BENKI YA CRDB YACHANGIA MILIONI 20 UJENZI WA KANISA LA KKKT JIMBO LA HAI
Mkurugenzi wa MasokoUtafiti, Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa akiwasili katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Jimbo la Hai kwa ajili ya ibada maalumu ya kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi wa Kanisa la KKKT jimbo la Hai. Katika harambee hiyo Benki ya CRDB ilitoa shilingi milioni 20 kufanikisha ujenzi wa Kanisa na Kituo cha Watoto wanaoishi katika mazingira magumu.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akisaini kitabu cha wageni mara baada ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MILIONI 10 UJENZI WA KANISA LA KKKT USHARIKA WA MATOSA
11 years ago
MichuziJK aongoza Harambee ujenzi wa Kanisa la KKKT Bumbuli
9 years ago
MichuziDK. KIMEI AONGOZA HARAMBEE YA UJENZI WA KANISA LA KKKT USHARIKA WA SIHA MKOANI KILIMANJARO
Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Kiijili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Cuthbert Temba akiongoza ibada. Waumini wa Kanisa hilo wakiwa katiba ibada. Katibu Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Goodfrey...
5 years ago
MichuziMBUNGE KINGU ATOA SARUJI MIFUKO 30 KUSAIDIA UJENZI WA KANISA LA KKKT KATA YA SEPUKA
Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi, Elibariki Kingu (wa tatu kushoto)akikabidhi saruji mifuko 30 kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Musimi katika Kata ya Sepuka wilayani Ikungi jana.
Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi, Elibariki Kingu (kulia) akizungumza na wajumbe wa kamati ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Kinyampembee wakati akikagua ujenzi wa Zahanati hiyo.
Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi, Elibariki Kingu, akishiriki...
5 years ago
MichuziBenki ya I & M yachangia Matenki maalumu kwa Wizara ya afya yenye thamani ya Sh10 milioni
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAKABIDHI HUNDI YA SH. MILIONI 20 KWA MEYA WA KINONDONI
9 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YASAIDIA UJENZI VYUMBA VYA MADARASA GEITA
Sambamba na kusaidia ujenzi na ukarabati wa madarasa Benki ya crdb ilichangia maadhimisho ya wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani yaliyofanyika mjini Geita kwa sababu benki hiyo inawajali wateja wake. Maadhimisho ya wiki Huduma kwa...
5 years ago
MichuziBenki ya CRDB yaikabidhi BAKWATA milioni 10 kusaidia mapambano dhidi ya Corona
== === ==
Benki ya CRDB imekabidhi mchango wa shilingi...
5 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MILIONI 30 KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)
=== === ===
Benki ya CRDB imetoa msaada wa shilingi milioni 30 kwa Chama...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10