Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakama yaamuru jengo karibu na Ikulu lipunguzwe urefu

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), Makumba Kimweri na Msanifu Mkuu, Richard Maliyaga, kila mmoja kulipa faini ya Sh15 milioni au kwenda jela miaka tisa baada ya kuwatia hatiani kwa matumizi mabaya ya madaraka na kuruhusu ujenzi wa jengo la ghorofa 18 karibu na Ikulu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

JENGO REFU NCHI UKANDA WA MAZIWA MAKUU NA LA NNE KWA UREFU AFRIKA

Hili ndilo jengo refu kuliko yote katika nchi zilizopo katika ukanda wa maziwa makuu katika bara la Afrika na pia ni la nne kwa urefu Afrika nzima. Jengo hili linamilikiwa na Mfukowa Pensheni wa PSPF

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yaamuru la Liga kuendelea

Mahakama kuu ya Uhispania imeagiza mechi za ligi kuu ya Uhispania La Liga ziendelee pasi na mgomo.

 

10 years ago

Habarileo

Mahakama yaamuru maiti afukuliwe

MAHAKAMA ya Ardhi na Nyumba Wilaya ya Arusha, imeamuru maiti aliyezikwa wiki iliyopita afukuliwe na kuzikwa eneo lingine katika Kijiji cha Ngaramtoni wilayani Arumeru, kutokana na mgogoro wa ardhi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mahakama yaamuru Maiti ifukuliwe

MGOGORO wakugombea Mwili wa mzee Cleophas Senga (80) Mkazi wa Chanji, Wilayani hapa, mkoani Rukwa, umechukua sura mpya baada ya Jeshi la Polisi kufukua maiti ya mzee huyo kwa amri...

 

10 years ago

GPL

MAHAKAMA YAAMURU KABURI LA MUME KUFUKULIWA

Wachimabji wa Kijiji cha Mandaka wilaya ya Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro wakifukua kaburi la Marehemu Stephen Assey  jioni ya jana kwa amri ya mahakama. Msalaba uliokuwepo kwenye kaburi hilo ukiwa pembeni.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mahakama yaamuru wananchi kulipwa fidia

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Arusha, imeiamuru Halmashauri ya Wilaya ya Arusha kuwalipa fidia wananchi 43 wanaoishi kandokando ya barabara ya Mianzini hadi Timolo, ili wapishe upanuzi wa barabara hiyo yenye...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yaamuru ligi ya Kenya iendelee

Mahakama kuu ya Kenya imeiruhusu kampuni inayoendesha ligi kuu ya Kandanda kuendelea mbele baada kutupa nje ombi la kuisimamisha ya FKF

 

5 years ago

CCM Blog

MAHAKAMA YAAMURU RAIS MTEULE WA BURUNDI AAPISHWE HARAKA


Mrithi wa NkurunzinzaHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionJenerali Ndiyashimiye kuapishwa kabla ya Agosti.Mahakama ya kikatiba ya Burundi imeamua kuwa rais mteule Meja Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye aapishwe urais mara moja na hakutakuwa na rais wa mpito.Toka kutangazwa kifo cha Nkurunziza mapema wiki hii kumekuwa na ombwe la uongozi nchini humo.Katiba ya nchi hiyo inaeleza kuwa spika wa bunge atatakiwa kuchukua nafasi hiyo kwa mpito pale rais anapofariki. Hata hivyo Spika Pascal Nyabenda...

 

5 years ago

Michuzi

Mahakama yaamuru Zitto akamatwe, hukumu yake mwezi ujao

Na Karama Kenyunko, Michuzi TV.

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetoa hati ya kukamatwa kwa Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe kupitia tiketi ya Chama cha ACT- Wazalendo, baada ya kushindwa kufika mahakamani hapo  bila ya kutoa taarifa yoyote.

Amri hiyo, imetolewa leo Aprili 29,2020 na Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kupangiwa tarehe ya hukumu, kufuatia upande wa mashtaka kufunga kesi yao na mshtakiwa Zitto kumaliza kujitetea.

Aidha mahakama imesema,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani