JWTZ ni kimbilio la wananchi-Kikwete
RAIS na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jakaya Kikwete amesema kuwa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ni kimbilio la Watanzania wote kutokana na mahusiano mazuri ambayo yamekuwepo kati ya jeshi hilo na wananchi katika miaka 50 iliyopita.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8Gl2rGfKTdg/VETgJkHJ6bI/AAAAAAAGsCY/yUG0txnN91s/s72-c/New%2BPicture.png)
TAARIFA KUTOKA JENZI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA (JWTZ)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8Gl2rGfKTdg/VETgJkHJ6bI/AAAAAAAGsCY/yUG0txnN91s/s1600/New%2BPicture.png)
JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIAKURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANO
Simu ya Upepo : “N G O M E” Makao Makuu ya Jeshi,Simu ya Mdomo : DSM 22150463 Sanduku la Posta 9203,Telex : 41051 DAR ES SALAAM, 20 Octoba, 2014Tele Fax : 2153426Barua pepe : ulinzimagazine@yahoo.co.ukTovuti : www.tpdf.mil.tz Taarifa kwa Vyombo vya Habari
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)...
10 years ago
Vijimambo20 Oct
TAARIFA KUTOKA JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA (JWTZ)
![](https://c1.staticflickr.com/9/8062/8227005558_bd0c7fc0eb.jpg)
Simu ya Upepo : “N G O M E” Makao Makuu ya Jeshi,Simu ya Mdomo : DSM 22150463 Sanduku la Posta 9203,Telex : 41051 DAR ESSALAAM, 20 Octoba, 2014Tele Fax : 2153426Barua pepe :ulinzimagazine@yahoo.co.ukTovuti : www.tpdf.mil.tz Taarifa kwa Vyombo vya Habari
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linatoa...
10 years ago
Vijimambo25 Jan
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA JESHI LA WANANCHI (JWTZ)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/index27.jpg)
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linapenda kutoa taarifa kwa wananchi na Vyombo vya Habari kuhusu mgogoro wa eneo la TONDORONI lililopo katika Wilaya ya Kisarawe kama ilivyokaririwa na baadhi ya Vyombo vya Habari hapa nchini.Taarifa zilizotolewa na kukaririwa na baadhi ya Vyombo vya Habari kwamba Wanajeshi wametumia nguvu kuwatoa wananchi eneo la TONDORONI na baadhi yao kudai kupotelewa na mali zao siyo za kweli na ni za kuwapotosha wananchi kwa sababu wananchi hao walitaarifiwa...
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATUNUKU NISHAJI ZA MIAKA 50 YA JWTZ
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cXofN0CMuBw/VT9hzuIXK6I/AAAAAAAHTw0/f3o_QClT_aU/s72-c/Copy%2Bof%2BHayati%2BHashim%2BMbita.jpg)
Taarifa ya kifo kwa vyombo vya habari kutoka JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA (JWTZ).
![](http://3.bp.blogspot.com/-cXofN0CMuBw/VT9hzuIXK6I/AAAAAAAHTw0/f3o_QClT_aU/s1600/Copy%2Bof%2BHayati%2BHashim%2BMbita.jpg)
Brigedia Jenerali Hashim Iddi Mbita (mstaafu) enzi za uhai wake.
![](http://3.bp.blogspot.com/-cou40X-9XwI/VT9im-1FWlI/AAAAAAAHTw8/_9bebtCWLsQ/s1600/New%2BPicture.png)
JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA
Simu ya Upepo : “N G O M E” Makao Makuu ya Jeshi, Simu ya Mdomo : DSM 22150463 Sanduku la Posta 9203, Telex : 41051 DAR ESSALAAM, 28 Aprili, 2015. Tele Fax : 2153426 Barua pepe : ulinzimagazine@yahoo.co.uk Tovuti : www.tpdf.mil.tz Taarifa ya kifo kwa Vyombo vya...
10 years ago
StarTV10 Jan
Rais Kikwete atoa vitabu 201 kwa JWTZ.
Na Mwandishi Maalum
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Jakaya Kikwete amekabidhi vitabu 201 kwa Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania JWTZ Jenerali Devis Mwamunyange ili vitumike katika mafunzo kwenye vyuo na shule za Jeshi.
Rais Kikwete alikabidhi vitabu hivyo Ikulu jijini Dar es Salaam
bad credit installment loans in missouri
Vitabu hivyo vinafanya jumla ya vitabu vilivyotolewa na Rais Kikwete kwa JWTZ kufikia 2752
Pamoja na kukabidhi vitabu hivyo Rais Kikwete, amesema...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-eTuBDI-p4fw/VAtmVi_wDFI/AAAAAAAGgYA/63LwP77um6M/s1600/jk1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATUNUKU NISHANI ZA KUMBUKUMBU YA MIAKA 50 YA JWTZ
10 years ago
Vijimambo09 Nov
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Salum Mwalimu: Chadema kimbilio la wanyonge
SALUM Mwalimu, si jina geni kwa Watanzania wengi wanaofuatilia matukio yanayotokea hapa nchini na nje ya nchi mara kwa mara. Jina hili ni la mwanahabari aliyejizolea umaarufu mkubwa akiwa katika...