Kada atoboa siri ya migororo UVCCM Arusha
VIJANA wengi wanaowania nyadhifa mbalimbali ndani ya Jumuiya ya Umoja wa Vijana ya CCM (UVCCM) mkoa wa Arusha, wamedaiwa kutokuwa na maadili na ndio maana wanatoa kauli ambazo hazizingatii maadili ya uongozi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima05 Dec
Zitto atoboa siri
MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, amemlipua Mbunge wa Kishapu mkoani Shinyanga, Suleimani Nchambi (CCM), kuwa ni kati ya waliohusika kugawa rushwa y ash milioni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75qA5KvqrKtwSnVkFUWpo9Q5C6tbM*XAMgbgRhuTg5Wruxh51ZM*1QLz6Ua7glw64u5U0z6Vp8hWTUCmWN9WTvnn/houseg.jpg)
HAUSIGELI ATOBOA SIRI
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Msekwa atoboa siri ya Muungano
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Mkono atoboa siri za Zitto
10 years ago
Mtanzania12 Mar
Mlinzi wa Dk. Slaa atoboa siri
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
TUHUMA za mauaji ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, zimeendelea kutikisa pembe za nchi huku mlinzi wake binafsi, Khalid Kagenzi, akitoboa siri za mkasa huo.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mabere Marando, kudai mlinzi huyo alikuwa akitumiwa na vyombo vya usalama kwa lengo la kumuua Dk. Slaa.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Kagenzi alisema...
9 years ago
Habarileo02 Oct
Pluijm atoboa siri Yanga
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amesema siri kubwa ya kikosi chake kufanikiwa kuvunja mwiko wa kuifunga Mtibwa Sugar ilitokana na wachezaji wake kucheza kwa nidhamu ya kiufundi.
10 years ago
Michuzi21 Aug
BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-4-robinson1.jpg?w=300&h=225)
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-6.jpg?w=300&h=225)
Katibu wa UVCCM wilaya ya...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/poNlDA9JoO33SUwW9Bw1uh74mT2CMgK1Wj54nDH*t14ImwYs3j-pwm967mT2kUwn1ZARmvYZhBiODXkX6M8vXUU4R9uvlsfV/79129__shilole1.jpg)
SHILOLE ATOBOA SIRI TATTOO YA NUH
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U7YWT3FNhpwn0ODj2CaeKIfnmjnrVBaRc7ad3hQs35e1t4b6BtRGwK*Y9NSwXrhpoZwV*jvSjBYbcXJgeY0wlRyHCltxsTPT/koleta.jpg?width=650)
KOLETA ATOBOA SIRI YA KUCHUKIA WANAUME!