Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMERA YETU JIJINI DAR

Hapa ni karibu na ofisi za Shirika la Maendeleo la Tiafa (NDC) ambapo inaonekana ujenzi wa barabara ya mabasi yaendeyo kasi unaendelea kwa kasi. Magari yakipeleka mifuko ya saruji kwa ajili ya kuendeleza ujenzi karibu na Kanisa la Katoliki la Mt. Joseph Barabara ya Sokoine.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KAMERA YA GPL JIJINI DAR LEO

Jamaa huyu alinaswa na kamera yetu maeneo ya Ubungo akicheza na kuimba barabarani. Wahudumu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), wakimsaidia mama mmoja kwa kumuingiza kwenye Bajaj. KAMERA ya GPL leo imewashuhudia wahudumu wa Kanisa la…

 

11 years ago

GPL

KAMERA YETU MTAANI

Hapa ni sokoni Tandale. Wachuuzi wakifanya biashara katika soko la Tandale. Mishemishe…

 

11 years ago

GPL

KAMERA YA GLOBAL ILIVYOJICHIMBIA SEHEMU MBALIMBALI JIJINI DAR

Mhubiri wa kidini aliyejulikana kama Hosea Cha Mungu akihubiri sehemu za Ubungo ambako alidai aliwahi kukutana na mwigizaji, marehemu Steven Kanumba huko Lagos, Nigeria kabla hajafa. Wasikilizaji wa hotuba ya Cha Mungu wakionyeshwa baadhi ya picha za wafuasi wa madhehebu ya Freemason.…

 

11 years ago

GPL

KAMERA YETU IMETEMBELEA MAENEO MBALIMBALI YA JIJI

Eneo la kutunzia vifaa.
Chemba ya maji.
Chemba eneo la Morocco.…

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA MASHAURIANO KUHUSU AMANI, UMOJA NA UTULIVU WA NCHI YETU KUFANYIKA KESHO UKUMBI WA MIKUTANO WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM

 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), Joseph Butiku (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mkutano wa amani, umoja na utulivu wa nchi utakaofanyika kuanzia leo na kesho ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC) na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa vyama vya siasa, serikali, dini, asasi za kiraia na wazee. Kulia ni Msaidizi wa mkurugenzi huyo, Gallus Abedi na Ofisa Mipango, Edger Atubonekisye. Mkutano...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dar kufungwa kamera za matukio

RAIS Jakaya Kikwete, amesema kuanzia Juni mwakani kila kinachofanyika katika jiji la Dar es Salaam kinaonekana katika mitambo itakayokuwapo kila mahali. Alisema kutokana na kufungwa kwa mitambo hiyo waharibifu wa...

 

11 years ago

GPL

JIJI LA DAR LILIVYOKUTWA NA KAMERA YA GLOBAL LEO

Maji yakiwa yamejaa barabarani maeneo ya Manzese jijini Dar kutokana na mvua.   Kazi ya ujenzi ikiendelea Barabara ya Morogoro kwa ajili ya mabasi yaendayo kasi.…

 

11 years ago

GPL

BARABARA ZA JIJI LA DAR KATIKA KAMERA YA GLOBAL

Askari wa usalama barabarani akitimiza majukumu yake eneo la Fire.
Foleni ni sehemu ya maisha ya wakazi wa Dar hapa ni maeneo ya Fire. Eneo la Mtaa wa Fire ambalo limejaa maji.…

 

11 years ago

GPL

KAMERA YA GLOBAL IKIRANDARANDA MITAA YA JIJI LA DAR

Feri ya Mv Kigamboni ikiwa mzigoni. Abiria wakitoka maeneo ya Kigamboni wakishuka kutoka kwenye Feri.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani