Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jk Rais wa kwanza kufika Kibati


NA LATIFA GANZEL
RAIS Jakaya Kikwete ameweka historia ya kuwa rais wa kwanza kufika katika kata ya Kibati iliyoko Mvomero mkoani hapa.
Pia amekuwa kiongozi wa pili wa juu wa taifa kufika Kibati baada ya awali Mwalimu Julius Nyerere kufanya hivyo mwaka 1961 wakati akiwa Waziri Mkuu wa Tanganyika.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara mara baada ya kuwasili Rais Kikwete, Mbunge wa Mvomero (CCM), Amos Makalla, alisema ujio wa Kikwete umekonga nyoyo za wakazi wa kata hiyo.
Makalla alisema kilio...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Kathy Sullivan: Mwanaanga wa kwanza kufika kina cha chini kabisa baharini

Aliyekuwa mwanaanga wa Nasa Dr Kathy Sullivan amekuwa mwanamke wa kwanza kufika anga la mbali na kina cha chini kabisa baharini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais Kenyatta atakiwa kufika ICC

Mahakama ya kimataifa ya Jinai ICC, inamtaka Rais Uhuru Kenyatta kufika Hague tarehe 8 mwezi Oktoba licha kesi yake kuahirishwa

 

10 years ago

Habarileo

Mradi wa maji wa Sh mil 692 Kibati wakamilika

WANANCHI wapatao 10,000 wa vijiji vya Salawe na Hoza, Kata ya Kibati, wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro wameanza kupata huduma ya maji safi na salama kutokana na kukamilika kwa ujenzi mradi wa maji uliogharimu Sh milioni 692.1.

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Nyusi awa Rais wa kwanza wa Msumbiji kulihutubia Bunge la Tanzania

 

 Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi akiingia ndani ya ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiongozana na wenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Spika wa Bunge la Muungano wa Tanzania Mhe.Anne Makinda.

8
Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi akilihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mjini Dodoma.

Na Immaculate Makilika na Lydia Churi  – MAELEZO, DODOMA.

Rais  wa Jamhuri ya  Msumbiji  Mheshimiwa  Felipe Nyusi  amelihutubia Bunge la Jamhuri  ya Muungano wa...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI DUA YA KUMUOMBEA RAIS WA KWANZA WA ZANZIBAR MAREHEMU MZEE ABEID AMANI KARUME



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mihayo Juma Nhunga (kushoto), wakati akiwasili kwenye uwanja wa Abeid Amani Karume, kumwakilisha Rais Magufuli, kwenye dua ya kumuombea aliyekua Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Amani Karume, katika kumbukizi ya kifo chake, Zanzibar Aprili 7, 2020....

 

5 years ago

Michuzi

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AONGOZA DUA YA KUMUOMBEA RAIS WA KWANZA WA ZANZIBAR MAREHEMU MZEE ABEID AMANI KARUME ILIOFANYIKA VIWANJA VYA AFISI KUU YA CCM ZANZIBAR

VIONGOZI wa Madhehemu  (kushoto) Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Zanzibar. Hafidh Michael na Kiongozi wa Madhehebu ya Hindu Zanzibar. Pramuk  Yoges  wakielekea katika eneo la kaburi la Marehemu Mzee Abeid Amani Karume, kwa ajili ya  kumuombea dua iliofanyika leo katika kaburi la marehemu viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui.RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihudhuria hafla ya dua ya kumuombea Marehemu Mzee Abeid Amani...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenyatta rais wa kwanza ICC

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amekuwa Rais wa kwanza aliye mamlakani kufika mbele ya mahakama ya kimataifa ya ICC .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani