ZIARA YA MHE. JERRY SILAA MALAMPAKA
Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM na Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa aikwahutubia wananchi wa Kata ya Malampaka wakati wa ziara yake Mkoani Simiyu jana. Wananchi wa kata ya Malampaka wakimsikiliza kwa makini hotuba iliyokuwa ikilitolewa na Mh. Jerry Silaa.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-X1NiWP5nSQI/VF8PkpvddRI/AAAAAAAGwE0/WuX-IdJ5DYE/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
Mh. Jerry Silaa aanza Ziara ya siku 10 Mkoani Simuyu
![](http://3.bp.blogspot.com/-X1NiWP5nSQI/VF8PkpvddRI/AAAAAAAGwE0/WuX-IdJ5DYE/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_D_KfgkAvBQ/VF8Pk3US8bI/AAAAAAAGwE4/XWTbC3X83Oc/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
10 years ago
Michuzi13 Nov
Ndg Jerry Silaa aendelea na ziara yake mkoani simiyu
![](https://2.bp.blogspot.com/-Bq-peCJDl9c/VGPkz45q68I/AAAAAAAGw0k/kR-ng3JgDMo/s640/unnamed%2B(29).jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-DzlMFMKfGxM/VGPmdqxKpKI/AAAAAAAGw1c/2PRKIIOJq9M/s640/unnamed%2B(33).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WXKQIZtETdRz8jeE0m-BpFdatd0ZMO9z0N7bMDscz-FQslp3YokgYu51knbKPkX2hElW9RA4*AixiVZ3wM5IULZmenXokzzQ/unnamed9.jpg?width=650)
SIKU YA TATU YA ZIARA YA NDG.JERRY SILAA MKOANI SIMIYU
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-T8tdaKLg488/VGBaLIfM6FI/AAAAAAAGwTk/vKRvpF71R0s/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
Siku ya tatu ya ziara ya Ndg Jerry Silaa mkoani Simiyu
![](http://2.bp.blogspot.com/-T8tdaKLg488/VGBaLIfM6FI/AAAAAAAGwTk/vKRvpF71R0s/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4t8hszr0Sdw/VGBaG7wwiSI/AAAAAAAGwTU/OhOGWbSvPFE/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-agrE47snoPk/VGBaHhrOaHI/AAAAAAAGwTY/p7w1XK7hGdE/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ITtoOH4FEljyhAV1aM33DxD93I2JZgUbZw5uFxjHNC9To1bePfV5kfop7wIW2kqUUs1yljb85HolJXDnfpAd4Fmedx7SBTtB/jokate.jpg)
JOKATE AMTOLEA CHOZI JERRY SILAA
10 years ago
Dewji Blog02 Dec
Jerry Silaa ahimiza upimaji wa VVU
Mstahiki Meya wa manispaa ya Ilala, Jerry Silaa jana amehudhuria maadhimisho ya siku ya UKIMWI iliyoadhimishwa na manispaa ya Ilala kwenye kata ya Vingunguti ambapo ametumia fursa hiyo kuhamasisha wanaume kupima VVU kwani takwimu zinaonyesha asilimia ndogo ya wanaume wanajitokeza kupima.
Mstahiki Meya wa manispaa ya Ilala, Jerry Silaa akizungumza na mtoa huduma ya ushauri nasaha na upimaji wa VVU wakati wa maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani.
Mtoa huduma ya ushauri nasaha na upimaji...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/211.jpg)
JERRY SILAA AMPIGIA DEBE GODFREY MGIMWA
10 years ago
Dewji Blog22 Feb
Meya Jerry Silaa asimamisha ujenzi wa majengo Ilala
Mstahiki Meya wa Meya wa manispaa ya Ilala, Jerry Silaa (mwenye miwani) akiambatana na viongozi wenzake wametembelea na kupima uzio wa mabati unaowekwa na wakandarasi wengi bila kulipiwa vibali,kulipiwa vibali kiwango kidogo kwa kuchakachua vipimo na kutovilipia kila mwaka.
Mkuu wa kitengo cha mazingira wa manispaa ya Ilala Themi Luther (katikati) akimpatia maelekezo .Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa (kushoto) kuhusiana na usanifu wa jengo kwenye makutano ya mitaa ya Aggrey na...
10 years ago
Vijimambo01 May
Jerry Silaa ampa Magufuli mbinu za kushinda Urais
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2702734/highRes/1003484/-/maxw/600/-/i0kt5e/-/magufuli.jpg)
Dar es Salaam. Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa amemtaka Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli kuangalia uwezekano wa kuongeza fedha za Mfuko wa Barabara katika mkoa wa Dar es Salaam ili kujihakikishia kura ikiwa atagombea Urais kama anavyotajwa.Silaa alitoa kauli hiyo juzi wakati wa hafla ya...