JKT yalalamikia wakuu wa wilaya,mikoa kukwamisha maendeleo
Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa(Suma JKT) limewataja baadhi ya wafanyakazi wa serikali wakiwamo wakuu wa mikoa,wilaya na wabunge kuwa miongoni mwa wadaiwa wanaokwamisha mradi wa matrekta kwa ajili ya Kilimo Kwanza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboDk.Shein Afungua Semina ya Wakuu wa Mikoa na Wilaya leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) Hawa Abdulrahman Ghasia alipowasili katika viwanja vya Sea Cliff Mangapwani Mkoa wa Kaskazi/ni B Unguja leo alipofika kufungua semina ya Viongozi wa Juu Mikoa na Wilaya za Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara...
10 years ago
Michuzi13 Nov
Semina ya wakuu wa Mikoa na Wilaya Bara na Visiwani yamalizika Zanzibar
![](https://3.bp.blogspot.com/-Pfi0KuibkUk/VGS9ye8h2fI/AAAAAAAGw-s/7qvCmqZA51U/s640/unnamed%2B(23).jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-PntW3tRnQt4/VGS9yOeNNdI/AAAAAAAGw-k/uxo4scOyJgg/s640/unnamed%2B(22).jpg)
10 years ago
Mwananchi11 Feb
UCHAMBUZI: Heri ya Kinana kuliko wakuu wetu wa mikoa, wilaya
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6aP_oh566hg/VC1Yct4FVgI/AAAAAAAGnVA/vzw5Ob7PHLg/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
MTENDAJI MKUU PDB AWAPA CHANGAMOTO WAKUU WA MIKOA NA WILAYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-6aP_oh566hg/VC1Yct4FVgI/AAAAAAAGnVA/vzw5Ob7PHLg/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aAEIqSWiR64/VC1YdhtJc-I/AAAAAAAGnVI/Q84x4XT1loo/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
10 years ago
MichuziJESHI LA POLISI LAWAJENGEA UWEZO WAKUU WA UPELELEZI WA MIKOA NA WILAYA
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu, amewataka Wakuu wa Upelelezi wa Mikoa na Wilaya, kufanya kazi kwa ufanisi na weledi ili kuzitatua changamoto zinazojitokeza katika jamii yetu hatua ambayo itasaidia kuutokomeza uhalifu na wahalifu.
Kauli hiyo ameitoa mjini Dodoma, jana wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa Wakuu wa Upelelezi wa mikoa na wilaya, mafunzo ambayo yatawajengea uwezo wa kiutendaji katika kukabiliana na uhalifu na...
9 years ago
Michuzi14 Sep
Taarifa potofu kuhusu ushiriki wa watumishi wa Umma Kwenye Kampeni za kisiasa na matumizi ya Magari kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya.
Katika taarifa hiyo, imeelezwa kwamba Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alisema “Ni kosa kwa Wakuu wa Mikoa na Wilaya kutumia rasilimali za serikali yakiwemo magari katika mikutano ya kampeni ya Chama cha Mapinduzi (CCM).”
Alichosema Katibu Mkuu Kiongozi ni kwamba Watumishi wa Umma wakiwemo Wakuu wa...
9 years ago
Habarileo18 Dec
Hospitali ya wilaya yalalamikia MSD
HOSPITALI ya wilaya ya Ulanga, mkoani Morogoro inakabiliwa na changamoto ya uhaba wa baadhi ya dawa muhimu na mashine ya vipimo maalumu kwa magonjwa ya wanawake ‘utra sound’ kwa kipindi kirefu na kulazimika wagonjwa hao kusafiri kwenda maeneo ya mbali na nje ya wilaya hiyo.
9 years ago
MichuziWANASIASA WADAIWA KUKWAMISHA SHUGHULI ZA URAGHABISHI WILAYA YA SHINYANGA VIJIJINI
Na Krantz Mwantepele ,Shinyanga
Si mara nyingi viongozi wa kidini hujihusisha moja kwa moja na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JBLBLEDKFbs/UvvGGZ0UxeI/AAAAAAAFMqk/jA0w3RTUdDQ/s72-c/unnamed.jpg)
KITUO CHA UWEKEZAJI CHAWAPONGEZA WAKUU WA MIKOA KATIKA JITIHADA ZAO ZA KUHAMASISHA UWEKEZAJI MIKOA YA KANDA YA ZIWA
Mikoa ambayo itashiriki katika Kongamano la Uwekezaji la Kanda ya Ziwa ni Mwanza, Geita, Mara, Simiyu, Kagera na Shinyanga Kongamano ambalo kwa pamoja litawakutanisha Wawekezaji pamoja na Serikali katika kujadili vivutio vya Uwekezaji vinavyopatikana katika mikoa hiyo ya kanda ya Ziwa.
Kituo cha Uwekezaji Kimejizatiti...