Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kampuni zateketeza dawa za Sh92 milioni

Kampuni tatu za maduka ya dawa za binadamu mkoani Mbeya zimeteketeza dawa zilizokwisha muda wake zenye thamani ya Sh92 milioni baada ya kuzipeleka kwenye Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Pfizer yainunua kampuni ya dawa ya Allergan

Kampuni inayotengeza dawa ya Viagra ,Pfizer imeungana na kampuni inayotengeza dawa aina ya Botox ,Allergan kwa kima cha dola bilioni $160bn.

 

11 years ago

Habarileo

Mnigeria atuhumiwa kukutwa na dawa za kulevya za milioni 54/-

 Godfrey NzowaRAIA wa Nigeria, Okwubili Agu (40), amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA) akiwa na pipi 71 za dawa za kulevya aina ya heroin, zenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 54, alizokuwa amezimeza tumboni.

 

9 years ago

Vijimambo

WHO YATOA DAWA ZA MILIONI 42.2 KUPAMBANA NA KIPINDUPINDU NCHINI

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Donan Mmbando (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi wakati akipokea msaada huo kutoka WHO. Kulia ni Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Nchini Dk. Rufaro Chatora. Taarifa ikitolewa kabla ya kupokea msaada huo. Hapa wakitiliana saini mkataba wa kupokea msaada huo.
Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Nchini Dk. Rufaro Chatora (katikati), akimkabidhi Katibu Mkuu wa Wizara ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

WHO yatoa dawa za milioni 42.2 ili kupambana na Kipindupindu nchini

unnamed

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dr. Donan Mmbando (katikati) akipokea msaada wa dawa za kuthibiti maambukizi ya kipindupindu kutoka kwa mwakilishi wa shirika la Afya Duniani (WHO) Dr. Rufaro Chatora(kulia). Kushoto ni Mganga Mkuu kutoka Wizara hiyo Dkt. Margaret Mhando.(Picha na Ally Daud).

Na Ally daud-Maelezo

Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii imepokea msaada wa  dawa  za kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu nchini kutoka Shirika la Afya Duniani zenye thamani...

 

9 years ago

Habarileo

Kampuni 5 za simu zatozwa faini ya milioni 125/

MAMLAKA ya Mawasiliano nchini (TCRA) imezitoza faini kampuni tano za simu za mkononi nchini, kwa kushindwa kutekeleza wajibu wao wa kuhakikisha uwepo wa usalama wa kiufundi na kisheria kwenye masuala ya taarifa zinazopitia kwenye mitandao yao. Kampuni hizo kila moja imetozwa faini ya Sh milioni 25.

 

10 years ago

TheCitizen

Sh92 billion project set to boost vocational training

>A $57 million (Sh92.4 billion) project aimed at increasing access to technical and vocational education and training was launched yesterday.

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA BARRICK YAILIPA SERIKALI DOLA MILIONI 100




Waziri wa Fedha na Mipango Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) wa pili kushoto, akipokea hundi kifani ya dola milioni 100 kutoka kwa Mwakilishi Mkazi wa Kampuni ya Barrick Bw. Hilaire Diarra (wa pili kushoto), Jijini Dodoma Tarehe 26 Mei, 2020, ikiwa ni sehemu ya malipo ya dola milioni 300 ambazo Kampuni hiyo ilikubali kuilipa Serikali kumaliza mzozo uliokuwepo kati ya Serikali na Kampuni hiyo hatua iliyosababisha pia kuanzishwa kwa Kampuni ya Ubia ya Madini ya Twiga kati ya Serikali na...

 

11 years ago

Mwananchi

Majambazi wampora meneja Kampuni ya Olam Sh47 milioni

Majambazi wenye silaha juzi mchana walimpora meneja wa Kampuni ya Ununuzi wa Korosho na Ufuta ya Olam, Jafari Mgumba takriban Sh47 milioni.

 

10 years ago

TheCitizen

Oil retailers, marketing firms clash over Sh92 litre profit

A row is simmering between oil retailers and marketing companies over how to share the Sh92 that they earn as profit on every litre of petroleum products sold to final consumers.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani