Hukumu ya jengo refu jirani na Ikulu leo
HUKUMU ya kesi ya matumizi mabaya ya ofisi katika utoaji wa kibali cha ujenzi wa jengo la ghorofa 18 karibu na Ikulu Dar es Salaam, inayowakabili vigogo wawili wa Wakala wa Ujenzi, inatarajiwa kutolewa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Burj Khalifa:Jengo refu kuliko yote dunia
9 years ago
Vijimambo17 Sep
Jengo refu zaidi lililokamilika Afrika Mashariki na Kati lazinduliwa nchini Tanzania.
![](https://fbcdn-photos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xft1/v/t1.0-0/p296x100/12036945_1054195471265784_901197484293267345_n.jpg?oh=3c42abcb542c600742991ab0b430b4b4&oe=56A9475A&__gda__=1449556296_36bf5114543963d325061bde0b243911)
Jengo refu zaidi lililokamilika Afrika Mashariki na Kati lazinduliwa nchini Tanzania.
PSPF Towers ni moja ya majengo machache marefu barani Afrika na ndiyo jengo refu zaidi LILILOKAMILIKA Afrika Mashariki na Kati, likiwa na urefu wa mita 147.Majengo mengine marefu Afrika ni Carlton Centre (mita 223) lililopo Afrika Kusini, Hassan II Mosque (mita 210) lililopo Moroko, Ponte City (mita 173) lililopo Afrika Kusini, Necon House (Mita 160) lililopo Nigeria, Marble Tower (mita 152), Pear dawn (mita...
10 years ago
Vijimambo19 Mar
JENGO REFU NCHI UKANDA WA MAZIWA MAKUU NA LA NNE KWA UREFU AFRIKA
10 years ago
Habarileo10 Dec
JK afungua jengo Ikulu
RAIS Jakaya Kikwete amefungua rasmi jengo la shughuli nyingi la Ikulu katika moja ya shughuli zake za kwanza baada ya kuanza rasmi kazi, kutokana na upasuaji mwezi uliopita.
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Mahakama yaamuru jengo karibu na Ikulu lipunguzwe urefu
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/L1tWk7Q75ik/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo5eKzxAIK8WeniuvgdJ8MuxaMEbv-xNJ82ZdCrW35An2GLwRc1UUCh7l4enKK9BYpHL2oXdN6h7lm2vOADcEKEh/MohammedMorsi1.jpg?width=650)
HUKUMU YA MORSI LEO
11 years ago
Habarileo15 Jan
Hukumu kesi ya Liyumba leo
HUKUMU ya kesi ya kukutwa na simu gerezani inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu (BoT), Amatus Liyumba inatolewa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Habarileo30 Jun
Hukumu ya Mramba na wenzake leo
HUKUMU ya kesi ya kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7 inayowakabili Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba, Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Gray Mgonja inatarajiwa kutolewa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.