KANISA LAMGOMEA KUMBATIZA MTOTO WA AUNT
![](http://api.ning.com:80/files/KkxqEnBJGWDpdR3NuylTeGZjiHn-Ud9sS5mvpSSenaRajF6V41ttkgyFgJSbX1*AasrAgoLpz61dM-fji3ExeMBwjm4Inbb8/Aunt.gif?width=650)
MASHARTI! Kanisa Katoliki limemzuia staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel kumbatiza mwanaye kutokana na kutokidhi matakwa ya kanisa.Tukio hilo limetokea hivi karibuni mara baada ya mwigizaji huyo ambaye imani yake ni ya Kiislamu, kutaka kumbatiza mwanaye huyo ambaye baba yake ( Moze Iyobo) ni Mkatoliki. ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1gY7C2F
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NHPaItPS5EjY-cw6rPzElGPsiTCNnBWpqwdNTV3RSRkkXHea5DfCXf1mXO0JPXfc3b*Mextn7epasWNUFkOlq*3njkQ6yAk*/AUNTTY134.jpg?width=650)
AUNT EZEKIEL AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I4Lv7uhzCAEkB9ToANpqKLwfgpYdDFx1AA6BK6m9kDo2SbXusvqrxbHhOA4mHfWR0m8bkB*CJktoJeN3Y2A7AoxhLQVbGdok/Iyobo.jpg?width=650)
IYOBO AKUBALI KUMUACHIA MTOTO MUME WA AUNT
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3oumJFYFk4rfsqQE5hXqnEkn3NygPCiAse5AJYRZPoJOh5xl-diXcTeH19gv8nITn8A4LqWok2qY3gkyIV8Ih5M82*FiRi0r/aunt.png?width=650)
AUNT: NINGETAKA MTOTO MWEUPE, NINGEZAA NA MZUNGU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6ls9PoaplVWPmXTzPceZHrt9*OCzMvvYBJ82gw0mJc1HsoV4BiqgqlVNgTwC-gNGzdVcKQqG0E3bnN--iLuaF6/AUNT.jpg?width=650)
MIAKA 2 YA NDOA; AUNT EZEKIEL AANZA KUSAKA MTOTO
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Baraza la Madiwani lamgomea waziri
BARAZA la Madiwani katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam, limemgomea Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggrey Mwanri kuendelea...
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Mtoto mchanga apatikana katika hori la kanisa
10 years ago
Dewji Blog22 May
Staa wa Bongo Movie, Aunt Ezekiel sasa ni Mama COOKIE!! ajifungua mtoto wa kike
Aunt Ezekiel
Na Andrew Chale, Modewji blog
Ilikuwa si rahisi kama ilivyojulikana na wengi hasa kwa namna ya ‘fans’ wa staa wa filamu za Bongo maalufu Bongo Movie, kujua hatma ya ujauzito wake ambao ulikuwa ukifuatiliwa na wengi. staa huyo si mwingine ni Aunty Ezekiel (pichani), katika kipindii chote cha ujauzito wake. Lakini kwa neema za Mungu, Asubuhi ya Mei 21.2015, staa huyo aliweza kuifungulia dunia kwa kumleta mtoto wa kike.
Hata hivyo, Mtoto huyo tayari jina lake limeshajulikana...