Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kambi ya baiskeli Madola yaiva

KAMBI ya timu ya taifa ya mchezo wa baiskeli kwa ajili ya mashindano ya Jumuiya ya Madola, inatarajiwa kuanza wiki ijayo wilayani Karatu, mkoani Arusha. Awali kambi ya timu hiyo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Hukumu ya Okwi yaiva

>Utata wa usajili wa mshambuliaji Emmanuel Okwi kuichezea Yanga au la unaweza kumalizwa keshokutwa, Ijumaa.

 

10 years ago

Habarileo

Ilani ya Uchaguzi ya CCM yaiva

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein (kushoto), Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Philip Mangula (kulia) na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana wakiimba wimbo wa chama wakati wa ufunguzi wa kikao maalumu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichoijadili na kupitisha ilani ya CCM 2015-2020 katika ukumbi wa White House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma jana. (Picha na Freddy Maro).KIKAO Maalumu cha Kamati Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza jana Mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti wake Jakaya Kikwete, kwa ajili ya kupitisha Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015.

 

10 years ago

GPL

MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA YAIVA

Askari wa kikosi cha bendera kutoka JWTZ wakiwa kwenye mazoezi. Askari wa JWTZ wakionesha mfano wa kutoa heshima kwa Amiri Jeshi Mkuu. Vikosi vya…

 

10 years ago

Mwananchi

Vita ya Mbatia, Mrema yaiva

Mapokezi makubwa, yanamsubiri Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia anayetarajiwa kuwasili Jimbo la Vunjo leo, kukutana na wananchi waliomuomba agombee ubunge 2015.

 

11 years ago

Mwananchi

Tafiti sera ya filamu yaiva

>Shirikisho la Filamu Tanzania TAFF, pamoja na vyama vingine vinane  vinavyounda umoja huo jana wamewasilisha utafiti  wa sera ya filamu nchini kwa Wizara ya Habari, Vijana, Michezo na Utamaduni.

 

10 years ago

Mwananchi

Hukumu ya kina Mramba yaiva

Dar es Salaam. Hatimaye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu itatoa hukumu katika kesi inayowakabili mawaziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na wa Nishati na Madini, Daniel Yona pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Gray Monja, Juni 30, mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Kampeni kupinga ukatili wa kijinsia yaiva

Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Afrika (Wildaf) limeandaa kampeni ya siku 16 kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia.

 

9 years ago

Mtanzania

Safari ya Miss Tanzania China yaiva

11-1NA MWANDISHI WETU

SAFARI ya Miss Tanzania 2014, Lilian Kamazima, anayetarajiwa kuagwa leo ipo tayari kwa ajili ya kwenda kushiriki mashindano ya Dunia (Miss World) ambayo fainali zake zitafanyika ukumbi wa Beauty Crown Grand Theatre, nchini China.

Shindano hilo la dunia linatarajiwa kufanyika Desemba 19, mwaka huu, likijumuisha washiriki kutoka nchi zaidi ya 120 wakiwania taji linaloshikiliwa na Rolene Strauss kutoka nchini Afrika Kusini, aliyeibuka kidedea mwaka jana jijini London,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani