Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamati ya Bunge yagomea fedha za kununua ng’ombe

UPOTEVU wa ng’ombe kwenye ranchi za taifa umeilazimisha Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kutoishauri Serikali kutoa fedha Sh bilioni 17 zilizoombwa na Kampuni ya Ranchi za Taifa (Narco) kwa ajili ya kuboresha miundombinu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO

 Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha pamoja baina ya Serikali, Kamati ya Uongozi pamoja na Kamati ya Bunge ya Bajeti ikiwa ni kikao cha maridhiano kuhusu Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2014/2014. kikao hicho kiliudhuriwa pia na Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Kayanza Pinda, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya. Picha kwa hisani ya Bunge  Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha pamoja baina ya Serikali, Kamati ya Uongozi pamoja na Kamati ya...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAITAKA SERIKALI KUONGEZA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO YA JAMII

Na Mwandishi Wetu Arusha

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeitaka Serikali kuongeza na kutoa fedha za miradi ya maendeleo ya jamii katika Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru na Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini.

Akitoa maelekezo kwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inayosimamia Taasisi ya Maendeleo ya Jamii leo tarehe 16/03/2020 mkoani Arusha Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Peter Serukamba ametaka ...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA YAPITIA MAPENDEKEZO YA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KWA MWAKA WA FEDHA 2020/21 KILICHOFANYIKA JIJINI DODOMA LEO


Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Katikati), Katibu Mkuu, Christopher Kadio (Kulia) na Naibu klatibu Mkuu, Ramadhani Kailima (Kushoto) wakizungumza kabla ya kuanza Kikao Cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama. Wizara hii imewasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Mwaka wa Fedha  2020/21 katika Kikao kilichofanyika Jijini Dodoma leo.

Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Kushoto), Katibu Mkuu, Christopher Kadio...

 

9 years ago

Habarileo

Waunga mkono fedha za maadhimisho kununua dawa

TAASISI ya Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam inayotoa huduma za kichungaji kwa watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi (Pasada), imeunga mkono agizo lililotolewa na Rais John Magufuli la kutaka fedha zilizotengwa kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Ukimwi kuelekezwa kununua dawa kwa ajili ya waathirika wa ukimwi na vitendanishi.

 

11 years ago

Habarileo

Walimu wasifu fedha za rada kununua madaftari

BAADHI ya walimu kutoka shule mbalimbali za msingi wilayani hapa wameipongeza serikali kwa kutekeleza ahadi yake ya kugawa vitabu vya masomo mbalimbali kwa shule kutokana na fedha zilizotokana na fidia ya rada (maarufu kama chenji ya rada).

 

5 years ago

CCM Blog

BALOZI SEIF ALI IDDI: POKEENI FEDHA ZA WANAOTAKA KUNUNUA UONGOZI NDANI YA CCM

   SALVATORY NTANDUMkamo wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Balozi Seif Alli Idd amewataka viongozi wa ngazi za matawi,kata,wilaya na Mikoa kuzipokea fedha zinazotolewa na baadhi ya watia nia wanaotaka uongozi ndani ya Chama cha mapinduzi(CCM) mkoani shinyanga na kuwafichua kwa vyombo vya usalama ili wachukuliwe hatua Kali za kisheria.
Kauli hiyo ameitoa Julai 26 mwaka huu wilayani Kahama mkoani Shinyanga katika siku ya kwanza ya ziara yake mkoani humo akiwa ni mlezi wa CCM mkoani...

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YA PAC YAPATA UGENI KUTOKA BUNGE LA SUDANI KUSINI

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) akifafanua jambo wakati kamati yake ilipokutana na Kamati ya PAC kutoka Bunge la Sudani Kusini katika Ofisi Ndogo za Bunge leo. Kamati ya PAC kutoka Bunge la Sudani lipo nchini kwa ziara ya kikazi ikiwa ni pamoja na kubadilishana uzoefu na wenyeji wao. Kushoto kwa Mhe. Zitto ni Mwenyekiti wa Kamati ya PAC ya Bunge la Sudani Kusini Bi. Mary Bicensio Wani. Wajumbe wa Kamati ya PAC kutoka Bunge la Sudani wakishiriki kikao hicho na...

 

10 years ago

Vijimambo

MAKINDA AONGOZA KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE, KIKAO CHA BUNGE KUANZA JANUARI 27

Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa Zitto Kabwe akifafanua jambo mbele ya wajumbe wa Kamati ya Uongozi wakati kamati hiyo ilipokaa kuapanga ratiba ya Mkutano wa Bunge kwenye ofisindogo za bunge jijini Dar es Salaam, leo Alhamisi Januari 22, 2015. Kikao cha bunge kinatarajiwa kuanza Januari 27, 2015Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kamati Uongozi leoMwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa, Rajabu Mbarouk akieleza jambo mbele ya wajumbe wa Kamati ya Uongozi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani