JIFUNZE KUKUBALI UNAPOKOSEA!!

Ni Jumatatu nyingine tunakutana tena kwenye uwanda huu wa XXLove, mezani mada ya leo jifunze kukubali unapokosea ili kudumisha uhusiano wako. Makosa tumeumbiwa binadamu ni kweli! Ila si kukosea kwa makusudi na kukataa kwa nguvu. Hiyo inakera na inaudhi sana kwa wapenzi. Kukubali kosa siyo vibaya wala haimaanishi kwamba umeonesha udhaifu hapana bali utakuwa umetengeneza mazingira mazuri ya kujua namna ya kuishi na mpenzi wako....
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Yanga yatakiwa kukubali matokeo
10 years ago
Mwananchi25 Sep
Lowassa: Siwezi kukubali matokeo kama..
10 years ago
Habarileo21 Oct
Pinda avitaka vyama kukubali matokeo
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema demokrasia ya kweli ni kukubali ukweli, hivyo wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumapili, wanapaswa kujiandaa kisaikolojia kukubali matokeo pindi watakaposhindwa.
10 years ago
Habarileo24 Oct
Wazee wawataka wagombea kukubali matokeo
BARAZA la wazee wa mkoa wa Dar es Salaam, limewataka wagombea wote kuyakubali matokeo ya uchaguzi mkuu, baada ya kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Jifunze Kiswahili -2-
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Jifunze Kiswahili -3
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Jifunze Kiswahili 2
10 years ago
Mwananchi30 Apr
Jifunze Kiswahili
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Maaskofu washukuru Mama Samia kukubali wito