Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAJALA ANAPATA WAPI JEURI HII?

Imelda mtema FEDHA inaongea! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mwigizaji Kajala Masanja kupanga kwenye mjengo mpya wa maana na kuushehenesha samani na ‘vikorombwezo’ kibao hadi kufikia hatua ya watu kuhoji, amepata wapi jeuri hiyo ya fedha? Ijumaa limenasa mchapo kamili. Mjengo anaoishi mwigizaji Kajala Masanja. Kajala ambaye awali alikuwa akiishi maeneo ya Sinza-Madukani, kwa sasa amehamia katika mjengo huo mpya uliopo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Jeuri hii inatoka wapi?

UPO usemi unaotumika sana kwa baadhi ya watumishi, hasa wa halmashauri za wilaya usemao: “Mtumishi anayechunga mali za wananchi yeye ni mjinga, ila yule anayezifuja na kujineemesha, yeye ni mwerevu.”...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jeuri ya Kisena dhidi ya mahakama inatoka wapi?

MSOMI wa sheria aliyepata kuwa jaji wa Mahakama Kuu nchini, marehemu Kahwa Lugakingira, katika moja ya kauli zake alipata kusema kuwa “mahakama ni kisima cha haki na kila mwenye kiu...

 

11 years ago

GPL

KAJALA AONESHA JEURI YA MAGARI

Stori:Gladness Mallya na Shakoor Jongo MSANII wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja hivi karibuni alionesha jeuri ya magari baada ya kutinga nayo mawili kwa nyakati tofauti kwenye kumbukumbu ya miaka miwili ya marehemu Steven Kanumba. Muonekano wa ndani wa gari aina ya Toyota Bravis anayomiliki Kajala. Awali kwenye ibada ya kumuombea marehemu, Kajala alifika kwenye kanisa moja lililopo Kimara Temboni akiwa...

 

10 years ago

GPL

WEMA AZIMA JEURI YA KAJALA

Stori: Erick Evarist
FEDHA haina mwenyewe! Siku chache baada ya kudaiwa kuyumba kiuchumi kiasi cha kuzidiwa jeuri na aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’, Beautiful Onyinye, Wema Sepetu ameibuka na kujibu mapigo kwa kumwaga ‘mafedha’ ukumbini, Risasi Mchanganyiko linashuka na mzigo kamili. Wema akimwaga manoti kwa mwimbaji wa Skylite Band. Tukio hilo lililowaacha watu midomo wazi lilichukua...

 

11 years ago

Mwananchi

Hofu hii ya mkwamo inatoka wapi?

Waswahili wanasema kuwa ‘nyimbo mbaya hachombezewi mtoto,’ maneno haya yana maana kubwa hasa katika malezi na makuzi, yawe ya mtoto au hata ya taifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani