Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jeshi la CHADEMA lahamia Kalenga

TIMU ya wabunge 27 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ikiongozwa na Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe, leo wanatarajia kuwasili  Kalenga ili kuongeza nguvu ya ushindi kwa mgombea wa chama...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Nigeria lahamia Maiduguri

Jeshi la Nigeria limehamisha makao yake makuu hadi mji wa Maiduguri ilikukabiliana na wapiganaji wa Boko Haram

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM

 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kijiji cha Wangama, Fred Mgata (kulia) akikabidhi kadi za chyama hicho kwa Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga baada ya yeye na wanachama wengine 50 wa Chadema kuamua kukihama na kujiunga CCM katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika  katika Kijiji hicho kilichopo Kata ya Luhota, Iringa Vijijini leo. Mgombea ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chadema ambaye ni mzaliwa wa kijiji hicho,  Grace Tendega alikuwa chini ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yaishika Kalenga

WAKATI wiki ya kampeni za lala salama ikianza jimboni Kalenga, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeanza kumnadi mgombea wake wa ubunge, Grace Tendega, kwa helikopta ili kuvifikia vijiji vyote...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yacharuka Kalenga

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeweza kujipenyeza katika kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge wa Kalenga, kikiwa kimefanya mikutano 157 katika kata 13 ndani ya siku 10 tangu kuanza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mgombea CHADEMA afunda Kalenga

MGOMBEA ubunge kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Grace Tendega, amewaasa wananchi wa Kalenga kubadilika na kujikomboa kutoka kwenye mikono dhalimu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA: Mgimwa haijui Kalenga

MENEJA Kampeni wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika uchaguzi mdogo wa ubunge wa Kalenga, Alphonce Mawazo, amewataka wananchi wa jimbo hilo kutopoteza kura zao kumchagua mgombea wa CCM,...

 

11 years ago

Habarileo

Chadema yabadilisha mgombea Kalenga

KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imempitisha Grace Mvanda, kuwa mgombea wake katika kinyang’anyiro cha ubunge katika jimbo la Kalenga, mkoani Iringa.

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema na CCM wavutana Kalenga

Kalenga. Ikiwa siku zinasogea kwa kasi kwa ajili ya uchaguzi wa kuziba nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa mbunge jimboni hapa, Dk William Mgimwa, wagombea wa vyama vikuu pinzani wameendelea na kampeni zao kwa kutumia mbinu zenye mvuto wa aina yake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM wavamia CHADEMA Kalenga

MKURUGENZI wa Operesheni wa Chama cha Demokrasia na Maendelelo (CHADEMA) katika kampeni za kugombea ubunge Jimbo la Kalenga, Benson Kigaila, amesema kambi ya chama iliyoko Kata ya Wasa imevamiwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani