JERRY SILAA ATEMBELEA KATA YA NKOLOLO, AKUTANA NA PADRE PAULO
![](http://api.ning.com:80/files/7X1wIOHFtrzGlSL6I*Kz-rmROTUmdm1aoXl*V184U0R9jWk9w1cKdiVLsycUZi3Sj1hKtXLWj-GK73q8UIjppKHhTLvNdxM4/2JERRYSLAA2.jpg?width=650)
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Jerry Silaa akisalimiana na Padre Paulo.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SILAA ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS
11 years ago
Dewji Blog20 Jun
Jerry Silaa atembelea na kukagua Barabara ya Tabata — St Mary’s yenye mgogoro baina ya mkandarasi na Dawasa
Meya Wa Manispaa ya Ilala Mh Jery Silaa (wa Kwanza kulia) akifika eneo la Tabata St Marry’s kukagua kipande cha barabara hiyo ambacho kimezua mgogoro baina na Manispaa na Shirika la maji safi na salama DAWASA.
Mwenyekiti wa Serikali za Mitaaa Bwana Hassan Chambuso akimuongoza Mh Meya wa manispaa ya Ilala Jerry Silaa kwenda kujionea eneo la kipande cha barabara ya St Marry’s Tabata ambacho kinaleta shida baina ya Mkandarasi na Dawasa.
Mkandarasi wa barabara ya Tabata-St Mary Bwana George...
11 years ago
MichuziMEYA WA ILALA MH JERRY SILAA ATEMBELEA NA KUKAGUA BARABARA YA TABATA-ST MARY'S YENYE MGOGORO BAINA YA MKANDARASI NA DAWASA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ITtoOH4FEljyhAV1aM33DxD93I2JZgUbZw5uFxjHNC9To1bePfV5kfop7wIW2kqUUs1yljb85HolJXDnfpAd4Fmedx7SBTtB/jokate.jpg)
JOKATE AMTOLEA CHOZI JERRY SILAA
10 years ago
GPLZIARA YA MHE. JERRY SILAA MALAMPAKA
10 years ago
Dewji Blog02 Dec
Jerry Silaa ahimiza upimaji wa VVU
Mstahiki Meya wa manispaa ya Ilala, Jerry Silaa jana amehudhuria maadhimisho ya siku ya UKIMWI iliyoadhimishwa na manispaa ya Ilala kwenye kata ya Vingunguti ambapo ametumia fursa hiyo kuhamasisha wanaume kupima VVU kwani takwimu zinaonyesha asilimia ndogo ya wanaume wanajitokeza kupima.
Mstahiki Meya wa manispaa ya Ilala, Jerry Silaa akizungumza na mtoa huduma ya ushauri nasaha na upimaji wa VVU wakati wa maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani.
Mtoa huduma ya ushauri nasaha na upimaji...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/211.jpg)
JERRY SILAA AMPIGIA DEBE GODFREY MGIMWA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3d0syE5Z68M/U1UIWdTCTDI/AAAAAAAFcLg/68c62FfTgzU/s72-c/3569df159eL.jpg)
Majibu ya Mh.Jerry Silaa kuhusiana na taarifa zinazosambazwa mitandaoni
![](http://3.bp.blogspot.com/-3d0syE5Z68M/U1UIWdTCTDI/AAAAAAAFcLg/68c62FfTgzU/s1600/3569df159eL.jpg)
Ingawa si tabia yangu kukanusha mambo yaliyotengenezwa kwa sababu anazojua muandaaji lakini kwa idadi ya simu nilizopokea kwa faida ya wengi ni bora niseme yafuatayo.
1.Kwa wanaofahamu matumizi ya whatsapp, screen shot hii ilipaswa kutoka kwenye simu yangu, kwa maana nyingine ni mimi mwenyewe ndiye chanzo cha...
10 years ago
Dewji Blog22 Feb
Meya Jerry Silaa asimamisha ujenzi wa majengo Ilala
Mstahiki Meya wa Meya wa manispaa ya Ilala, Jerry Silaa (mwenye miwani) akiambatana na viongozi wenzake wametembelea na kupima uzio wa mabati unaowekwa na wakandarasi wengi bila kulipiwa vibali,kulipiwa vibali kiwango kidogo kwa kuchakachua vipimo na kutovilipia kila mwaka.
Mkuu wa kitengo cha mazingira wa manispaa ya Ilala Themi Luther (katikati) akimpatia maelekezo .Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa (kushoto) kuhusiana na usanifu wa jengo kwenye makutano ya mitaa ya Aggrey na...