Kathy Sullivan: Mwanaanga wa kwanza kufika kina cha chini kabisa baharini
Aliyekuwa mwanaanga wa Nasa Dr Kathy Sullivan amekuwa mwanamke wa kwanza kufika anga la mbali na kina cha chini kabisa baharini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo515 Jul
Nay wa Mitego adai hafanyi show chini ya milioni 5 , ‘ni rasmi kabisa chini ya hapo sifanyi’
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jdHBVAvY3AI/U8Wj2REkW9I/AAAAAAAF2mU/I_gfnj4ingM/s72-c/download+(1).jpg)
9 years ago
MichuziMAHAFALI YA KWANZA YA SHULE YA SEKONDARI YA WAVULANA YA SULLIVAN PROVOST YA KIBAHA YAFANA.
10 years ago
Uhuru Newspaper28 Aug
Jk Rais wa kwanza kufika Kibati
NA LATIFA GANZEL
RAIS Jakaya Kikwete ameweka historia ya kuwa rais wa kwanza kufika katika kata ya Kibati iliyoko Mvomero mkoani hapa.
Pia amekuwa kiongozi wa pili wa juu wa taifa kufika Kibati baada ya awali Mwalimu Julius Nyerere kufanya hivyo mwaka 1961 wakati akiwa Waziri Mkuu wa Tanganyika.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara mara baada ya kuwasili Rais Kikwete, Mbunge wa Mvomero (CCM), Amos Makalla, alisema ujio wa Kikwete umekonga nyoyo za wakazi wa kata hiyo.
Makalla alisema kilio...
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Kifimbo cha Malkia kufika Zanzibar
KIFIMBO cha Malkia wa Uingereza (QBR), kinatarajiwa kuwasili nchini kikitokea Kigali, Rwanda kupitia Nairobi, Kenya Januari 18 mwakani, kikitarajiwa pia kukimbizwa visiwani Zanzibar. Kwa mujibu wa taarifa ya Katibu Mkuu...
9 years ago
Bongo510 Sep
Nacheka lakini sina furaha ila najua kabisa mpango wao kwangu ni kuniua kabisa nipotee — Ray C
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g8Pcwf5OgxU/U288bmIru8I/AAAAAAAAYFM/EbLLH3fGX4Y/s72-c/TMT+TVP.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Feb
Wanafunzi 66 kidato cha tatu Muungano bado kufika shule
Mwenyekiti wa bodi ya shule ya sekondari ya muungano kata ya Iseke wilaya Ikungi mkoa wa Singida, Rajabu Ali, akifafanua jambo kwenye mkutano wa wazazi wa shule ya sekondari hiyo uliofanyika kwenye chumba cha darasa katika shule hiyo. Kulia ni mkuu wa shule ya sekondari muungano Mwl. Augustino Mkhotya na kushoto ni mmoja wa walimu wa shule hiyo.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
WANAFUNZI 66 waliopaswa kuanza kidato cha tatu katika shule ya Sekondari Muungano kata ya Iseke wilaya ya Ikungi mkoa wa...