Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ni ya kibaguzi?
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) ya mjini The Hague ilianza kazi zake karibu miaka 15 iliyopita.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania27 Jan
Maaskofu:Mahakama ya Kadhi ya Kibaguzi
JUKWAA la Wakristo Tanzania (TCF) limepinga muswada unaopendekeza kuanzishwa Mahakama ya Kadhi, likiitaka Serikali iuondoe bungeni kwa madai kuwa ni wa kibaguzi na upo kinyume na matakwa ya Katiba.
Muswada wa Marekebisho ya Sheria Mbalimbali ya 2014, unapendekeza pamoja na mambo mengine, marekebisho ya Sheria ya Tamko la Sheria za Kiislamu ya mwaka 1964.
Maaskofu na wajumbe wa jukwaa hilo walikutana Januari 20, mwaka huu jijini Dar es Salaam na kushauri Serikali iondoe muswada huo bungeni...
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Mahakama ya uhalifu kuanzishwa S.Kusini
5 years ago
Habarileo16 Feb
Kaniki: Polisi shirikianeni kuzuia uhalifu kimataifa
WAKUU wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kusini mwa Afrika wametakiwa kuongeza ushirikiano katika kubadilishana taarifa za wahalifu na uhalifu unaovuka mipaka ili kuufanya Ukanda wa Kusini mwa Afrika kuwa salama.
10 years ago
Ykileo![](http://1.bp.blogspot.com/-Yw-mW_JhpIM/VAhcis0-yrI/AAAAAAAAA44/Fj9Qe5KIeF8/s72-c/1.jpg)
MAREKANI YAJIUNGA NA MUUNGANIKO WA KIMATAIFA WA MAPAMBANO NDHIDI YA UHALIFU MTANDAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yw-mW_JhpIM/VAhcis0-yrI/AAAAAAAAA44/Fj9Qe5KIeF8/s1600/1.jpg)
Kundi jipya lenye makao yake barani ulaya linalounganisha pamoja nchi wanachama wa bara ulaya pamoja...
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Picha za mapokezi ya Rais Uhuru Kenyatta alipowasili kwenye mahakama ya uhalifu wa kivita The Hague
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta akisalimiana na baadhi ya raia wa Kenya wanaoishi nchini Uholanzi kabla ya kuingia kwenye mahakama hiyo. (Picha kwa hisani ya ukurasa wa facebook ya Rais Uhuru Kenyatta).
Na Mwandishi wetu
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amewasili mjini Hague nchini Uholanzi, kuhudhuria kikao kuhusu kesi inayomkabili ya kukochechea na kufadhili machafuko ya baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2007.
Kikao hicho kitafanyika Jumatano wiki hii, na kinakuja baada ya upande wa mashtaka...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-TSQg3YdbcSM/Vh4QKMwpkHI/AAAAAAAEA-k/HDbsgNCuoSM/s72-c/FullSizeRender%2B%25281%2529%2B%25281%2529.jpg)
MARAIS WA MAHAKAMA ZA KIMATAIFA ZA MAUAJI YA KIMBARI WAMPONGEZA JK, TANZANIA KWA USHIRIKIANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-TSQg3YdbcSM/Vh4QKMwpkHI/AAAAAAAEA-k/HDbsgNCuoSM/s640/FullSizeRender%2B%25281%2529%2B%25281%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WEBRB8EmPH8/Vh4QNmd--bI/AAAAAAAEA-s/MmEUJlaqFr8/s640/MEROE.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kRqXkrUnE4Q/VZMGlo3qc2I/AAAAAAAHmC4/1xtugH6DQ2c/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
MAHAKAMA YA TANZANIA YASHIRIKI KATIKA MAONESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA ‘SABASABA’ 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-kRqXkrUnE4Q/VZMGlo3qc2I/AAAAAAAHmC4/1xtugH6DQ2c/s640/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
11 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA MSAJILI WA MAHAKAMA YA KIMATAIFA ILIYORITHI SHUGHULI ZA ICTR
10 years ago
CloudsFM05 Dec
Mahakama ya Kimataifa ya ICC imeamua ktupilia mbali kesi ya Uhuru Kenyatta Rais wa Kenya
Mwendeshaji mkuu wa mashitaka Fatou Bensouda ameondoa kesi dhidi ya Kenyatta ambaye alidaiwa kutenda uhalifu dhidi ya binadamu wakati wa ghasia baada ya uchaguzi mkuu nchini Kenya.
Katika Taarifa iliyotolewa na mahakama hiyo iliyopo nchini Uholanzi imesema kesi yake haikua na ushahidi wa kutosha wa Kenyatta kuhusika moja kwa moja na mauaji ya maelfu ya Wakenya wakati wa uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.
Kenyatta alishtakiwa kama mshukiwa mkuu wa ghasia baada ya uchaguzi wa mwaka 2007/2008...