Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMATI YA BUNGE NISHATI YAWASHA UMEME KISEMVULE

Veronica Simba – Pwani
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imewasha umeme katika Zahanati ya Kijiji cha Kisemvule, kilichopo Mkuranga, Mkoa wa Pwani.

Tukio hilo lilifanyika Machi 17 mwaka huu, wakati Kamati hiyo ikiwa katika ziara kukagua miradi ya umeme vijijini mkoani Pwani.

Akizungumza katika hafla hiyo, Kaimu Mwenyekiti wa Kamati, Vedastus Mathayo, aliwahamasisha wananchi kuchangamkia fursa ya uwepo wa Mradi wa Umeme Vijijini (REA) katika eneo hilo kutokana na gharama yake nafuu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAFANYA ZIARA KATIKA MITAMBO YA KUFUA UMEME YA KINYEREZI 1

Mkurugenzi wa Sera na Mipango kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Wanja Mtawazo ( kulia) akisalimiana na Mbunge wa Lulindi- Masasi, Jerome  Bwanausi ( kushoto) ambaye ni mmoja wa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini mara baada ya kamati hiyo kuwasili katika eneo la mtambo wa kufua umeme wa Kinyerezi I. Kamati hiyo inafanya ziara katika miradi ya umeme katika mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Singida, Arusha na Kilimanjaro pamoja na kuzungumza na wadau wa madini ya...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YATOA USHAURI KWA SERIKALI KUHUSU KUVILINDA VIWANDA VYA VIFAA VYA UMEME

Na Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamii

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeishauri Serikali kuvilinda viwanda vya uzalishaji wa vifaa vya umeme vilivyopo nchini ili kuongeza tija na ufanisi wa viwanda hivyo vilivyopewa jukumu la kuzalishaji vifaa hivyo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umeme inayoendelea nchini.

Akizungumza wakati wa ziara ya Kamati hiyo kutembelea kiwanda cha uzalishaji wa vifaa vya umeme na Transfoma cha AFRICAB kilichopo Kurasini jijini...

 

10 years ago

Michuzi

Ndassa awa Mwenyekiti Mpya wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini

Mwenyekiti Mteule wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini Mhe. Richard Ndassa (Mb) akiwashukuru wajumbe wa Kamati hiyo baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo baada ya Mwenyekiti wa awali Mhe. Victor Mwambalaswa kujiuzulu kufuatia maazimio ya Bunge kuhusu sakata la Account ya Tegeta ya Escrow. Mhe. Ndasa alimshinda mpinzani wake Mhe. Jerome Bwanausi (Mb) katika uchaguzi huo. Makamu Mwenyekiti wa Kamati Bunge ya Nishati na Madini Mhe. Jerome Bwanausi akitoa neno la shukrani mbele...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini yasusa chai ya Mkuu wa Mkoa wa SIngida

DSC04356

Mshauri wa kampuni ya kufua umeme wa upepo Geo Wind, Machwa Kagoswe, akitoa ufafanuzi juu ya kazi ya ufuaji umeme wa upepo katika eneo la kijiji cha Kisasida manispaa ya Singida mbele ya kamati ya Bunge ya Nishati na madini iliyotembelea mkoa wa Singida hivi karibuni.Mwenye miwani ni mwenyekiti wa kamati hiyo Richard Ndassa.

Na Nathaniel Limu, Singida

KAMPUNI ya ubia ya Geo Wind Power Tanzania ltd,inatarajia kutumia zaidi ya dola ya Marekani 136 milioni kwa ajili ya kugharamia uzalishaji wa...

 

10 years ago

Vijimambo

TUHUMA YA ESCROW ZAMFANYA MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI, VICTOR MWAMBALASWA, KUSALIMU AMRI

MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Victor Mwambalaswa, amesalimu amri ambapo ametoa msimamo wake kuwa, yupo tayari kuachia nafasi ya uenyekiti kwani ni maamuzi ya Bunge.Kauli ya Mwambalaswa inakuja siku moja tu, baada ya Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai kuweka wazi wenyeviti watatu wa kamati za Bunge ambao wanatuhumiwa kwenye sakata la Escrow wanatakiwa kuachia ngazi nafasi hizo.Akizungumza na gazeti hili katika mahojiano maalumu, Mwambalaswa alisema tayari Bunge...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YA BAJETI YARIDHISHWA NA KASI UTEKELEZAJI MRADI WA UMEME WA JULIUS NYERERE

Waziri wa Nishati Dkt Medadi Kalemani akizungumza na waandishi wa Habari baada ya kikao na kamati ya Bunge ya Bajeti Mokoani Morogoro Leo March 6,2020.

…………………………………………………………………Na Farida Said, Morogoro

Kamati ya Kudumu ya Bajeti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepewa wasilisho juu ya maendeleo ya utekelezaji mradi Julius Nyerere (Mw 2115).

Wasilisho hilo limetolewa Mkoani Morogoro kwenye ukumbi wa bwalo la JKT Umwema na kuhudhuriwa na Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani,...

 

10 years ago

Michuzi

Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji yatembelea Bwawa la Kuzalisha Umeme la Merowe,nchini Sudan

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji imetembelea Bwawa la Kuzalisha Umeme la Merowe katika Mji wa Merowe na kujionea namna ya wenyeji wanavyotumia maji ya Mto Nile kwa kuzalisha umeme wa kutosha kwa ajili ya mji huo na nchi nzima ya Sudan.
Mradi wa Bwawa la Merowe ni mkubwa katika nchi ya Sudan na mbali na kuzalisha umeme, pia unatumika kwa shughuli za kilimo cha umwagiliaji ambacho kwa aslimia mia kinategemea Mto Nile.
Aidha, mradi wa bwawa hilo pia umechangia kuleta...

 

11 years ago

Michuzi

KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO

 Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha pamoja baina ya Serikali, Kamati ya Uongozi pamoja na Kamati ya Bunge ya Bajeti ikiwa ni kikao cha maridhiano kuhusu Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2014/2014. kikao hicho kiliudhuriwa pia na Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Kayanza Pinda, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya. Picha kwa hisani ya Bunge  Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha pamoja baina ya Serikali, Kamati ya Uongozi pamoja na Kamati ya...

 

10 years ago

Michuzi

Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.

 Na Hussein Makame, MAELEZO, DodomaKAMATI za Bunge za Serikali za Mitaa (LAAC) na ile ya Hesabu za Serikali (PAC), zimeridhishwa na mafanikio na hatua zilizochukuliwa na Serikali kwa kuongeza mapato yake na kushughulikia changamoto zinazoikabili katika kutekelza majukumu yake.

Kufuatia hali hiyo, Bunge limepitisha taarifa za kamati hizo na nyingine tatu, huku Serikali ikiahidi kufanyia kazi yale yote yaliyopendekezwa kwenye taarifa hizo ili kulipeleka Taifa kule kunakotakiwa.

Taarifa za Kamati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani