KADINDA AMUANIKA MPENZI

Na Imelda Mtema MWANAMITINDO maarufu Bongo, Martin Kadinda ameamua kumuweka wazi mpenzi wake ambaye siku za nyuma alikuwa na mpango wa kufunga naye ndoa mapema mwaka huu lakini kukatokea tofauti kidogo wakahairisha zoezi hilo. Mwanamitindi maarufu Bongo, Martin Kadinda akiwa na mpenzi wake. Akizunguza na mwandishi wa habari hivi karibuni, Kadinda aliweka wazi kuwa huyo ndio mke wake mtarajiwa na Mungu akipenda...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
RAYUU AMUANIKA MWANDANI WAKE
11 years ago
GPL
HAMISA AMUANIKA MCHUMBA WAKE
10 years ago
GPL
PETIT MAN AMUANIKA MRITHI WA ESMA
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Kanye West amuanika mkewe mtandaoni
11 years ago
GPL
MPENZI WA ZAMANI WA MPENZI WAKO ANAPOKUWA KIRUSI HATARI!
10 years ago
GPL
OSTAZ JUMA AMUANIKA MKEWE NA MTOTO WAKE
9 years ago
Global Publishers27 Dec
Hatimaye Tiwa Savage amuanika sura mwanaye
Staa wa muziki kutoka Naija, Tiwa Savage.
BAADA ya kukaa miezi kadhaa bila kuonesha sura ya mtoto wake tangu ajifungue, staa wa muziki kutoka Naija, Tiwa Savage hatimaye ameamua kumuanika sura mwanaye.
Staa huyo ambaye ni msichana wa kwanza kuingia Lebo ya Mavin inayomilikiwa na Don Jazzy aliamua kuwapa zawadi ya Sikukuu ya Krismasi mashabiki wake kwa kuanika sura ya mwanaye ambaye anamfananisha kama mtoto wa Krismasi.
10 years ago
Bongo Movies19 May
Wastara Amuanika Mbaya Wake, Kisa ni Kuolewa na Marehemu Sajuki
Baada ya kipindi kirefu cha tetesi ya staa wa filamu Wastara kuhofia maisha yake, akihisi upo mpango wa kumuangamiza kwa njia mbalimbali ikiwepo ajali, staa huyo amesema tetesi hizo ni kweli na amekwishazitolea ripoti polisi.
Msanii huyo amekiri kupitia eNewz kuwa, ni kweli yupo katika tishio la maisha yake, mhusika mkubwa wa hilo akiwa mwanaume ambaye alikuwa na mahusiano yake wa zamani ambaye hawana maelewano mazuri naye.Wastara amesema kuwa, amekuwa na historia ya mahusiano mabovu na mtu...
10 years ago
GPLMARTIN KADINDA KUOA SOON!