Waomba barabara ya mchepuko
WAFANYABIASHARA wa eneo la Mbezi Beach B, wilayani Kinondoni, Dar es Salaam, wameiomba Wizara ya Ujenzi kuwajengea barabara ya kuchepuka kutokea Mwai Kibaki kuingia Mtaa wa NSSF. Akizungumza na waandishi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMn2Q31m1W2fvsR71qwxq0nFdjwVDDARDQ6cflEAK6kJLQ2FEwBf9X8*ljm3imM45t1Uv91KiQrtgbp55P-M16pg/balaa.jpg?width=650)
BALAA LA MCHEPUKO!
Stori: Issa Mnally AMA kweli mchepuko ni balaa! Jamaa aliyefahamika kwa jina moja la Peter amekiona cha moto baada ya kufanya mchepuko na mke wa rafiki yake bila kufahamu kuwa kufanya hivyo ni hatari kwa maisha yake, Risasi Jumamosi lina kisa na mkasa. Mfumaniwa akivaa kwa aibu saaana mara baada ya fumanizi hilo. Kama kawaida, hivi karibuni, Mkuu wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, akiwa chumba cha habari,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sNQOof2fhpk/VKv6th63IqI/AAAAAAAG7vE/NLZjWIju0Ws/s72-c/IMG_4668.jpg)
MCHEPUKO UNAPOGONGA MWAMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-sNQOof2fhpk/VKv6th63IqI/AAAAAAAG7vE/NLZjWIju0Ws/s1600/IMG_4668.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4eE3ZGYxr2g/VKv6trQ7M4I/AAAAAAAG7uo/ET9LtpY5L-g/s1600/IMG_4687.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_AUYWtF1Bpo/VKv6ul3606I/AAAAAAAG7uw/5Bcw9978irw/s1600/IMG_4694.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RjUGj58MiaHqJgf-8CwvOn2b3hgxq*sL9DplvEp7zQoaEy31C7*9ticLm0-Ct9LKH6oVSmkVGU*5imNwJt*o-Su2jOpsR*9B/WAGOMBEA.jpg)
MUME, MCHEPUKO WAGOMBEA MTOTO
Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
Makubwa! Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mke wa mtu aliyekuwa akiishi ukweni na mumewe wa ndoa, Bahati Ramadhani, amenusurika kuuawa na ndugu wa mumewe wakiwemo mawifi na wakwe zake baada ya kudaiwa kumgonganisha mumewe na mchepuko wake na kujikuta wakigombea mtoto. Mwanamke, Bahati Ramadhani anayeidaiwa kumgonganisha mumewe na mchepuko. Tukio hilo la kushangaza lililojaza kadamnasi...
9 years ago
Dewji Blog27 Sep
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyIlzjLv2MlL3W2SqSTeCjxiCYBdbaVRlBztZLUsaJXvnPoinxEVApx*lCTvUxjkPyuv6G8vpMBsv9MlfHvqKmiid/DUDE.jpg)
DUDE ATOA SOMO LA MCHEPUKO
Na Gladness Mallya
STAA wa Mchezo wa Bongo Dar es Salaam, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibuka na kuwataka wasanii wenzake kuepuka michepuko akidai wengi wao wanaiendekeza. Msanii Kulwa Kikumba 'Dude' akiwa ndani ya ofisi za Global Tv Online.
Akizungumza na paparazi wetu, Dude alisema michepuko ndiyo chanzo cha magonjwa na tasnia nzima ya filamu kuonekana haina maana hivyo ni vyema wasanii wakabadilika kwa kuiga...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omJ8a*S3N*zviE6zUc0NLhqUVO9aVKUj1CtDyBXTygmXJwbgjErOMmZUN5-yhvdJKKmk-8mY6K2QPhoQ78LfS8Ya6lG1RZjY/IMG20151001WA0002.jpg?width=650)
MKE, MCHEPUKO WAGOMBEA MAITI
Mke wa marehemu, Anna. Dustan Shekidele, Moro Kha! Mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Bella aliyedaiwa kuwa ‘mchepuko’ wa mwanaume aitwaye Lugano aliyefariki dunia wiki iliyopita, alinusurika kipigo baada ya kuvamia msibani akigombea maiti na mke wa ndoa. Tukio hilo la kushangaza lililoshuhudiwa na mwanahabari wetu lilijiri wiki iliyopita nyumbani kwa marehemu huyo maeneo ya Kota za Chuo Kikuu Cha Kilimo Cha Sokoine (Sua)...
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Mchepuko wamponza mkazi Newala
WATU wawili wamefariki dunia katika matukio mawili tofauti mkoani hapa, likiwemo tukio la mwanaume mmoja kucharangwa mapanga kwa madai ya kukutwa akifanya mapenzi na mke wa mtu. Kwa mujibu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yOgnAhl3bG8/VKK74AYOgZI/AAAAAAAG6ms/g6v3NwpbDwQ/s72-c/DSCF2685.jpg)
hivi mchepuko huu unaruhusiwa??
![](http://1.bp.blogspot.com/-yOgnAhl3bG8/VKK74AYOgZI/AAAAAAAG6ms/g6v3NwpbDwQ/s1600/DSCF2685.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6WUdXw3VsWc/VKK8pMbL-eI/AAAAAAAG6m0/wUSpJQXlXHE/s1600/DSCF2683.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania