Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KARATE SEMINA, LEEDS, ENGLAND.

 Mwakilishi wa Jundokan So Honbu Tanzania, sensei Fundi, 3rd Dan, amearikwa kushiriki moja ya semina ( Gasshuku) ya Karate mtindo wa Okinawa Goju Ryu Karate-Do Jundokan So Honbu. Semina hii itafanyika nji wa Leeds, Uingereza, kuanzia tarehe 16 hadi 18 Oktoba, 2015. Wakuu wa Jundokan toka visiwa vya Okinawa wakiwemo; Sensei Yoshihiro Miyazato, Kancho ambae ni mtoto wa mwanzilishi wa Jundokan dojo mwaka 1957 master Eiichi Miyazato ( aliyekuwa mwalimu wa Sensei Bomani toka mwaka 1968), ndie...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Sensei Rumadha Fundi aalikwa kushiriki semina ya Okinawa Goju Ryu Karate-Do Jundokan So Honbu huko Leeds, Uingereza


 Mwakilishi wa Jundokan So Honbu Tanzania, sensei Fundi, 3rd Dan (pichani chini), mwenye makaazi yake Marekani, amealikwa kushiriki moja ya semina ( Gasshuku) ya Karate mtindo wa Okinawa Goju Ryu Karate-Do Jundokan So Honbu. 
Semina hii itafanyika nji wa Leeds, Uingereza, kuanzia tarehe 16 hadi 18 Oktoba, 2015. Wakuu wa Jundokan toka visiwa vya Okinawa wakiwemo; Sensei Yoshihiro Miyazato, Kancho ambae ni mtoto wa mwanzilishi wa Jundokan dojo mwaka 1957 master Eiichi Miyazato ( aliyekuwa...

 

9 years ago

Michuzi

GOJU RYU KARATE-DO JUNDOKAN SEMINA UINGEREZA IMEFANA SANA!!



 SenSei Rumadha Fundi, amesimama mbele ya bendera ya Tanzania. Wakicheza Kata ya kundi kwa pamoja "Shisochin Kata"Wakuu matawi nchi shiriki.Kundi la wawakilishi sita wa nchi za Ulaya.
 Gasshuku au semina ya Karate mtindo wa Okinawa Goju RyuJundokan So Honbu, imefungwa Jumapili usiku na kufuatiwa kwa tafrija kubwa ya kuwaaga washiriki "Sayonara Party" wa kike na kiume, umri kuanzia miaka 13 had 70 toka nchi mbalimbali za Ulaya na Japan ikiwemo na Tanzania iliyowakilishwa na sensei Rumadha....

 

10 years ago

Michuzi

Semina ya Texas Karate Black Belts yafanyika Houston, Texas

Texas Black Belts club Seminar , imeandaliwa na Sensei Ramon Veras, Dan 7, Okinawa Goju Ryu Kyokai, mjini Houston, Texas tarehe 19 April, 2015. Pia ni sehemu moja ya maandalizi na marekebisho ya mbinu na ufundi wa vipande tofauti katika mfumo mzima wa  Sanaa na tayari kwa baadhi ya washiriki kwa msafara wa kwenda kwenye chimbuko la Karate huko Okinawa, Japan.
 Sensei Rumadha Fundi, ni mmoja ya wawakilishi wa Goju Ryu Jundokan, atayoiwakilisha Tanzania kwenye msafara huo.. Baada ya takriban...

 

10 years ago

Michuzi

MWEYEKITI WA CHUO CHA KARATE NCHINI TANZANIA AOMBA MASHIRIKA MBALIMBALI KUSAIDIA MCHEZO WA KARATE

 Mwenyekiti wa Chuo cha Karate nchini Tanzania,Willy Ringo ameyataka mashirika na makampuni nchini kuunga mkono mchezo wa Karate ili kufika mbali zaidi ulimweguni.
Akizungumza jijini Dar es Salaam,Rwezaula ameitaka Serikali pamoja na Makampuni yeyote  kuusaidia mchezo huo wa Karate,pia ameitaka Serikali kuacha kudhamini michezo mingine kama mpira wa miguu na mashindano ya urembo.
Kwa upande wake, Bingwa wa Dunia katika mchezo wa Karate, Rutashobya Ringo amewataka Watanzania kuwa na nidhamu...

 

10 years ago

Michuzi

Ma-sensei watano waliotunukiwa ngazi za juu za karate watoa shukurani kwa Shirikisho la Karate Tanzania

 Walimu  (ma-Sensei) watano toka Tanzania, yaani Sensei Dudley Mawalla, Sensei Daud Magoma, Sensei Kheri Kivuli, Sensei Edgar Kaliboti na Sensei Rumadha Fundi, wanatoa shukrani  nyingi sana kwa  kupewa dhamana kubwa ya heshima na vyeo vya ngazi za juu toka shirikisho la Karate Tanzania (Tanzania Karate-Do Federation).  Chini ya uongozi wa mwenyekiti Sensei Geofrey Kalonga na katibu mkuu wake Sensei Phillip Chikoko, wana-sema ma-Sensei hao katika waraka ulioandikwa na Sensei Rumadha...

 

9 years ago

Africanjam.Com

SUPPORTERS NAME ENGLAND CAPTAIN WAYNE ROONEY ENGLAND PLAYER OF THE YEAR

Wayne Rooney has been named England Player of the Year for 2015, retaining the title he won in 2014.The Manchester United forward earned 37% of the votes cast by members of the England Supporters Club and has now won it four times.England captain Rooney, 30, scored five goals last year, overtaking Sir Bobby Charlton as England's record goalscorer during Euro 2016 qualification.Stoke City goalkeeper Jack Butland was voted Under-21 Player of the Year.In the vote for the senior player of the...

 

10 years ago

BBC

Leeds United sign defender Bamba

Leeds United sign Ivory Coast defender Sol Bamba from Palermo for an undisclosed fee on a two-year deal.

 

10 years ago

BBC

VIDEO: Leeds loco survives in Sierra Leone

A Leeds museum celebrates the 100th anniversary of a steam engine built in the Yorkshire city that founded a railway in Sierra Leone.

 

11 years ago

BBC

Leeds United sign Palace winger Kebe

Championship side Leeds United sign Crystal Palace and Mali winger Jimmy Kebe on loan until the end of the season.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani