Kanye West alikaa miaka minne bila kuwa simu ya mkononi!
Wakati Kim Kardashian na Kanye West wanakutana kwa mara ya kwanza, Yeezy hakuwa na simu kwa miakA minne mfululizo. ‘Well, Kanye hakuwa na simu kwa miaka minne,” Kim aliliambia jarida la Paper. ‘Tulipoanza kuwa wapenzi ilikuwa ni kosa kama tulienda na simu zetu,” aliongeza staa huyo wa Keeping Up With The Kardashians. Hata hivyo hiyo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Nov
Kanye West amteua Pusha T kuwa rais wa lebo ya G.O.O.D. Music
![kanye-west-and-pusha-t-release-new-god-flow-in-full](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/kanye-west-and-pusha-t-release-new-god-flow-in-full-300x194.jpg)
Rapper Pusha T ameteuliwa kuwa rais wa lebo ya G.O.O.D. Music.
Uteuzi huo umefanywa na mwanzilishi wa lebo hiyo, Kanye West.
Kwa mujibu wa Billboard, uamuzi huo ulifanyika miezi minne iliyopita baada ya kupigiwa simu na Yeeyz.
“I was flying home and I had just got into my car at the airport,” alisema Pusha. “‘Ye had called me and he was like, ‘Tell me something. What do you think about being the president of G.O.O.D. Music?’ And I was like, ‘Well, what are the things that you’re looking...
10 years ago
Bongo530 Jan
Video: Kanye West: Ndoa na Kim imenifanya kuwa binadamu bora
10 years ago
Bongo509 May
Amber Rose amchana Kanye West kuwa huandikiwa nyimbo zake
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5QfTkOMqXv4o9Wn6K6U1g7wq00SkXWghWl6atBDnc9bksyezqWe*gZYrwITKspcOzEjGeEBkmAKymDPR5WWfmj83/vodacom.jpg?width=650)
9 years ago
Bongo507 Dec
Hili linaweza kuwa jina atakalopewa mtoto wa kiume wa Kanye West na Kim Kardashian
![Grand Opening of RYU Restaurant - Inside](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/042412-fashion-beauty-kim-kardashian-kanye-west-3-300x194.jpg)
Kanye West na Kim Kardashian wamejaaliwa mtoto wa kiume wikiendi iliyomalizika japo jina la mtoto bado halijafamika.
Hata hivyo kuna tetesi kuwa mtoto huyo ataitwa Robert, jina la baba yake Kim Kardashian ambaye ni marehemu kwa sasa.
Mtoto huyo alizaliwa kwenye hospitali ya Cedars-Sinai Medical Center ya Los Angeles kwenye wodi ya uzazi yenye gharama ya $4,000.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...
11 years ago
Bongo505 Jul
Ndoto iliyotimia: Kanye West adai aliomba kumuoa Kim Kardashian miaka saba iliyopita
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Mtoto wa Kim na Kanye West aitwa Saint West
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA DTBi WAZINDUA HUDUMA YA KUREJESHA KUMBUKUMBU NA KUZUIA WIZI WA SIMU ZA MKONONI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
MichuziKAMPUNIYA SIMU ZA MKONONI ZA HUAWEI WAZINDUA SIMU MPYA AINA YA HUAWEI P8