Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kaniki: Polisi shirikianeni kuzuia uhalifu kimataifa

WAKUU wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kusini mwa Afrika wametakiwa kuongeza ushirikiano katika kubadilishana taarifa za wahalifu na uhalifu unaovuka mipaka ili kuufanya Ukanda wa Kusini mwa Afrika kuwa salama.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Utafiti wa Costech kusaidia Polisi kuzuia uhalifu

POLISI nchini imetakiwa kutumia matokeo ya utafiti wa tathmini ya Polisi Jamii, kuboresha mkakati huo ili kuimarisha ulinzi na usalama wa raia na mali zao.

 

9 years ago

Mwananchi

TEKNOLOJIA :Magari ya kifahari yanayotumiwa na polisi kuzuia uhalifu

Mara nyingi tumesikia na kuona magari ghali na ya kisasa yakitumiwa na watu mashuhuri, hasa wafanyabiashara wakubwam wasanii na wanamichezo.

 

10 years ago

Mwananchi

Siyantemi aja na mbinu mpya kuzuia uhalifu

Mtumishi wa CCM katika Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Amos Siyantemi, amesema idadi kubwa ya Watanzania wameanza kupoteza imani kwa Serikali na kuendelea kuamini kuwa chama hicho hakijali wanyonge.

 

9 years ago

Mwananchi

Kamera za kuzuia uhalifu zitumike kwa tija

Juzi, Rais Jakaya Kikwete alisema Serikali inajipanga kuweka kamera maalumu za CCTV katika miji mikuu, kwa minajili ya kukabiliana na wimbi la uhalifu nchini.

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Membe KUSHIRIKI MKUTANO WA KUZUIA UHALIFU NA HAKI ZA WAHALIFU Nchini Quatar

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernard Membe (Mb.) akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Quatar Mh. Dkt. Khalid Mohamed Al Attiyah, walipokutana na kufanya mazungumzo kuhusu kuendeleza mahusiano kati ya Tanzania na Quatar pia kutangaza Fursa za uwekezaji nchini Tanzania. Waziri Membe yupo nchini Quatar kwa madhumuni ya kushiriki mkutano kuhusu Kuzuia Uhalifu na Haki za Waalifu. Mazungumzo yakiendeleaWaziri Membe akiwa Katika picha ya pamoja na Bw. Noel Kaganda Mshauri wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ni ya kibaguzi?

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) ya mjini The Hague ilianza kazi zake karibu miaka 15 iliyopita.

 

10 years ago

Ykileo

MAREKANI YAJIUNGA NA MUUNGANIKO WA KIMATAIFA WA MAPAMBANO NDHIDI YA UHALIFU MTANDAO

Maswala ya udukuzi yameendelea kushika kasi katika maeneo mbali mbali ulimwenguni ambapo mataifa mbali mbali yameamua kuunganisha nguvu ya pamoja kupambana na uhalifu mtandao. Katika "UCHAMBUZI" nilio uandikia nilibainisha umuhimu wa kupata chombo kimoja chenye jukumu la kupambana na uhalifu mtandao ambacho kitatoa nguvu kubwa ili kuweza kukabiliana na hali mbaya ya uhalifu mtandao hivi sasa.


Kundi jipya lenye makao yake barani ulaya linalounganisha pamoja nchi wanachama wa bara ulaya pamoja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani