Jengo refu zaidi lililokamilika Afrika Mashariki na Kati lazinduliwa nchini Tanzania.
Jengo refu zaidi lililokamilika Afrika Mashariki na Kati lazinduliwa nchini Tanzania.
PSPF Towers ni moja ya majengo machache marefu barani Afrika na ndiyo jengo refu zaidi LILILOKAMILIKA Afrika Mashariki na Kati, likiwa na urefu wa mita 147.Majengo mengine marefu Afrika ni Carlton Centre (mita 223) lililopo Afrika Kusini, Hassan II Mosque (mita 210) lililopo Moroko, Ponte City (mita 173) lililopo Afrika Kusini, Necon House (Mita 160) lililopo Nigeria, Marble Tower (mita 152), Pear dawn (mita...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Jumba refu zaidi Afrika mashariki lafunguliwa TZ
10 years ago
Vijimambo19 Mar
JENGO REFU NCHI UKANDA WA MAZIWA MAKUU NA LA NNE KWA UREFU AFRIKA
10 years ago
Mwananchi02 Apr
Tanzania ni mhimili mkuu wa uchumi Afrika Mashariki na Kati
9 years ago
BBCSwahili03 Oct
Soka ya Tanzania iko chini zaidi Afrika mashariki
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Tanzania kujenga bandari kubwa zaidi Afrika Mashariki
11 years ago
GPLJENGO LA SHIRIKISHO LA AFRIKA MASHARIKI KIJIJINI NAMANGA
11 years ago
Habarileo10 Feb
Hukumu ya jengo refu jirani na Ikulu leo
HUKUMU ya kesi ya matumizi mabaya ya ofisi katika utoaji wa kibali cha ujenzi wa jengo la ghorofa 18 karibu na Ikulu Dar es Salaam, inayowakabili vigogo wawili wa Wakala wa Ujenzi, inatarajiwa kutolewa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Burj Khalifa:Jengo refu kuliko yote dunia
10 years ago
Dewji Blog26 Feb
Mawaziri wa nchi tano Afrika Mashariki wakutana ubalozi wa Tanzania Washington, DC nchini Marekani
Na Mwandishi Wetu
Mkutano uliowakutanisha Mawaziri wa nchi tano za Afrika Mashariki wakiwemo Mabalozi wa nchini zao nchini Marekani ulifanyika leo siku ya Jumatano Februari 25, 2015 katika Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, mkutano huo uliohusiana na maandalizi ya kutiliana saini ya makubaliano ya ushirikiano wa kibiashara na uwekezaji kati ya nchi ya Marekani na nchi za Afrika Mashariki ambazo ni Burundi, Rwanda, Uganda, Kenya na Tanzania.
Mkutano huo uliongozwa na mwenyekiti wake Mhe....