Kanisa la Pugu Chanika SDA lapata milioni 5 kutoka IPTL/PAP kuendeleza ujenzi
KANISA la Waadventista wa Sabato la Pugu Chanika lililopo nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam sasa linaweza kuendeleza mradi wake wa ujenzi na upanuzi wa kanisa baada ya kupata msaada wa fedha wa shilingi milioni 5 kutoka kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL). Msaada huo uliotolewa wakati wa ibada Jumamosi, umefufua jitihada la kanisa za kutanua na kumalizia ukumbi wa kanisa uliopo sasa pamoja na kumalizia ujenzi wa majengo mengine.
Mwakilishi kutoka IPTL...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SL577_OlF1Y/U7ucZwn8WhI/AAAAAAAClCk/h5pVoiajFhc/s72-c/IPTL+1.jpg)
IPTL yatoa shilingi milioni 14.5 kusaidia ujenzi wa Kanisa la Mtakatifu Petro
![](http://4.bp.blogspot.com/-SL577_OlF1Y/U7ucZwn8WhI/AAAAAAAClCk/h5pVoiajFhc/s1600/IPTL+1.jpg)
10 years ago
Michuzi15 Mar
IPTL na PAP zaichangia milioni 10/= kampeni ya Imetosha
![Balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu (kulia) akizungumza na wanahabari kwenye hafla fupi ya kukabidhiwa shilingi milioni 10 zilizotolewa na Makampuni ya IPTL na PAP kusaidia kampeni maalumu kupinga mauaji ya watu wenye albino. Kushoto ni Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Makampuni ya IPTL na PAP, Bw. Joseph Makandege.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_1068.jpg)
![Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Makampuni ya IPTL na PAP, Bw. Joseph Makandege (kushoto) akimkabidhi balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu mfano wa hundi ya shilingi milioni 10 fedha waliyoitoa kusaidia harakati za imetosha jana jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_10591.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Feb
Waziri Membe alipongeza Kanisa la SDA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Benard Membe akifanya mazungumzo na Rais wa Baraza Kuu la Makanisa ya Sabato Duniani Askofu Ted Wilson wakati wa siku ya ufungaji wa Kongamano hilo lililofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam siku ya tarehe 7 Februari, 2015.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dar es Salaam.
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe amelipongeza Kanisa la Wasabato (SDA) kwa kuwa mfano mzuri wa ustahimilivu, uvumilivu wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-D2fSvh8XN1E/U33i5886sPI/AAAAAAAA_WQ/PmueoQQHVYU/s72-c/c1.jpg)
BENKI YA CRDB YACHANGIA MILIONI 20 UJENZI WA KANISA LA KKKT JIMBO LA HAI
![](http://4.bp.blogspot.com/-D2fSvh8XN1E/U33i5886sPI/AAAAAAAA_WQ/PmueoQQHVYU/s1600/c1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-G5lSoMaJQoc/U33i8bR11bI/AAAAAAAA_Ws/YLvvmOL9P00/s1600/c2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-x-EqlrNMLug/VRknd7H64zI/AAAAAAABVwU/KY3ycrhShLE/s72-c/Mchungaji.jpg)
BENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MILIONI 10 UJENZI WA KANISA LA KKKT USHARIKA WA MATOSA
![](http://2.bp.blogspot.com/-x-EqlrNMLug/VRknd7H64zI/AAAAAAABVwU/KY3ycrhShLE/s1600/Mchungaji.jpg)
10 years ago
MichuziMke wa Waziri Mkuu achangisha Milioni 128 kwa ajili ya ujenzi wa Kanisa jijini Dar
11 years ago
MichuziMILIONI 319 ZAPATIKANA KATIKA HARAMBEE YA UJENZI WA KANISA KATOLIKI LA MAKONGO JUU JIJINI DAR
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
IPTL/PAP yawaonya wanasiasa
KAMPUNI ya IPTL/PAP imewataka wanasiasa kutambua kwamba kampuni hiyo sio mali ya serikali, bali inazalisha na kuuza umeme. Imesema kuendelea kujadili masuala ya ndani ya uendeshaji ikiwemo namna ya kuzalisha...
11 years ago
TheCitizen13 Mar
PAP: IPTL takeover was a clean deal