KAMATI YA BUNGE NISHATI YAWASHA UMEME KISEMVULE
Veronica Simba – Pwani
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imewasha umeme katika Zahanati ya Kijiji cha Kisemvule, kilichopo Mkuranga, Mkoa wa Pwani.
Tukio hilo lilifanyika Machi 17 mwaka huu, wakati Kamati hiyo ikiwa katika ziara kukagua miradi ya umeme vijijini mkoani Pwani.
Akizungumza katika hafla hiyo, Kaimu Mwenyekiti wa Kamati, Vedastus Mathayo, aliwahamasisha wananchi kuchangamkia fursa ya uwepo wa Mradi wa Umeme Vijijini (REA) katika eneo hilo kutokana na gharama yake nafuu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAFANYA ZIARA KATIKA MITAMBO YA KUFUA UMEME YA KINYEREZI 1
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JBH6EnXHHYI/Xm8F2FS6SsI/AAAAAAALj20/iguVWyX29LgIJ5XvZqI9T4WSKX_Y2bdhwCLcBGAsYHQ/s72-c/04.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YATOA USHAURI KWA SERIKALI KUHUSU KUVILINDA VIWANDA VYA VIFAA VYA UMEME
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeishauri Serikali kuvilinda viwanda vya uzalishaji wa vifaa vya umeme vilivyopo nchini ili kuongeza tija na ufanisi wa viwanda hivyo vilivyopewa jukumu la kuzalishaji vifaa hivyo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umeme inayoendelea nchini.
Akizungumza wakati wa ziara ya Kamati hiyo kutembelea kiwanda cha uzalishaji wa vifaa vya umeme na Transfoma cha AFRICAB kilichopo Kurasini jijini...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AfIOdOyIZZQ/VMY6jawiuUI/AAAAAAAG_ko/7_LmgA5L-cY/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
Ndassa awa Mwenyekiti Mpya wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini
![](http://2.bp.blogspot.com/-AfIOdOyIZZQ/VMY6jawiuUI/AAAAAAAG_ko/7_LmgA5L-cY/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ONvNR1EsGTM/VMY6jYdG0_I/AAAAAAAG_ks/uEXX0GM61Sk/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini yasusa chai ya Mkuu wa Mkoa wa SIngida
Mshauri wa kampuni ya kufua umeme wa upepo Geo Wind, Machwa Kagoswe, akitoa ufafanuzi juu ya kazi ya ufuaji umeme wa upepo katika eneo la kijiji cha Kisasida manispaa ya Singida mbele ya kamati ya Bunge ya Nishati na madini iliyotembelea mkoa wa Singida hivi karibuni.Mwenye miwani ni mwenyekiti wa kamati hiyo Richard Ndassa.
Na Nathaniel Limu, Singida
KAMPUNI ya ubia ya Geo Wind Power Tanzania ltd,inatarajia kutumia zaidi ya dola ya Marekani 136 milioni kwa ajili ya kugharamia uzalishaji wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-61zJ4OQsTNY/VJ-F17q-5xI/AAAAAAADS2w/1uEEzbqtg6E/s72-c/Mwakyembe-Mwamba.jpg)
TUHUMA YA ESCROW ZAMFANYA MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI, VICTOR MWAMBALASWA, KUSALIMU AMRI
![](http://1.bp.blogspot.com/-61zJ4OQsTNY/VJ-F17q-5xI/AAAAAAADS2w/1uEEzbqtg6E/s1600/Mwakyembe-Mwamba.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NqHBDzUcZJk/XmM2YtPXebI/AAAAAAALhqk/x4rkyzZIuWIhLG86pFQ6ptVzx7S05VomACLcBGAsYHQ/s72-c/963931f9-fe8e-4984-ab0c-c8ee1bd6686f.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA BAJETI YARIDHISHWA NA KASI UTEKELEZAJI MRADI WA UMEME WA JULIUS NYERERE
![](https://1.bp.blogspot.com/-NqHBDzUcZJk/XmM2YtPXebI/AAAAAAALhqk/x4rkyzZIuWIhLG86pFQ6ptVzx7S05VomACLcBGAsYHQ/s640/963931f9-fe8e-4984-ab0c-c8ee1bd6686f.jpg)
…………………………………………………………………Na Farida Said, Morogoro
Kamati ya Kudumu ya Bajeti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepewa wasilisho juu ya maendeleo ya utekelezaji mradi Julius Nyerere (Mw 2115).
Wasilisho hilo limetolewa Mkoani Morogoro kwenye ukumbi wa bwalo la JKT Umwema na kuhudhuriwa na Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani,...
10 years ago
MichuziKamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji yatembelea Bwawa la Kuzalisha Umeme la Merowe,nchini Sudan
Mradi wa Bwawa la Merowe ni mkubwa katika nchi ya Sudan na mbali na kuzalisha umeme, pia unatumika kwa shughuli za kilimo cha umwagiliaji ambacho kwa aslimia mia kinategemea Mto Nile.
Aidha, mradi wa bwawa hilo pia umechangia kuleta...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yNZmJ19nHPI/U5q8yWo2WBI/AAAAAAAFqTI/C7wIacKNYF0/s72-c/unnamed+(83).jpg)
KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-yNZmJ19nHPI/U5q8yWo2WBI/AAAAAAAFqTI/C7wIacKNYF0/s1600/unnamed+(83).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4ouihL5xM_w/U5q83LeHuCI/AAAAAAAFqTg/8xPEzL_8dm0/s1600/unnamed+(80).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qR3mZchJ2j4/VMzw1eLqr0I/AAAAAAAHAjQ/YXv1dH0-69E/s72-c/1.jpg)
Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.