Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JULIANA KANYOMOZI AFIWA NA MWANAYE

Juliana akiwa na mwanaye Keron enzi za uhai wake. MWANAMUZIKI maarufu nchini Uganda, Juliana Kanyomozi, leo asubuhi amempoteza mwanaye wa kiume, Keron (11) aliyekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa pumu. Keron amefariki akiwa katika Hospitali ya Aga Khan jijini Nairobi, Kenya alipokuwa akitibiwa. Juliana Kanyomozi. Taarifa iliyotolewa katika ukurasa wa Facebook wa Fenon Records inayofanya kazi na staa huyo ilisema:
"Mtoto pekee...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Video: Juliana Kanyomozi — Woman

Tazama video mpya ya muimbaji wa Uganda, Juliana Kanyomozi ya wimbo wake ‘Woman’.

 

11 years ago

Dewji Blog

Lady Jaydee, Juliana Kanyomozi and Jamila Mbugua named Oriflame Beauty ambassadors

KK,HJ,JM,JD standing

 

From left: Henrik Johannesson( Vice President of Oriflame Africa), Lady Jaydee, Jamila Mbugua(Kenyan Musician), Klas Kronaas (Managing Director Oriflame East Africa) posing for a photo after announcing them to endorse Oriflame beauty and cosmetic line in East  Africa.

Swedish beauty company, Oriflame Cosmetics, has announced the appointment of three renowned Eastafrican celebrities as brand ambassadors. The three Lady Jaydee, Juliana Kanyomozi and Jamila Mbugua, will represent the...

 

11 years ago

GPL

LADY JAYDEE, JULIANA KANYOMOZI AND JAMILA MBUGUA NAMED ORIFLAME BEAUTY AMBASSADORS‏

  From left: Henrik Johannesson( Vice President of Oriflame Africa), Lady Jaydee, Jamila Mbugua(Kenyan Musician), Klas Kronaas (Managing Director Oriflame East Africa) posing for a photo after announcing them to endorse Oriflame beauty and cosmetic line in East Africa. Swedish beauty company, Oriflame Cosmetics, has announced the appointment of three renowned Eastafrican celebrities as brand ambassadors. The three Lady...

 

10 years ago

GPL

FRANK AFIWA NA MWANAYE WA KIUME

Mohammed Mwikongi ‘Frank’. MUIGIZAJI wa filamu za Kibongo, Mohammed Mwikongi ‘Frank’ amefiwa na mwanaye mchanga wa kiume aliyekuwa akitibiwa katika Hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam…

 

10 years ago

TheCitizen

Juliana: The toughest time in my life

Behind the unequivocal beauty, curvy frame and a mellifluous voice is an immensely strong woman with a great story.

 

9 years ago

Mtanzania

Juliana anasa kwa Mr Flavour

ed3BoQtNAIROBI, KENYA

NYOTA wa muziki nchini Uganda, Juliana Kanyomozi, ameonekana kunasa kwenye penzi la msanii wa Nigeria, Chinedu Okoli ‘Mr Flavour’, baada ya kukutana nchini Kenya katika maonyesho ya Coke Studio.

Wasanii hao wamekutana nchini humo kwa ajili ya muziki uliokutanisha wasanii mbalimbali kutoka Afrika, ambapo wanafanya muziki kwa kushirikiana, lakini ukaribu wa Mr Flavour na Juliana umewafanya mashabiki wao kudhani kuna lingine zaidi ya muziki baina yao.

Mitandao mbalimbali nchini...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamuziki wa kike wa Uganda Juliana Kanyamozi ajifunguwa mtoto wa kiume

Mwanamziki kutoka Uganda Juliana Kanyomozi amejifungua mtoto wa kiume usiku wa kuamkia leo na kumpa jina la Taj.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani