Mahakama yaamuru jengo karibu na Ikulu lipunguzwe urefu
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), Makumba Kimweri na Msanifu Mkuu, Richard Maliyaga, kila mmoja kulipa faini ya Sh15 milioni au kwenda jela miaka tisa baada ya kuwatia hatiani kwa matumizi mabaya ya madaraka na kuruhusu ujenzi wa jengo la ghorofa 18 karibu na Ikulu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo19 Mar
JENGO REFU NCHI UKANDA WA MAZIWA MAKUU NA LA NNE KWA UREFU AFRIKA
10 years ago
BBCSwahili14 May
Mahakama yaamuru la Liga kuendelea
10 years ago
Habarileo22 Sep
Mahakama yaamuru maiti afukuliwe
MAHAKAMA ya Ardhi na Nyumba Wilaya ya Arusha, imeamuru maiti aliyezikwa wiki iliyopita afukuliwe na kuzikwa eneo lingine katika Kijiji cha Ngaramtoni wilayani Arumeru, kutokana na mgogoro wa ardhi.
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Mahakama yaamuru Maiti ifukuliwe
MGOGORO wakugombea Mwili wa mzee Cleophas Senga (80) Mkazi wa Chanji, Wilayani hapa, mkoani Rukwa, umechukua sura mpya baada ya Jeshi la Polisi kufukua maiti ya mzee huyo kwa amri...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPMLSVweh9BZ9YYRhMjmRLhO-mrrRvhwHZg8cIl1Y-9iA7-0DHGTGfsvTjFwkzDSuFYoycq02jD6oq7K1WQYd0IC/IMG20140908WA0011.jpg?width=650)
MAHAKAMA YAAMURU KABURI LA MUME KUFUKULIWA
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Mahakama yaamuru wananchi kulipwa fidia
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Arusha, imeiamuru Halmashauri ya Wilaya ya Arusha kuwalipa fidia wananchi 43 wanaoishi kandokando ya barabara ya Mianzini hadi Timolo, ili wapishe upanuzi wa barabara hiyo yenye...
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Mahakama yaamuru ligi ya Kenya iendelee
5 years ago
CCM Blog13 Jun
MAHAKAMA YAAMURU RAIS MTEULE WA BURUNDI AAPISHWE HARAKA
![Mrithi wa Nkurunzinza](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/9585/production/_112877283_00ceb8b9-4f37-4548-947d-f7fae68369e6.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-458Ms4tp0t8/XqlZaIq0-bI/AAAAAAALoiw/fjdqpD68CtMFDePeZ6OPb0NROa5FfYmiACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2018-11-02%2Bat%2B14.06.41.jpeg)
Mahakama yaamuru Zitto akamatwe, hukumu yake mwezi ujao
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetoa hati ya kukamatwa kwa Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe kupitia tiketi ya Chama cha ACT- Wazalendo, baada ya kushindwa kufika mahakamani hapo bila ya kutoa taarifa yoyote.
Amri hiyo, imetolewa leo Aprili 29,2020 na Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kupangiwa tarehe ya hukumu, kufuatia upande wa mashtaka kufunga kesi yao na mshtakiwa Zitto kumaliza kujitetea.
Aidha mahakama imesema,...