Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK achochea upimaji virusi



NA SULEIMAN JONGO, DODOMA
SERIKALI imempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kuongeza hamasa ya upimaji virusi vya ukimwi na kuimarisha mapambano dhidi ya ugonjwa huo.Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), Jenista Mhagama, aliyasema hayo jana bungeni mjini hapa wakati akiwasilisha muswada wa marekebisho ya sheria ya Tume ya Kudhibiti Ukimwi wa mwaka 2014.Alisema uamuzi wa Rais Kikwete na mkewe, Mama Salma Kikwete, kujitokeza hadhari kupima afya zao mwaka 2007, kuliongeza...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kikwete achochea mjadala Escrow

Hotuba ya Rais Jakaya Kikwete kuhusu utekelezaji wa maazimio ya Bunge kuhusu kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow imepokewa kwa hisia tofauti na wasomi, wanasiasa na wananchi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mwenyekiti CCM Geita achochea vurugu

SIKU chache tangu wananchi waliovamia eneo la Nyantorotoro kutakiwa kuondoka mara moja kumpisha mwekezaji mwenye leseni Majaliwa Maziku kufanya shughuli zake, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita Joseph Msukuma amewahamasisha...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je maambukizi ya mwisho ya virusi hivyo yatafanyika wapi?

Chini ya miezi mitatu iliyopita- virusi vya coronavirus vilikua ndani ya Uchina pekee. Hapakua na kisa hata kimoja kilichokua kimepatikana nje ya nchi hiyo ambako virusi hivyo vilianzia.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Ukipona virusi hivi waweza kuvipata tena?

Kuambukizwa virusi vya corona haina maana kwamba utaishi navyo milele kwani wataalamu wa Afya wanasema mtu anaweza kupona kabisa lakini asipokuwa makini anaweza kuvipata tena

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Simulizi ya mlimbwende wa zamani wa Rwanda aliyepona virusi

Viviane Uwizeye anasema binafsi aliwaita wahudumu wa afya baada ya kuhisi ana dalili za Covid-19

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Humchukua muda gani mgonjwa wa virusi kupona?

Mgonjwa mwenye dalili za wastani ana nafasi kubwa ya kupona virusi vya corona kuliko wengine.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je wanyama wanaofugwa wana hatari ya kusambaza virusi?

Virusi vya corona : Ni kweli wanyama wanaofugwa wana hatari ya kusambaza virusi?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wanasayansi waelezea chanzo cha virusi hivyo

Mlipuko wa virusi vya corona ambao umewawacha zaidi ya watu milioni moja wakiwa wameambukizwa na wengine 60,000 wakiwa wamefariki umebadilisha ulimwengu ulivyokuwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je miale ya jua inauwa virusi hivi hatari?

Shirika la Afya Duniani WHO linasema kwamba kukaa juani ama katika sehemu zenye joto jingi la zaidi ya nyuzi 25 hakuzuii kupata maambukizi ya virusi vya corona

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani