MCHEPUKO UNAPOGONGA MWAMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-sNQOof2fhpk/VKv6th63IqI/AAAAAAAG7vE/NLZjWIju0Ws/s72-c/IMG_4668.jpg)
Mara baada ya kutokea kwa tatizo la gari kubwa kuziba njia katika eneo la Kiwangwa Wilayani Bagamoyo,magari mengi yalilazimika kutafuta njia mbadala ya kukwawezesha kuendeela na safari zao,lakini bahati mbaya huku nako kukatokea lingine na lori la mchanga kukwama kwenye udongo na kusababisha adha nyingine kwa wasafiri waliokuwa wakitumia njia hii.
Lori hilo likiwa limekwama kwenye dongo kutokana na uzito mkubwa liliokuwa nao,hali iliyopelekea adha nyingine kwa watumiaji wa njia hiyo.
Sehemu ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMn2Q31m1W2fvsR71qwxq0nFdjwVDDARDQ6cflEAK6kJLQ2FEwBf9X8*ljm3imM45t1Uv91KiQrtgbp55P-M16pg/balaa.jpg?width=650)
BALAA LA MCHEPUKO!
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Nyongeza ya posho yagonga mwamba
9 years ago
Bongo Movies01 Oct
Patcho Mwamba Kujaribu Kipindi
Msanii wa maigizo, muimbaji, Mtunzi, Mpanga Muziki na Mchekeshaji Patcho Mwamba ameendelea kuongeza fani ambazo amekuwa akizimudu vyema kwa upande wa sanaa, huku akiwa katika maandalizi ya kutoa albam mpya ya bendi ya FM Academia.
Star huyo amejipanga kwa ajili ya kutengeneza kipindi kitakachosimama kwa jina la Bana Congo ambacho atawafahamisha mashabiki zaidi juu yake mara baada ya uchaguzi.
Patcho ameiambia eNewz kuwa kwa sasa hana filamu yoyote kubwa ambayo anatayarisha kama yeye,...
10 years ago
Mwananchi27 Jun
Chenge agonga mwamba escrow
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Waomba barabara ya mchepuko
WAFANYABIASHARA wa eneo la Mbezi Beach B, wilayani Kinondoni, Dar es Salaam, wameiomba Wizara ya Ujenzi kuwajengea barabara ya kuchepuka kutokea Mwai Kibaki kuingia Mtaa wa NSSF. Akizungumza na waandishi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kdMiOwfaxve890EA-gaiXu3zu59JDEsW9oarXBQGWBomiTvi4Iy2KCELTt599TPzB0-Dsi-j8Lse8XB*ZT8xZY-fElWmJV*j/patch.jpg)
PATCHOU MWAMBA AFUNGUKIA ISHU YA KUFUMANIWA
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Ndugu washtakiwa ugaidi wagonga mwamba
MAHAKAMA Kuu ya Vuga mjini hapa, imetupilia mbali ombi la dharura lililofunguliwa na jamaa wa watuhumiwa wanaoshitakiwa kwa makosa ya ugaidi katika mahakama za Tanzania Bara. Akisoma uamuzi huo, Jaji...
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Mazungumzo Sudan Kusini yagonga mwamba