JIPATIE KITABU CHA TABIA 5 ZA WATU WALIOFANIKIWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZoxLQP-yoqc/VJGU51SfcDI/AAAAAAAG360/DkV7vKrpDTM/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Kitabu kinauzwa shilingi 10,000/- tu na kwa hapa Dar es salaam kinapatikana Posta Mpya ndani ya DAR ES SALAAM BOOKSHOP au nikipigiwa simu namba 0653808032 kitawafikiwa wateja popote walipo, pia natafuta wasambazaji mikoani. Hiki ni kitabu kinachomsaidia mtu kujitambua na kutambua vipaji alivyonayo ili aweze kuvitumia kuchagua maisha anayoyataka na baada ya hapo kimesheheni mbinu nyingi zitakazomwezesha mtu kuishi na kufanikiwa katika maamuzi aliyoyafanya. Kimeshawasaidia wengi waliokisoma. ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo527 Aug
Haya ni mambo ambayo watu waliofanikiwa hawawezi kukuambia kazini
5 years ago
MichuziDKT. NDUMBARO ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO CHA RAIS NKURUNZIZA
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Damas...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MccjbN273aw/XvLvDdZm1dI/AAAAAAALvKk/02JlaBLCMXgiGiaUuDwMmeokdAzhljkAACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B10.58.31%2BPM.jpeg)
KITABU CHA NIMEJITAKIA CHA MOHAMMED HAMMIE CHAZINDULIWA RASMI NCHINI
Akizungumza nasi mwandishi wa kitabu hicho Bwana Mohammed amesema kuwa tayari riwaya hiyo imeshaanza kusambazwa katika baadhi ya maeneo hapa nchini ambapo kwa mkoa wa Dar es salaam kinapatika katika duka la TPH Bookshop lililopo posta, duka la kona ya riwaya lililopo Moroko, pamoja...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gctU6T8RFoE/Xuo3iptHHsI/AAAAAAALuRw/TbBCpclqoEEGK63kb9vuUpiSYwl2-QbawCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_2103AAA-768x510.jpg)
WAZIRI MKUU ATIA SANI KITABU CHA MAOMBOLEZO KIFO CHA NKURUNZIZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gctU6T8RFoE/Xuo3iptHHsI/AAAAAAALuRw/TbBCpclqoEEGK63kb9vuUpiSYwl2-QbawCLcBGAsYHQ/s640/PMO_2103AAA-768x510.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitia saini katika kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kwenye Ubalozi wa Burundi, Upanga jijini Dar es salaam, Juni 17, 2020. Wa pili kulia ni Balozi wa Burundi nchini, Mhe. Abayeho Gervais.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PMO_2113AAAA-1024x610.jpg)
9 years ago
Bongo528 Sep
Kitabu kipya cha Harry Porter kipo njiani, kitakuwa cha bure
10 years ago
Michuzi01 May
UZINDUZI WA KITABU CHA KUJIFUNZA KILINGALA CHA TSHIMANGA KALALA ASSOSA NA KAVASHA CLUB JUMAPILI
UZINDUZI WA KITABU NA KAVASHA CLUB...Jumapili hii tarehe 03-May-2015, mwanamuziki mkongwe Tshimanga Kalala Assosa atazindua kitabu kilichokuwa kikisubiriwa na watu wengi sana kwa muda mrefu mno.Ni kitabu cha "Jifunze LINGALA kwa Kiswahili".Uzinduzi huo utaambatana na tukio kubwa sana la wana Dar Kavasha Club pamoja na chakula cha jioni cha pamoja (dinner).Ni ndani ya ukumbi wa MRC Jumapili (03-May-2015) kuanzia saa 12 hadi saa 3 jioni....
9 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZOKUFUATIA KIFO CHA WAZIRI CELINA KOMBANI MIKOCHENI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xBT_DgQX2VA/Va9ohNyG7vI/AAAAAAAHq_E/nSJYDp_Xry4/s72-c/763.jpg)
HESHIMA NA TABIA NJEMA HUJENGEKA KWENYE NYOYO ZA WATU- DR.SHEIN
![](http://4.bp.blogspot.com/-xBT_DgQX2VA/Va9ohNyG7vI/AAAAAAAHq_E/nSJYDp_Xry4/s640/763.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-to3jpwvPtp0/Va9ogiVOZ3I/AAAAAAAHq_A/K__oO38GE4E/s640/765.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QbXXsAGP1Ik/Va9ogwf2nII/AAAAAAAHq_I/GorFz1Ebf24/s640/767.jpg)