JESHI LA POLISI KANDA MAALUM LIMEJIPANGA UPYAKUHAKIKISHA USALAMA KATIKA MKESHA WA MWAKAMPYA BAADA YA SHEREHE ZA MAULID NA KRISMASKUMALIZIKA SALAMA
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziJESHI LA POLISI LIMEJIPANGA KIKAMILIFU KUHUSU MKESHA WA MWAKA MPYA WA 2015
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepanga mikakati madhubuti ya kuhakikisha kwamba mkesha kuelekea Mwaka Mpya 2015 unakuwa salama, sherehe za mwaka mpya, kuandamana, baadhi ya watu wachache hasa vijana hupenda kuchoma matairi barabarani, kulipua fataki na vurugu za kila aina kwa lengo la kuonyesha furaha yao ya kuingia mwaka 2015.
Hali kama hiyo haitavumiliwa na Jeshi la Polisi kwa sababu badala ya sherehe hugeuka vitisho, vurugu, na kisha kuwatia hofu wananchi wasiokuwa na...
Hali kama hiyo haitavumiliwa na Jeshi la Polisi kwa sababu badala ya sherehe hugeuka vitisho, vurugu, na kisha kuwatia hofu wananchi wasiokuwa na...
11 years ago
MichuziTAARIFA YA JESHI LA POLISI KANDA MAALUM: ASKARI POLISI FEKI WA USALAMA BARABARANI ALIYEKUWA ANATAPELI WANANCHI AKAMATWA
Askari Polisi Feki akikwidwa baada ya kubainika.
9 years ago
MichuziJESHI LA POLISI KANDA MAALUM YA DAR ES SALAAM LAPIGA MARUFUKU WAGOMBEA WA VYAMA VYA SIASA KU FANYA VITENDO VINAVYOHATARISHA USALAMA.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHIJESHI LA POLISI TANZANIAPRESS RELEASE25/08/2015Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limegundua kwamba kuna baadhi ya wagombea wa vyama vya siasa ambao wameanziasha mtindo wa kutembelea maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam kama vile vituo vya daladala, masoko mbalimbali, n.k. kwa madai ya kuyatembelea makundi ya watu wenye kipato cha hali ya chini.
Kutokana na uzoefu uliojitokeza katika ziara hizo zisizo rasmi ni kwamba...
Kutokana na uzoefu uliojitokeza katika ziara hizo zisizo rasmi ni kwamba...
10 years ago
Michuzi02 Sep
10 years ago
Michuzi15 Sep
10 years ago
MichuziJESHI LA POLISI KANDA MAALUM LAUNDA KAMATI ITAKAYORATIBU KERO ZA WAFANYABIASHARA WA KARIOAKOO
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam limeuda kamati ya pamoja baina ya wafanyabiashara wa soko la Kariakoo na maafisa wa Jeshi hilo ili kuwa na utaratibu sahihi wa kushughulikia kero za uhalifu miongoni mwa wafanyabiashara wazalendo na wageni zinazojitokeza katika soko hilo.
Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova ametangaza kamati hiyo alipokuwa akijibu hoja na maswali mbalimbali yaliyoulizwa na baadhi ya wafanyabiashara wa sokoni hapo juu ya baadhi ya kero...
Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova ametangaza kamati hiyo alipokuwa akijibu hoja na maswali mbalimbali yaliyoulizwa na baadhi ya wafanyabiashara wa sokoni hapo juu ya baadhi ya kero...
10 years ago
Michuzi25 Dec
9 years ago
Michuzi10 years ago
MichuziJESHI LA POLISI KANDA MAALUM LATOA TAHADHALI KWA WANAWAKE KUTOSHIRIKI KIMAPENZI NA WATU WASIOWAJUA
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linatoa tahadhari kwa wanawake wa jiji la Dar es Salaa hususani wasichana kuwa makini na wanaume wanaowataka kimapenzi na baadaye kuwauwa na kutelekeza miili yao.
Zimekuwepo taarifa juu ya kuwepo kwa wanaume wawili wanaoshawishi wanawake kuwa nao kimapenzi na baada ya muda huwauwa. Hivyo natoa tahadhari kwa wanawake wa jiji la Dar es Salaam kuchukua tahadhali juu ya watu hawa maana huatarisha maisha yao au ya familia zao.
Inaaminika watu hao...
Zimekuwepo taarifa juu ya kuwepo kwa wanaume wawili wanaoshawishi wanawake kuwa nao kimapenzi na baada ya muda huwauwa. Hivyo natoa tahadhari kwa wanawake wa jiji la Dar es Salaam kuchukua tahadhali juu ya watu hawa maana huatarisha maisha yao au ya familia zao.
Inaaminika watu hao...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania