Yanga kutawazwa mabingwa Mei 6
Waziri ,Dr. Fennela Mukangara atakabidhi Kombe la Ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Mei 6 mwaka huu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Je Yanga watatawazwa kuwa mabingwa?
Ligi kuu ya Tanzania Bara itaendelea ,swali Yanga, iliyonzishwa mwaka 1935 itatawazwa kuwa mabingwa wapya?.
9 years ago
Habarileo13 Dec
Yanga yapangwa na mchekea Ligi ya Mabingwa
SHIRIKISHO la soka Afrika (CAF) jana lilitoa ratiba ya michuano ya kimataifa mwakani ambapo Yanga imepangwa kuanza na Cercle de Joachim ya Mauritius. Kwa mujibu wa ratiba hiyo, Yanga inayoshiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, itaanza hatua ya awali.
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Yanga mabingwa wapya 2014/2015 Tanzania
Timu ya Yanga imetwaa ubingwa wa ligi kuu ya Tanzania Bara kwa mwaka 2014/2015 kabla ya kumalizika ligi hiyo
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5I9yGbovrqk/VUpR4EabmPI/AAAAAAAHVxc/auhSTzsRkbg/s72-c/MMGL0780.jpg)
YANGA MABINGWA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA 2014 - 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-5I9yGbovrqk/VUpR4EabmPI/AAAAAAAHVxc/auhSTzsRkbg/s1600/MMGL0780.jpg)
Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2014- 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam leo.Mtanange huo ulimalizika kwa Azam kushinda Bao 2-1.
![](http://2.bp.blogspot.com/-iY0FeOWICQU/VUpReAtC49I/AAAAAAAHVwE/kH01q9iQUHo/s1600/IMG_9925.jpg)
Mgeni Rasmi katika Mchezo huo, Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo, Mh. Dkt. Fenella Mukangara akimkabidhi Nahodha wa Timu ya Yanga, Nadir Haroub cheti cha pongezi kutoka kwa Rais wa Shirikisho la Soka Duniani, Sepp Blatter...
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
Maaskofu wanawake kutawazwa Uingereza
Kanisa la England linatarajiwa kupititsha rasmi sheria itakayo waruhusu maaskofu wa kike kuteuliwa kwanzia mwaka ujao.
11 years ago
BBCSwahili27 Jun
EU:Junker kutawazwa kama rais mpya
Viongozi wa muungano wa ulaya kumtawaza aliyekuwa waziri mkuu wa LuxembourgJean-Claude Junker kama rais wa tume ya ulaya
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-5I9yGbovrqk/VUpR4EabmPI/AAAAAAAHVxc/auhSTzsRkbg/s72-c/MMGL0780.jpg)
YANGA YABAMIZWA BAO 2 - 1 KUTOKA KWA AZAM NA KUWA MABINGWA WA LIGI KUU YA TANZANIA BARA 2014 - 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-5I9yGbovrqk/VUpR4EabmPI/AAAAAAAHVxc/auhSTzsRkbg/s1600/MMGL0780.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w8qZvZaS9us/VUpReV155nI/AAAAAAAHVwM/cByfPFyn_2g/s1600/IMG_9943.jpg)
Mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2014- 2015, Yanga wakishangilia ubingwa wao huo mara baada ya kumalizika kwa mtanange wao dhidi ya Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.Mtanange huo ulimalizika kwa Azam kushinda Bao 2-1. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-iY0FeOWICQU/VUpReAtC49I/AAAAAAAHVwE/kH01q9iQUHo/s1600/IMG_9925.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania