Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Juhudi za Kerry zagonga mwamba Paris

Waziri wa mashauri ya nchi za Kigeni wa Urusi Sergei Lavrov amekataa kukutana na mwenzake wa Ukraine Andrii Deschchytsia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

STOP PRESS: RUFAA ZA MRAMBA NA YONA ZAGONGA MWAMBA, KUTUMIKIA MIAKA 2 BADALA YA MITATU, FAINI YA MILIONI 5 YAFUTWA


Na Mwene Saidi wa Globu ya Jamii
Rufaa iliyokatwa na mawaziri wa zamani  Basil Mramba (kushoto) na Daniel Yonah imegonga mwamba katika Mahakama Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam leo, baada ya kuwapunguzia mwaka mmoja na kuwaondolea faini ya milioni 5 na kutakiwa kuendelea kutumikia kifungo cha miaka miwili  baada ya mahakama hiyo kuona hakuna ushahidi wa kuthibitisha shitaka la kusababisha hasara ya Sh. bilioni 11.7.

Kadhalika, mahakama hiyo imesema Mahakama ya Kisutu, ilikuwa sahihi...

 

5 years ago

Contactmusic.Com

Paris Hilton | Paris Hilton's family donate $10M towards Covid-19 relief efforts

Paris Hilton | Paris Hilton's family donate $10M towards Covid-19 relief efforts  Contactmusic.comView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Michuzi

MCHEPUKO UNAPOGONGA MWAMBA

Mara baada ya kutokea kwa tatizo la gari kubwa kuziba njia katika eneo la Kiwangwa Wilayani Bagamoyo,magari mengi yalilazimika kutafuta njia mbadala ya kukwawezesha kuendeela na safari zao,lakini bahati mbaya huku nako kukatokea lingine na lori la mchanga kukwama kwenye udongo na kusababisha adha nyingine kwa wasafiri waliokuwa wakitumia njia hii.Lori hilo likiwa limekwama kwenye dongo kutokana na uzito mkubwa liliokuwa nao,hali iliyopelekea adha nyingine kwa watumiaji wa njia hiyo.Sehemu ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

John Kerry azuru Misri

Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani John Kerry yupo mjini Cairo nchini Misri ili kukutana na raiswa taifa hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Chenge agonga mwamba escrow

Dar es Salaam. Juhudi za mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (pichani) kutumia mkondo wa sheria kulizuia Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma lisimuhoji kuhusu kuhusika kwake kwenye sakata la escrow, zimegonga mwamba Mahakama Kuu kutupilia mbali kesi aliyofungua kupinga hatua hiyo.

 

10 years ago

BBC

John Kerry in brief visit to Mogadishu

John Kerry becomes the first US secretary of state to visit the Somali capital Mogadishu, which is recovering from years of conflict

 

10 years ago

TheCitizen

Kerry’s trip and other African matters

There have been a handful of crises, and collective Africa, through the African Union, and even regional organisations, has said nothing.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kerry: Israel na Palestina zungumzeni

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry srael na Palestina kutia maanani usitishwaji wa mapigano.

 

11 years ago

BBC

Kerry: US investment helping Africa

US investment in Africa is fighting extremism, bringing stability and improving Africans' lives, US Secretary of State John Kerry tells the BBC.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani