Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


John Magufuli ni nani?

AJIRA ya kwanza ya mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Joseph Magufuli (55) ilikuwa ni ualimu na atasherehekea siku yake ya kuzaliwa siku nne tu baada ya kufanyika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

Kwa mujibu wa wasifu wake uliogawiwa kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM uliomchagua kuwa mgombea juzi katika Ukumbi wa Mikutano wa CCM uliopo Dodoma, Magufuli alianza kazi akiwa mwalimu wa masomo ya kemia na hisabati katika Shule ya Sekondari Sengerema mkoani Mwanza.

Kwa...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MDAU JOHN CHACHA AMPONGEZA DKT JOHN MAGUFULI KWA USHINDI WA KUIPEPERESHA BENDERA YA CCM KUWANIA URAIS 2015

Mgombea uraisi kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi -CCM Dkt John Magufuli akipongezwa na mwandishi mwandamizi wa kituo cha ITV na Radio one John Chacha siku chache kabla ya Dkt Magufuli kuchukuwa fomu ya kutia nia kugombea nafasi ya Urais kupitia chama cha CCM,ambapo aliagana na mwandishi huyo akiwa njiani kuelekea mikoa ya Geita,Mwanza na Kagera.Pichani ilikuwa ni nje ya ofisi za CCM makao makuu mjini Dodoma,John Chacha anamtakia kila lakheri na afya njema katika safari yake ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli ni nani

Mbio za urais za Dk John Magufuli zilianza Juni 5, 2015 alipochukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia CCM katika Makao Makuu chama hicho mkoani Dodoma, baada ya kuteuliwa na chama chake na baadaye Tume ya Taifa ya Uchaguzi. Alizindua kampeni Agosti 23, kwenye Viwanja vya Jangwani.

 

10 years ago

IPPmedia

Dr John Magufuli


IPPmedia
Dr John Magufuli
IPPmedia
Vice President Dr Mohamed Gharib Bilal is also eyeing the presidency along with Works minister Dr John Magufuli. CCM Headquarters confirmed this in Dodoma yesterday, saying both are expected to pick up nomination forms today. Meanwhile, Transport ...
Sitta, Amina, Mwandosya join Ikulu raceDaily News

all 2

 

9 years ago

IPPmedia

'I am President John Magufuli'


IPPmedia
'I am President John Magufuli'
IPPmedia
Chief Justice Mohamed Chande Othman swears in Dr John Pombe Joseph Magufuli (56) as Tanzania�s fifth-phase President at grand ceremony held at historical Uhuru Stadium in Dar es Salaam yesterday. Dr John Pombe Joseph Magufuli (56) took the ...
Congratulations our new President, John Magufuli!Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
Magufuli sworn in as Tanzania's president amid opposition boycottReuters Africa
Will Dr Magufuli Live...

 

9 years ago

IPPmedia

President John Magufuli


IPPmedia
President John Magufuli
IPPmedia
Stories depicting the manner in which President John Magufuli has started serving the nation seem to be spreading like wildfire across the globe. From Kenya to Nigeria and Australia to Sweden, Dr Magufuli's name has gone viral, ostensibly for the ...
Lessons from a spider web: Why Obama wishes he was Magufuli right nowMail & Guardian Africa
Stop it, Tanzania! Stop provoking ZimNew Zimbabwe.com

all 5

 

9 years ago

IPPmedia

John Magufuli: CCM


IPPmedia
John Magufuli: CCM
IPPmedia
As presidential campaigns continue, with contenders hosting huge turnouts in public rallies, a clear picture about who is likely to win the race may emerge in the next 12 days. Twaweza and IPSOS-Synovate research institutions are expected to release ...

 

9 years ago

IPPmedia

President Dr John Magufuli


IPPmedia
President Dr John Magufuli
IPPmedia
A cross section of scholars, analysts and the general public have commended President John Magufuli's cabinet as lean and of competent individuals fit to keep up with the President's speed. According to analysts interviewed by The Guardian yesterday, ...
President Magufuli's correct stance: Self-Reliance will safeguard country's ...Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
Magufuli's 'Pombe' is intoxicating the worldSDE Entertainment...

 

10 years ago

Africanjam.Com

AND THIS IS DR. JOHN POMBE MAGUFULI CV

DR John Pombe Joseph Magufuli was born on October 29, 1959. He holds a PhD in Chemistry from University of Dar es Salaam.He has been a Member of Parliament (MP) for three terms, that is 2010 - 2015, 2005 - 2010 and 2000 - 2005 and has been a member of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) since 1977.
He has held various ministerial positions and currently is serving as the Minister of Works, the position he took up since May 4, 2012 until October 30, 2015 Other ministries he has served are...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli, Lowassa nani atatufaa kwa siasa za nje?

“Msifanye mabadiliko kwa pupa kama watu wa Libya. Walimuondoa madarakani rais Saddam, hapana rais Gaddafi maana Saddam alikuwa rais wa Kuwait!!”.Sikuamini masikio yangu kwamba haya ni maneno yaliyotoka kinywani mwa mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Pombe Magufuli.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani