JK afungua jengo Ikulu
RAIS Jakaya Kikwete amefungua rasmi jengo la shughuli nyingi la Ikulu katika moja ya shughuli zake za kwanza baada ya kuanza rasmi kazi, kutokana na upasuaji mwezi uliopita.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iez95n4qv-I/VNpTrNubMzI/AAAAAAAHC7g/BgkEQ2yLgIE/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
JK afungua jengo la NSSF la kitega uchumi Moshi
![](http://3.bp.blogspot.com/-iez95n4qv-I/VNpTrNubMzI/AAAAAAAHC7g/BgkEQ2yLgIE/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vyb7iGA2myw/VNpTrDkP9gI/AAAAAAAHC7o/oWcrJW_juzw/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tKOJjZ0XVqQ/VNpTrHSUYFI/AAAAAAAHC7k/rGvO3ZeEayI/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVJ40vVck05ZR4WWKFokZNm2NeaU3OpcAa70omaLXQ0etXm4ErHj70yL76suS1gX-YXwsdh9d8T*cpcHK7Yb9yYb/unnamed45.jpg?width=650)
JK AFUNGUA JENGO LA NSSF LA KITEGA UCHUMI MOSHI
NSSF Kilimanjaro Commercial Complex mjini Moshi,Mkoani Kilimanjaro . Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Waziri wa Kazi na ajira Mh.Gaudensia Kabaka(watano kushoto) Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dkt.Ramadhani Dau(wapili kulia), Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama(wapili kushoto) pamoja na viongozi na wadau wengine wakikata utepe kufungua rasmi jengo la kitega uchumi la… ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TmjKRs34Pbo/VDjYsTmeyfI/AAAAAAAGpII/EFdxEnNoe5o/s72-c/D92A9128.jpg)
Rais Kikwete afungua jengo la PPF Mwanza
![](http://1.bp.blogspot.com/-TmjKRs34Pbo/VDjYsTmeyfI/AAAAAAAGpII/EFdxEnNoe5o/s1600/D92A9128.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MftIy_2RAoo/VDjYm-fJPGI/AAAAAAAGpH4/B29hYK90wvU/s1600/D92A8892.jpg)
11 years ago
Habarileo10 Feb
Hukumu ya jengo refu jirani na Ikulu leo
HUKUMU ya kesi ya matumizi mabaya ya ofisi katika utoaji wa kibali cha ujenzi wa jengo la ghorofa 18 karibu na Ikulu Dar es Salaam, inayowakabili vigogo wawili wa Wakala wa Ujenzi, inatarajiwa kutolewa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Mahakama yaamuru jengo karibu na Ikulu lipunguzwe urefu
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), Makumba Kimweri na Msanifu Mkuu, Richard Maliyaga, kila mmoja kulipa faini ya Sh15 milioni au kwenda jela miaka tisa baada ya kuwatia hatiani kwa matumizi mabaya ya madaraka na kuruhusu ujenzi wa jengo la ghorofa 18 karibu na Ikulu.
10 years ago
MichuziDKT. SHEIN AFUNGUA JENGO LA AFISI KUU YA UHAMIAJI ZANZIBAR
10 years ago
VijimamboRais Kikwete afungua jengo la NSSF la kitega uchumi Moshi
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o0aEZHXE3P8/VH8rjJvLINI/AAAAAAAG0_c/pikpjQWTSe0/s72-c/unnamed%2B(43).jpg)
DKT. SHEIN AFUNGUA JENGO LA OFISI YA MDHIBITI WA HESABU ZA SERIKALI,PEMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-o0aEZHXE3P8/VH8rjJvLINI/AAAAAAAG0_c/pikpjQWTSe0/s1600/unnamed%2B(43).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-t_kuT6ddXrk/VH8rjWn69bI/AAAAAAAG0_U/VcS_Yp7J2Rs/s1600/unnamed%2B(44).jpg)
9 years ago
Vijimambo06 Oct
RAIS WA ZANZIBAR, DK. SHEIN AFUNGUA JENGO JPYA LA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/177.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/252.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania