Mwenyekiti CCM Geita achochea vurugu
SIKU chache tangu wananchi waliovamia eneo la Nyantorotoro kutakiwa kuondoka mara moja kumpisha mwekezaji mwenye leseni Majaliwa Maziku kufanya shughuli zake, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita Joseph Msukuma amewahamasisha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Xqq1BMIyUYM/XkjU_abYF8I/AAAAAAACHsg/D2e1hA15jekrx7Gnq7PAgj2yW504fGiUACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200216_080217_565.jpg)
MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TANZANIA BARA AZINDUA OFISI YA CCM MKOA WA GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xqq1BMIyUYM/XkjU_abYF8I/AAAAAAACHsg/D2e1hA15jekrx7Gnq7PAgj2yW504fGiUACLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200216_080217_565.jpg)
15.02.2020
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Ndugu Philip Japhet Mangula amezindua jengo la ofisi ya CCM Mkoani Geita ambalo ni limejengwa na viongozi wa Chama na Serikali, Wanachama wa CCM pamoja na wadau mbalimbali Mkoani hapo.
Aidha, Ndugu Mangula akiwahutubia wana CCM hao...
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
DC Geita amshukia Mwenyekiti wa CCM Mkoa
IKIWA ni siku chache Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita, Joseph Msukuma kufanya mkutano wa hadhara kiwanja cha shule ya Msingi Kalangalala na kumtuhumu Mkuu wa Wilaya ya Geita (DC),...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y_THANu9QmY/XuCzppVGHAI/AAAAAAALtUE/5gK-UzGSA-At22-447Wmuller_tdM9q5gCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) RAIS MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM ZANZIBAR DKT SHEIN JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y_THANu9QmY/XuCzppVGHAI/AAAAAAALtUE/5gK-UzGSA-At22-447Wmuller_tdM9q5gCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kmU9tkQpRXw/XuCzqEoKK1I/AAAAAAALtUI/jpodPym8lAQdGJ4heYptcFe5CIBKSceNQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/mawazo-2.jpg)
BREAKING NEWS: MWENYEKITI WA CHADEMA GEITA AUAWA
9 years ago
StarTV15 Nov
Jeshi la Polisi lawashikilia watu wanne kuhusika na Kifo cha mwenyekiti wa CHADEMA geita
Jeshi la Polisi linawashikilia watu wanne wanaodaiwa kuhusika na kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoani Geita Alphonce Mawazo.
Kifo cha marehemu Mawazo kimetokea jumamosi hii Novemba 14 majira ya saa sita mchana baada ya kuvamiwa na kundi la watu na kuanza kumshambulia kwa silaha za jadi.
Akizungumza na waandishi wa Habari Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita Mponjoli Mwabulambo amesema chanzo cha tukio ni kwamba kulikuwa na mkutano wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-el4kpUinAZ0/XlkRfKtsE3I/AAAAAAALf1E/6gUEb4eyLmY6RQ9DC7u8XKdxgcomCS8vwCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
MWENYEKITI WA CCM RAIS DKT MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM OFISI NDOGO YA CCM MTAA WA LUMUMBA JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-el4kpUinAZ0/XlkRfKtsE3I/AAAAAAALf1E/6gUEb4eyLmY6RQ9DC7u8XKdxgcomCS8vwCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-gat0M-ZcteU/XlkRftkbMRI/AAAAAAALf1I/gpmSwKe5EjoqknzE3_Vaf-54KozZL6UcQCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-MPkHe1xMzSY/VkelXV4eL2I/AAAAAAAAXHY/D55vXMI9AIk/s72-c/MAWAZO1-page-001.jpg)
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) akutana na Makamu Mwenyekiti wa Rais wa China
Viongozi wa CCM wakiwa kwenye mkutano wa Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Li Yuanchao (hayupo pichani) kwenye Hotel ya Serena jijini Dar es Salaam.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Ndugu Philip Mangula akimkabidhi zawadi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Li Yuanchao mara baada ya kumaliza mkutano.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Li Yuanchao akionyesha zawadi aliyopewa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara)...
10 years ago
Uhuru Newspaper25 Mar
JK achochea upimaji virusi
NA SULEIMAN JONGO, DODOMA
SERIKALI imempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kuongeza hamasa ya upimaji virusi vya ukimwi na kuimarisha mapambano dhidi ya ugonjwa huo.Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), Jenista Mhagama, aliyasema hayo jana bungeni mjini hapa wakati akiwasilisha muswada wa marekebisho ya sheria ya Tume ya Kudhibiti Ukimwi wa mwaka 2014.Alisema uamuzi wa Rais Kikwete na mkewe, Mama Salma Kikwete, kujitokeza hadhari kupima afya zao mwaka 2007, kuliongeza...