Ndg Jerry Silaa aendelea na ziara yake mkoani simiyu
Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM na mlezi wa mkoa wa Simiyu Jerry Silaa akiongea na wananchi wa kijiji cha Mwamhongo wilayani Meatu, mkoa wa Simiyu. Ndg. Jerry Silaa amechangia mabati 50 kusaidia ujenzi wa zahanati katika kijiji cha Mwamhongo kata ya Mwasengela kilometa 94 toka makao makuu ya Wilaya ya Meatu. Ndg.Jerry amekuwa kiongozi wa kwanza wa Chama chochote wa ngazi ya Taifa kukanyaga ardhi ya Kijiji hiki.
Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Jerry Silaa ambaye ni Mlezi wa mkoa wa simiyu leo katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
SIKU YA TATU YA ZIARA YA NDG.JERRY SILAA MKOANI SIMIYU
10 years ago
Michuzi.jpg)
Siku ya tatu ya ziara ya Ndg Jerry Silaa mkoani Simiyu
.jpg)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi.jpg)
Mh. Jerry Silaa aanza Ziara ya siku 10 Mkoani Simuyu
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Vijimambo
LOWASSA AENDELEA NA ZIARA ZAKE ZA KAMPENI, BARIADI MKOANI SIMIYU LEO

10 years ago
Vijimambo
LOWASSA AENDELEA NA ZIARA ZAKE ZA KAMPENI, MAGU MKOANI SIMIYU LEO






10 years ago
Dewji Blog11 Nov
Jerry Silaa awasha umeme shule ya msingi Ipililo A wilayani Simiyu
Mlezi wa Mkoa wa Simiyu Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM ambaye pia ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akikabidhi mchango wa shilingi milioni moja kwa Mwalimu Macha mwalimu mkuu wa Shule ya Msingi Ipililo A akipokea kwa niaba ya wananchi ili kuunganishwa na Umeme shuleni hapo.
10 years ago
Michuzi
KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOANI LINDI



10 years ago
MichuziDkt. Kamani aendelea na ziara yake Mkoani Rukwa
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Kamani (Mb) (mwenye miwani), akiwa katika zoezi la kuteketeza nyavu haramu alipotembelea mwalo wa Kasanga katika Mkoa wa Rukwa.
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Kamani (Mb) (mwenye miwani), akwasaidia wavuvi kukarabari mtumbwi wao tayari kwa kazi ya uvuvi alipotembelea mwalo wa Kasanga mkoani Rukwa.
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Kamani (Mb) mwenye miwani, alipomtembelea mfugaji...
10 years ago
Michuzi
Mh. Binilith Mahenge aendelea na ziara yake Mkoani Mbeya
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Dk. Binilith Mahenge ameishauri Halmashauri ya Jiji la Mbeya kutafuta wawekezaji watakaotumia taka kama malighafi katika shughuli uzalishaji viwandani ili kukabiliana na uchafuzi wa mazingira jijini humo.
Ushauri huo aliutoa, akiwa katika ziara ya siku mbili mkoani humo wakati alipotembelea Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mbeya na kuzungumza na Idara ya Usafishaji na Mazingira jiji humo jana.
Aliongeza...