JUST IN: Taarifa Kuhusu Kukamilika Kwa Zoezi La Uteuzi Wa Mgombea Wa Mwenyekiti Wa Bunge Maalum
![](http://1.bp.blogspot.com/-NG-OTarbeQw/UyBroYZujxI/AAAAAAAFTGs/LYugYWJnptc/s72-c/unnamed+(7).jpg)
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Thomas Kashililah akiongea na waandishi wa habari kuhusu kukamilika kwa zoezi la uteuzi wa wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa Bunge Maalum Ofisi kwake leo. Picha na Owen wa Bunge.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
Sisi Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za Dini, tuliopendekezwa na Taasisi zetu na baadaye kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kushauriana na Rais wa Zanzibar kuwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, na kula kiapo cha utekelezaji wa jukumu hili kubwa.Tukiamini kuandaa Katiba Mpya kwa maridhiano ya Kitaifa kwa wananchi wote, tulipokea jukumu hili kama wajibu wetu Kitaifa. Aidha tunaamini kwamba katika kupata maridhiano ya Kitaifa ni muhimu kuheshimu kila wazo na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YbRvq2YxP1E/UydnMriNApI/AAAAAAAFUXo/pD8xEBg5Z0o/s72-c/unnamedj.jpg)
JUST IN: TAARIFA MUHIMU KUHUSU KUENDELEA KWA KIKAO CHA BUNGE MAALUM KESHO TAREHE 18 MACHI, 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-YbRvq2YxP1E/UydnMriNApI/AAAAAAAFUXo/pD8xEBg5Z0o/s1600/unnamedj.jpg)
11 years ago
Michuzi05 Aug
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TGfB4SnXNfo/UyVnLFMAkGI/AAAAAAAFT7k/-Tz_4mnM7WQ/s72-c/unnamed+(23).jpg)
wajumbe wa bunge maalum wahitimisha zoezi la kuapa kwa muda uliopangwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-TGfB4SnXNfo/UyVnLFMAkGI/AAAAAAAFT7k/-Tz_4mnM7WQ/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fr4oCJ66EEk/UyVnK0D_hjI/AAAAAAAFT7c/XASx6aFTyJ0/s1600/unnamed+(24).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wyztZuzeng4/UyVnLFL8NHI/AAAAAAAFT7g/hIyjDqZPvVs/s1600/unnamed+(25).jpg)
11 years ago
Michuzi28 Mar
11 years ago
Michuzi21 Mar
Taarifa kwa Wajumbe wa Bunge Maalum
Katibu wa Bunge Maalum Bwana Yahaya Khamis Hamad anawatangazia Wajumbe wote wa Bunge Maalum kuwa wafike kwenye viwanja vya Bunge leo saa 8:45 mchana ili kushiriki kikao cha Bunge Maalum kitakachoanza saa 9:00 mchana na kufuatiwa na hutuba ya ufunguzi wa Bunge Maalum itakayotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete saa 10 jioni. Kwa maelezo zaidi piga 0713 123 254.
Imetolewa na Ofisi ya Katibu wa Bunge Maalum DODOMA
21/03/2014
Imetolewa na Ofisi ya Katibu wa Bunge Maalum DODOMA
21/03/2014
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania