Magufuli ni nani
Mbio za urais za Dk John Magufuli zilianza Juni 5, 2015 alipochukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia CCM katika Makao Makuu chama hicho mkoani Dodoma, baada ya kuteuliwa na chama chake na baadaye Tume ya Taifa ya Uchaguzi. Alizindua kampeni Agosti 23, kwenye Viwanja vya Jangwani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
John Magufuli ni nani?
AJIRA ya kwanza ya mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Joseph Magufuli (55) ilikuwa ni ualimu na atasherehekea siku yake ya kuzaliwa siku nne tu baada ya kufanyika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
Kwa mujibu wa wasifu wake uliogawiwa kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM uliomchagua kuwa mgombea juzi katika Ukumbi wa Mikutano wa CCM uliopo Dodoma, Magufuli alianza kazi akiwa mwalimu wa masomo ya kemia na hisabati katika Shule ya Sekondari Sengerema mkoani Mwanza.
Kwa...
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Magufuli, Lowassa nani atatufaa kwa siasa za nje?
10 years ago
Raia Mwema22 Jul
Kama akiwa Rais Nani atamfunga ‘gavana’ Magufuli?
NIANZE kwa kuwaomba radhi wasomaji wangu kwa kutoweka ghafla, na kwa muda mrefu katika safu hii.
Johnson Mbwambo
10 years ago
Mwananchi21 May
NANI NI NANI URAIS: Peter Mziray, Rais Mtendaji APPT-Maendeleo
10 years ago
Mwananchi31 May
NANI NI NANI URAIS: Fahmi Dovutwa: Mwenyekiti wa chama cha UPDP
10 years ago
Mwananchi05 Jun
NANI NI NANI URAIS: Profesa Ibrahim Lipumba: Mwenyekiti wa CUF
10 years ago
Mwananchi06 Jun
NANI NI NANI URAIS: DK Willibroad Slaa: Katibu Mkuu wa Chadema
10 years ago
Mwananchi21 Apr
9 years ago
Mwananchi20 Dec
NANI NI NANI SERIKALI YA JPM: Dk Ashatu Kijaji – Naibu Waziri Fedha na Mipango