Majambazi wampora meneja Kampuni ya Olam Sh47 milioni
Majambazi wenye silaha juzi mchana walimpora meneja wa Kampuni ya Ununuzi wa Korosho na Ufuta ya Olam, Jafari Mgumba takriban Sh47 milioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Sep
Majambazi wampora kadinali Brazil
10 years ago
Mwananchi30 May
Majambazi wampora bunduki askari, Pwani
10 years ago
Mtanzania05 Sep
Meneja Barclays adaiwa kuwasiliana na majambazi kupanga wizi
![Benki ya Barclays](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/majambazi-barclays.jpg)
Benki ya Barclays
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MENEJA wa Benki ya Barclays Tawi la Kinondoni, Alune Kasilika, amedaiwa kuwa aliwasiliana na watuhumiwa wa tukio la ujambazi katika benki hiyo wakiandaa utekelezaji wake.
Hayo yalidaiwa jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na Wakili wa Serikali, Janeth Kitali, mbele ya Hakimu Mkazi Nyigulile Mwaseba, wakati akiwasomea washtakiwa maelezo ya awali.
Kitali alidai siku ya tukio Aprili 14, mwaka huu, mshtakiwa Alune na Neema Batchu ambao ni...
11 years ago
Habarileo02 Jun
Majambazi waua, wapora Sh milioni 20
WATU wawili wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha aina ya Short gun wamepora kiasi cha Sh milioni 20 kutoka kwa mtumishi wa duka la kubadilishia fedha za kigeni la Northern Bureau de Change na kumpiga risasi mtu mmoja na kufa papo hapo.
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Majambazi yapora Sh70 milioni Dar
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo69ogqVj59l2a13jJ*sTW4-jSuOGFjGot2xEW88vmsOQuk6ZKGsnrLNErab9Ab2f5B9Nb7b9NVLFH1WPYvnZCup/MAJAMBAZI5.jpg)
MAJAMBAZI WAUWA WAWILI NA KUPORA PESA ZA KAMPUNI YA BONITE MOSHI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YX7Xpwztv5k/U15GW_pgBHI/AAAAAAACft8/PJBeIeph_gY/s72-c/1.jpg)
Olam Tanzania Celebrates World Malaria Day with Partners and Community
![](http://4.bp.blogspot.com/-YX7Xpwztv5k/U15GW_pgBHI/AAAAAAACft8/PJBeIeph_gY/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ewl3NLIDrFQ/U15FlcjRQMI/AAAAAAACftk/zR5wcbgtXfE/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-x0CDt6Or9Z0/U15FliLRQUI/AAAAAAACfto/GK3vFVCw-Vc/s1600/3.jpg)
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Kampuni zateketeza dawa za Sh92 milioni
9 years ago
Habarileo31 Dec
Kampuni 5 za simu zatozwa faini ya milioni 125/
MAMLAKA ya Mawasiliano nchini (TCRA) imezitoza faini kampuni tano za simu za mkononi nchini, kwa kushindwa kutekeleza wajibu wao wa kuhakikisha uwepo wa usalama wa kiufundi na kisheria kwenye masuala ya taarifa zinazopitia kwenye mitandao yao. Kampuni hizo kila moja imetozwa faini ya Sh milioni 25.