KAMPUNI YA VIJANA WA KITANZANIA YA (CHINA WORD BUZ) KUWAKOMBOA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WA KATI
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/01/211.jpg)
Meneja Mkuu wa kampuni hiyo nchini China Justin Luvanda akizungumza na waandishi wa habari kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere mara baada ya kwasili akitokea nchini China na ujumbe wa wafanya biashara wenzake, kushoto ni Ofisa mtendaji mkuu wa kampuni ya China Word Buz nchini China Bwana Cheng Wang Wu na kulia ni Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo hapa nchini Bw. Shafii Mwaijande.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/01/313.jpg)
CHINA WORD BUZ YAELEZEA NJIA MBADALA ZITAKAZOPUNGUZA GHARAMA ZA WAFANYABIASHARA WADOGO KUFUATA BIDHAA CHINA
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/01/132.jpg)
KAMPUNI YA CHINA WORLD BUZ YAENDESHA SEMINA KWA WAFANYABIASHARA JIJINI ARUSHA
10 years ago
MichuziKampuni ya maji ya Kisima AQUA COOL LTD yatoa msaada wa nguo za kujikinga na mvua kwa wafanyabiashara wadogo wadogo jijini dar
KUTOKANA na mvua kubwa zilizonyesha karibu maeneo yote ya nchi na kuleta maafa hususan katika jijin la Dar es Salaam Kampuni ya Aqua Cool Ltd Watengenezaji wa maji safi ya Kisima Pure Drinking Water imetoa msaada wa mavazi ya kujikinga na mvua ya mpira (ponchos) kwa wakazi wa wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Msaada huo ulitolewa na uongozi na wafanyakazi wa kampuni hiyo kwa makundi mbalimbali kama watembea kwa miguu, mama lishe , waendesha bodaboda na...
9 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/Mkuu-wa-utafiti-na-machapisho-ESRF-profesa-Fortunata-makene-akifungua-warsha.jpg)
MABADILIKO MAKUBWA YA KISERA KUINUA WAJASIRIAMALI WADOGO NA WA KATI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aWw3rEjKijQ/U_xUEK0mUuI/AAAAAAABGW8/qH7XCKes_CA/s72-c/Pg.2.jpg)
BENKI YA CRDB YALETA UFANISI KATI YA WAFANYABIASHARA, WAWEKEZAJI WA CHINA NA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-aWw3rEjKijQ/U_xUEK0mUuI/AAAAAAABGW8/qH7XCKes_CA/s1600/Pg.2.jpg)