuwa mabingwa?

Ligi kuu ya Tanzania Bara itaendelea ,swali Yanga, iliyonzishwa mwaka 1935 itatawazwa kuwa mabingwa wapya?.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

YANGA YABAMIZWA BAO 2 - 1 KUTOKA KWA AZAM NA KUWA MABINGWA WA LIGI KUU YA TANZANIA BARA 2014 - 2015


Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2014- 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.Mtanange huo ulimalizika kwa Azam kushinda Bao 2-1. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.Mgeni Rasmi katika Mchezo huo, Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo, Mh. Dkt. Fenella Mukangara akimkabidhi Nahodha wa Timu ya Yanga, Nadir Haroub cheti cha pongezi kutoka kwa Rais wa Shirikisho la...

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga kutawazwa mabingwa Mei 6

Waziri ,Dr. Fennela Mukangara atakabidhi Kombe la Ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Mei 6 mwaka huu.

 

5 years ago

Michuzi

Mabingwa Standard Chartered TZ waahidi kuwa mabalozi wazuri

Wachezaji wa timu ya Dar es Salaam Corridor Group (DCG)  ya Tanzania wameahidi kuwa mabalozi wazuri wa soka baada ya mafunzo waliyopata kutoka kwa makocha wa Liverpool.
Mafunzo hayo yaliyoandaliwa chini ya udhamini wa benki ya  Standard Chartered Tanzania yaliwahusisha wachezaji sita ambao walikuwa chini ya gwiji wa zamani wa timu ya Liverpool John Aldridge.
Wachezaji hao ni  Salim  Kuziwa, Michael Lyimo, Rafael  Kutoka, Yusuph Lugonzo, Godfrey Waninda na Abdallah Maguzo.
Nahodha wa DCG,...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga yapangwa na mchekea Ligi ya Mabingwa

SHIRIKISHO la soka Afrika (CAF) jana lilitoa ratiba ya michuano ya kimataifa mwakani ambapo Yanga imepangwa kuanza na Cercle de Joachim ya Mauritius. Kwa mujibu wa ratiba hiyo, Yanga inayoshiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, itaanza hatua ya awali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga mabingwa wapya 2014/2015 Tanzania

Timu ya Yanga imetwaa ubingwa wa ligi kuu ya Tanzania Bara kwa mwaka 2014/2015 kabla ya kumalizika ligi hiyo

 

10 years ago

Michuzi

YANGA MABINGWA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA 2014 - 2015


Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2014- 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam leo.Mtanange huo ulimalizika kwa Azam kushinda Bao 2-1.
Mgeni Rasmi katika Mchezo huo, Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo, Mh. Dkt. Fenella Mukangara akimkabidhi Nahodha wa Timu ya Yanga, Nadir Haroub cheti cha pongezi kutoka kwa Rais wa Shirikisho la Soka Duniani, Sepp Blatter...

 

9 years ago

Mwananchi

Toto wataendelea kuwa watoto wa Yanga au vinginevyo?

Pengine majiji matatu makubwa yanayopendwa na kuheshimika zaidi Tanzania ni Dar es Salaam, Mwanza na Arusha. Ni kama ambavyo Waingereza wanathamini majiji ya London, Manchester na Birmingham. Katika soka, majiji hayo yote yana timu za Ligi Kuu na zimekuwa sehemu ya alama ya majiji hayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani