Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majambazi wampora meneja Kampuni ya Olam Sh47 milioni

Majambazi wenye silaha juzi mchana walimpora meneja wa Kampuni ya Ununuzi wa Korosho na Ufuta ya Olam, Jafari Mgumba takriban Sh47 milioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Majambazi wampora kadinali Brazil

Watu waliokuwa wamejihami wamemuibia Askofu mkuu wa Rio de Janeiro nchini Brazil msalaba wake na pete

 

10 years ago

Mwananchi

Majambazi wampora bunduki askari, Pwani

Dar/Pwani. Matukio ya uporaji bunduki askari kwa watu wanaosadikiwa kuwa majambazi, yameanza kujipenyeza katika jiji la Dar es Salaam huku mkoa wa Pwani wakiendelea kuvamia na kuvunja vituo vya polisi.

 

10 years ago

Mtanzania

Meneja Barclays adaiwa kuwasiliana na majambazi kupanga wizi

Benki ya Barclays

Benki ya Barclays

NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM

MENEJA wa Benki ya Barclays Tawi la Kinondoni, Alune Kasilika, amedaiwa kuwa aliwasiliana na watuhumiwa wa tukio la ujambazi katika benki hiyo wakiandaa utekelezaji wake.

Hayo yalidaiwa jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na Wakili wa Serikali, Janeth Kitali, mbele ya Hakimu Mkazi Nyigulile Mwaseba, wakati akiwasomea washtakiwa maelezo ya awali.

Kitali alidai siku ya tukio Aprili 14, mwaka huu, mshtakiwa Alune na Neema Batchu ambao ni...

 

11 years ago

Habarileo

Majambazi waua, wapora Sh milioni 20

WATU wawili wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha aina ya Short gun wamepora kiasi cha Sh milioni 20 kutoka kwa mtumishi wa duka la kubadilishia fedha za kigeni la Northern Bureau de Change na kumpiga risasi mtu mmoja na kufa papo hapo.

 

9 years ago

Mwananchi

Majambazi yapora Sh70 milioni Dar

Watu wanne wanaodaiwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha wamevamia gari ndogo aina ya Toyota Saloon na kupora fedha zinazokadiriwa kufikia Sh70 milioni.

 

10 years ago

GPL

MAJAMBAZI WAUWA WAWILI NA KUPORA PESA ZA KAMPUNI YA BONITE MOSHI

Mlinzi wa Kampuni ya Bonite, aliyetambulika kwa jina la Shamba baada ya kupigwa risasi na majambazi mjini Moshi. Dereva wa Kampuni ya Bonite aliyetambulika kwa jina moja la Mselemu mara baada ya kushambuliwa kwa risasi na majambazi. ...wakiwa kwenye gari baada ya kushambuliwa kwa risasi na…

 

11 years ago

Michuzi

Olam Tanzania Celebrates World Malaria Day with Partners and Community

Dr. Seif Rashid, Minister of Health and Social Welfare presenting a certificate of recognition to OLAM Tanzania Internal Communications Manager, Elizabeth Nnoko for their commitment to the fight against malaria through the Malaria Safe Initiative.     A section of workers and villagers who attended a World Malaria Day function in Kyela organized by OLAM Tanzania  One of the staff of OLAM in Kyela receiving a treated mosquito net  A section of villagers who attended an event in...

 

9 years ago

Mwananchi

Kampuni zateketeza dawa za Sh92 milioni

Kampuni tatu za maduka ya dawa za binadamu mkoani Mbeya zimeteketeza dawa zilizokwisha muda wake zenye thamani ya Sh92 milioni baada ya kuzipeleka kwenye Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.

 

9 years ago

Habarileo

Kampuni 5 za simu zatozwa faini ya milioni 125/

MAMLAKA ya Mawasiliano nchini (TCRA) imezitoza faini kampuni tano za simu za mkononi nchini, kwa kushindwa kutekeleza wajibu wao wa kuhakikisha uwepo wa usalama wa kiufundi na kisheria kwenye masuala ya taarifa zinazopitia kwenye mitandao yao. Kampuni hizo kila moja imetozwa faini ya Sh milioni 25.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani